Lwamadovela
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 325
- 235
Asalam aleykum,
nilifukuzwa kazi na utumishi na mamlaka yangu ya nidhamu. TSD kwa sasa TSC. Mimi ni mwalimu, nilikata rufaa Tume ya Utumishi wa Umma. Nao walikataa rufaa yangu. Nikakata rufaa kwa Rais. nako rufaa ilikataliwa. Nimeenda mahakama kuu division ya kazi.
Je nikishinda kesi hii naweza rudishwa kazini!? Na utaratibu wa kesi ukoje?
Maana nasikia eti shauri likitoka hapo linakuja CMA.
Nawasilisha mnisaidie
nilifukuzwa kazi na utumishi na mamlaka yangu ya nidhamu. TSD kwa sasa TSC. Mimi ni mwalimu, nilikata rufaa Tume ya Utumishi wa Umma. Nao walikataa rufaa yangu. Nikakata rufaa kwa Rais. nako rufaa ilikataliwa. Nimeenda mahakama kuu division ya kazi.
Je nikishinda kesi hii naweza rudishwa kazini!? Na utaratibu wa kesi ukoje?
Maana nasikia eti shauri likitoka hapo linakuja CMA.
Nawasilisha mnisaidie