Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Umoja wa Wanazuoni wa Kiislam wamemshukia Makamu wa Rais Dkt. Emmanuel Nchimbi kwa kuhusisha ukimya wake na Hkatoliki wake. Wameenda mbali na kumtuhumu kuwa ametumwa na Padri Kitima na viongozi...
13 Reactions
188 Replies
7K Views
Msemaji mkuu wa serikali Gerson Msigwa amesema kuwa Twitter (X) itafunguliwa pale ambapo tutakapokubaliana namna watakavyoendesha jukwaa lao nchini Tanzania.
0 Reactions
15 Replies
317 Views
Kwenye ukurasa wake wa Instagram Zungu anasema: Wanangu wa Upinzani sio kila kitu mnaweza kubeba kama ajenda msifanye hivyo 🙏yani kila kitu hata kama ni kizuri baadhi yenu mnajaribu kubadilisha...
2 Reactions
29 Replies
700 Views
  • Featured
Wakuu Jeshi la Polisi Tarime Rorya limesema limemkamata Charles Onkuri Ongeta, mwenye umri wa miaka 30 na uraia wa Marekani na Kenya, akidaiwa kuingia Tanzania kupitia mpakani Sirari akiwa na...
23 Reactions
307 Replies
11K Views
Mchungaji Godfrey Malisa, aliyekuwa mwanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM), amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi mkoani Kilimanjaro akikabiliwa na kosa la uhaini. Kesi hiyo (Namba...
5 Reactions
70 Replies
2K Views
Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuzindua rasmi Bima ya Afya kwa Wote Januari hii, kwa kutoa kadi ya mfano kwa kaya maskini, ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa ahadi yake ya siku 100 za...
0 Reactions
9 Replies
333 Views
Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Awamu ya Nne, Mizengo Pinda, amesema maandamano yaliyotokea Oktoba 29 hayakuwa ya amani, akieleza kuwa baadhi ya Vijana walishiriki bila...
5 Reactions
60 Replies
1K Views
Wakuu, Nimekutana na video ya huyu wakuitwa mwanaharakati huru, Ahmed Kombo, akimjibu Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche. Kombo amesema kuwa Heche hana haki ya kulalamikia uchaguzi...
1 Reactions
7 Replies
135 Views
Dkt. Godfrey Malisa anakabiliwa na kesi mbili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi, ambazo zote zimepangwa kutajwa tena Januari 16, 2026 baada ya kuahirishwa jana, Januari 2, 2026; - Kesi ya...
1 Reactions
27 Replies
579 Views
"Ni ubatili na dharau kubwa kwa Watanzania kuyaita maridhiano sasa katika mazingira ambapo serikali iliamua kwa makusudi kuwapuuza wananchi, vyama vya siasa na wadau wa demokrasia juu ya hitaji la...
2 Reactions
2 Replies
153 Views
Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limeibua gumzo mitandaoni baada ya kuposti picha ya nyota wa soka Msuva akishangilia bao, ikiambatana na maneno "Sarakasi za kiuhalisia, bila ya nywi nywi...
5 Reactions
43 Replies
1K Views
Wakuu, Tushazoea kuona nchi za Ulaya, Marekani ambao walikuwa ni partners wetu wa maendeleo kwa muda mrefu wakiwa wanajali kuhusu mazingira Kuna projects nyingi sana ambazo zilianzishwa na nchi...
0 Reactions
0 Replies
35 Views
YAH: MALALAMIKO RASMI DHIDI YA KAULI NA UTARATIBU WA ASKOFU MKUU YUDA THADDEUS RUWA’ICHI WA JIMBO KUU LA DAR ES SALAAM KWA: BALOZI WA PAPA (APOSTOLIC NUNCIO), DAR ES SALAAM. Mpendwa Baba...
2 Reactions
303 Replies
3K Views
Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuwa mwanzoni mwa mwaka 2026 Serikali imejipanga kujenga umoja wa kitaifa ambapo mchakato wa kuunda Tume ya Maridhiano tayari umeanza na Serikali itashirikiana na...
6 Reactions
136 Replies
3K Views
Leo tarehe 30 Disemba, 2025 Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Kuu Dodoma ikiketi chini ya Jaji Ephery Kisanya imetoa uamuzi wa muhimu katika kesi dhidi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kuhusu...
2 Reactions
14 Replies
350 Views
Kuna mpasuko wa kidini unaanza kunukia Tanzania na ukifuatilia kwa makini utagundua mgogoro huu unaongezeka kila siku. Cha kusikitisha Chanzo kikubwa ni wanasiasa, wale wale waliofanya makosa...
9 Reactions
51 Replies
2K Views
Waislam ndio walikua front kupigania uhuru, ukisikiliza hotuba yake mwalim Nyerere Bagamoyo aliwashukuru waislam kuwa mbele kupigania uhuru ambapo taasisi nyengine zilikua kimya. Ndio hivi sasa...
3 Reactions
35 Replies
705 Views
Kijana Jovin Kaaya, mzaliwa wa Mkoa wa Arusha, amesimulia kwa kina sakata la kukamatwa kwake jijini Dar es Salaam Oktoba 31, 2025 na kushtakiwa kwa kosa la uhaini, hadi kuachiwa huru baada ya kesi...
6 Reactions
6 Replies
362 Views
Wananchi wa Jimbo la Fuoni lililopo wilaya ya Magharibi B mkoa wa Mjini Mgaharibi, Zanzibar wameendelea kujitokeza kushiriki katika uchaguzi mdogo wa Mbunge katika jimbo hilo. Uchaguzi huo...
1 Reactions
3 Replies
110 Views
Jumla ya wapiga kura 88,000 walitarajiwa kushiriki katika uchaguzi mdogo wa kumchagua Mbunge wa Jimbo la Siha, mkoani Kilimanjaro, uliofanyika jana Desemba 30, 2025. Msimamizi wa Uchaguzi wa...
2 Reactions
10 Replies
304 Views
Back
Top Bottom