Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 11,634
- 26,373
Wakuu habari zenu,
Nakumbuka Tanzania kuna mtu aliwahi kushtakiwa kwa kusema Yesu sio Mungu miaka ya 2005 hivi.
Ni wapi naweza kupata nakala ya Hukumu hio au kama kuna mtu anayo anisadie nahitaji kujifunza baadhi ya mambo humo
Natanguliza shukrani.
Nakumbuka Tanzania kuna mtu aliwahi kushtakiwa kwa kusema Yesu sio Mungu miaka ya 2005 hivi.
Ni wapi naweza kupata nakala ya Hukumu hio au kama kuna mtu anayo anisadie nahitaji kujifunza baadhi ya mambo humo
Natanguliza shukrani.