Wakuu habari zenu,
Sasa naomba ushauri miaka mitano iliyopita, nilikuwa nafanya kazi znz serikqlini
Kwa bahati mume wangu akahamia dar kikazi.
Inabidi nimfate ..na nikaomba likizo bila malipo miaka miwili..na nikapewa
Miakq miwili kwisha nikaomba miwili mingine nikapewa baada ya miaka mengine
Miwili ikamalizika nilikwenda kuomba tena lakini safari hii wakanikatalia
Nikaambiwa chagua moja urudi kazini au andika barua ya kuacha kazi
Hapo inabidi niandike barua ya kuacha kazi shingo upande
Sasa hivi natarajia kurudi kazini je nianzie wapi?
Na je ni haki kuambiwa niwache kazi. Sheria inasemaje?
Na nini nifanye ili nirudi kazini?
Shukrani
Sasa naomba ushauri miaka mitano iliyopita, nilikuwa nafanya kazi znz serikqlini
Kwa bahati mume wangu akahamia dar kikazi.
Inabidi nimfate ..na nikaomba likizo bila malipo miaka miwili..na nikapewa
Miakq miwili kwisha nikaomba miwili mingine nikapewa baada ya miaka mengine
Miwili ikamalizika nilikwenda kuomba tena lakini safari hii wakanikatalia
Nikaambiwa chagua moja urudi kazini au andika barua ya kuacha kazi
Hapo inabidi niandike barua ya kuacha kazi shingo upande
Sasa hivi natarajia kurudi kazini je nianzie wapi?
Na je ni haki kuambiwa niwache kazi. Sheria inasemaje?
Na nini nifanye ili nirudi kazini?
Shukrani