Katika jambo ambalo halikutarajiwa katika jimbo la Ukonga na wachunguzi wengi na watafiti wa siasa ni kitendo cha Mhe.Jerry William Silaa na aliyekuwa Waziri wa Habari Teknolojia na Mawasiliano ya...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Novemba 5, 2025, anatarajiwa kumwapisha Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza Johari, katika hafla itakayofanyika saa 4:00 asubuhi...
Yaani kila siku tunaona maajabu ya mwaka😂😂😂. Mlianza kusema walioandamana sio Watanzania, haikutosha mkasema waliokufa sio Watanzania mkadhani wananchi ni wajinga! Video zikaanza kuibuliwa hadi na...
Bado tunaomboleza. Na tunatafuta miili ya ndugu zetu waliouwawa kwa risasi. Illegitimate President yuko ofisini siku ya pili. Hajajutia mauwaji aliyoyafanya. Wala kuomba msamaha. Au kuwafariji...
Inasikitisha sana kweli! Yaani ukipita kwenye media mtandaoni unachoka na roho yako. Vyombo vya nje vinafanya kazi ya kutuoa taarifa utafikiri wao ndio akina Azam yaani. Media zetu zimeufyata...
Licha ya kubeba vitambulisho vyao vya uangalizi, waangalizi wetu waliokuwa Mjini Tanga walikabiliwa na mahojiano makali kutoka kwa vyombo vya usalama, nyaraka zao rasmi zikiwemo pasipoti...
Hii inashangaza!
Kuna wapuuzi huko mtandaoni wameanza kazi ya kusambaza ujumbe, kwa Kiswahili na Kingereza (ili kuvvutia mataifa ya nje ambayo mpaka sasa wana picha kamili ya yote yaliyofanyika...
Mkuu wa Mkoa wa Arusha CPA Amos Gabriel Makalla amewahakikishia wananchi wa Mkoa wa Arusha, wageni na Watalii wanaofika Mkoani Arusha kuwa hali ya ulinzi na usalama Mkoani Arusha ni shwari na...
Wasanii wa Bongo Flavour wameanza kutoa pole kwa familia na watu wote waliopoteza maisha katika maandamano ya kudai haki. Hata hivyo, ninaona ingekuwa vyema kama wasanii hawa wangetumia sauti zao...
Huyu anaitwa Kelvin Lameck alikuwa mwandishi wa radio inaitwa Baraka FM.
Ameuawa akiwa kazini kufuatilia maandamano wakati wa Uchaguzi.
Kifo chake kimeacha simanzi kubwa miongoni mwa familia...
Hili si jambo dogo kwa historia ya taifa letu. Katika tawala zilizopita, haijawahi kushuhudiwa idadi kubwa ya vifo kama inavyodaiwa kutokea katika kipindi cha utawala wa Rais Samia Suluhu Hassan...
Maneno yaliyopo mtaani ni kuwa kinachoendelea sasa ni kuwa polisi wanazika watu makundi kwa makundi ili kufuta ushahidi kwa yaliyotekea - mass grave, na maeneo mengine wanachoma maiti.
Na hili...
Wakuu,
Kinachofanyika sasa hivi ni kuhakikisha mawasiliano yanakata, wanafanya kila njia ili tusipate taarifa, tuwe disorganized kukataa udhalimu wa serikali hii.
Tunatakiwa kufika TCRA ili...
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Dkt. Ayub Rioba Chacha amesema kupitishwa kwa Sheria ya TBC kunatokana na mapenzi makubwa aliyonayo Rais Samia Suluhu Hassan kwa shirika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.