Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Naibu Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Tanzania, Padri Chesco Msaga, ameongoza ibada maalum ya kuwaombea wote waliopoteza maisha katika ghasia zilizotokea wakati wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025...
3 Reactions
0 Replies
175 Views
Mkuu wa Mkoa wa Njombe Anthony Mtaka amewataka wananchi wa Mkoa wa Njombe kuendelea na shughuli zao bila hofu yoyote Ameyasema hayo Novemba 6,2025 wakati akizungumza na Wafanyabiashara wa...
0 Reactions
1 Replies
147 Views
“Vituo vingi vya Mwendokasi vimeharibiwa na kwa mantiki hiyo tunaendelea kuusitisha usafiri huu kwa njia ya morogoro road na tunaendelea kuusitisha usafiri huu kwa njia ya Mbagala yaani BRT 2...
2 Reactions
64 Replies
1K Views
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda ametangaza rasmi kuondoa zuio la wananchi kuendelea na shughuli zao baada ya saa kumi na mbili jioni, akibainisha kuwa sasa ni ruksa kwa wananchi kutembea...
1 Reactions
3 Replies
154 Views
Hapa chini ni muhtasari wa taarifa ya awali (final) ya waangalizi wa Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 kutoka SADC (SEOM), uliowasilishwa na Richard Msowoya, Spika wa zamani wa Bunge la Malawi na...
3 Reactions
7 Replies
318 Views
Naomba Watanzania wenzangu, tufanye jambo muhimu. Viongozi wa CCM na wale wote wanaodhihaki vifo vya wenzetu hawapaswi kuendelea kuwa sehemu ya jamii yetu kwa namna ya kawaida. Tuwatengue kwa...
2 Reactions
4 Replies
197 Views
Mbali na Al Jazeera kupigwa pini kwenye visimbuzi Tanzania, jamaa wameona haitoshi wakaenda block na website yao! Sasa hivi tovuti hiyo haipatikani Tanzania mpaka utumie VPN. Jinsi inavyokuwa...
13 Reactions
63 Replies
2K Views
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro limeeleza kuwa liliwashikilia vijana 300 kutoka maeneo mbalimbali mkoani humo kutokana na kudaiwa kushiriki vurugu zlizotokea siku ya uchaguzi mkuu Oktoba...
2 Reactions
9 Replies
526 Views
Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, ameshangazwa na ushindi wa asilimia 97 aliopatikana na mgombea wa urais kupitia CCM, Samia Suluhu Hassan, katika uchaguzi mkuu...
0 Reactions
3 Replies
259 Views
Ujumbe uliosomwa nje ya mahakama ya ICC asubuhi ya leo juu ya kile kinachoendelea Tanzania, waandamanaji wanaitaka mahakama ya ICC kuchukuwa hatua kali juu ya Mauaji ya Tanzania.
2 Reactions
6 Replies
351 Views
Baada ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kufungua rasmi mchakato wa kuchukua fomu za kuwania nafasi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, vigogo sita wa chama hicho wamejitokeza leo...
3 Reactions
20 Replies
1K Views
Wafanyabiashara wa Soko la Kariakoo Jijini Dar Es Salaam wameeleza athari kubwa za kiuchumi na Kijamii zilizotokana na ghasia na vurugu katika uchaguzi Mkuu wa Tanzania wa Oktoba 29, 2025...
0 Reactions
1 Replies
129 Views
Tamko Kuhusu Matukio ya Ukiukwaji wa Haki za Binadamu Wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 2025 (29 Oktoba hadi 04 Novemba) 1.0 Utangulizi Tamko la Mtandao Wa Watetezi Wa Haki za Binadamu Tanzania na...
2 Reactions
0 Replies
311 Views
Jeshi la Polisi Tanzania limetoa Taarifa kwa Umma likisema kuwa, Kufuatia maelekezo yaliyotolewa jaan tarehe 3.11.2025 na Mhe. Rais na Amiri Jeshi Mkuu Samia Suluhu Hassan, Amri iliyokuwa...
2 Reactions
27 Replies
837 Views
Katika jambo ambalo halikutarajiwa katika jimbo la Ukonga na wachunguzi wengi na watafiti wa siasa ni kitendo cha Mhe.Jerry William Silaa na aliyekuwa Waziri wa Habari Teknolojia na Mawasiliano ya...
2 Reactions
9 Replies
789 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Novemba 5, 2025, anatarajiwa kumwapisha Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza Johari, katika hafla itakayofanyika saa 4:00 asubuhi...
0 Reactions
1 Replies
225 Views
Yaani kila siku tunaona maajabu ya mwaka😂😂😂. Mlianza kusema walioandamana sio Watanzania, haikutosha mkasema waliokufa sio Watanzania mkadhani wananchi ni wajinga! Video zikaanza kuibuliwa hadi na...
23 Reactions
57 Replies
1K Views
Bado tunaomboleza. Na tunatafuta miili ya ndugu zetu waliouwawa kwa risasi. Illegitimate President yuko ofisini siku ya pili. Hajajutia mauwaji aliyoyafanya. Wala kuomba msamaha. Au kuwafariji...
6 Reactions
29 Replies
1K Views
Inasikitisha sana kweli! Yaani ukipita kwenye media mtandaoni unachoka na roho yako. Vyombo vya nje vinafanya kazi ya kutuoa taarifa utafikiri wao ndio akina Azam yaani. Media zetu zimeufyata...
6 Reactions
11 Replies
270 Views
Licha ya kubeba vitambulisho vyao vya uangalizi, waangalizi wetu waliokuwa Mjini Tanga walikabiliwa na mahojiano makali kutoka kwa vyombo vya usalama, nyaraka zao rasmi zikiwemo pasipoti...
4 Reactions
1 Replies
212 Views
Back
Top Bottom