Naomba ushauri kuhusu hili la kufukuzwa kazi na utumishi

Lwamadovela

JF-Expert Member
Mar 5, 2019
325
235
Asalam aleykum,

nilifukuzwa kazi na utumishi na mamlaka yangu ya nidhamu. TSD kwa sasa TSC. Mimi ni mwalimu, nilikata rufaa Tume ya Utumishi wa Umma. Nao walikataa rufaa yangu. Nikakata rufaa kwa Rais. nako rufaa ilikataliwa. Nimeenda mahakama kuu division ya kazi.

Je nikishinda kesi hii naweza rudishwa kazini!? Na utaratibu wa kesi ukoje?
Maana nasikia eti shauri likitoka hapo linakuja CMA.

Nawasilisha mnisaidie
 
Mbona kazi za kufanya zipo?
Achana nao, madam hawajakukata mikono wala akili yako.
Still you can make it kwa njia nyingine.
Unaweza endelea na kesi, wtf ukishindwa?

Wastage of time and money!!
Btw how old are you?
Unadhani ni rahisi hivyo?. Ushauri wako ni mzuri lkn Kumbuka huyo Kuna haki zake atazipoteza, wacha apambane. Ni kupambana hadi kieleweke, hayo ya kujiajiri yaje tu lkn na kupambana ni muhimu.
 
Unadhani ni rahisi hivyo?. Ushauri wako ni mzuri lkn Kumbuka huyo Kuna haki zake atazipoteza, wacha apambane. Ni kupambana hadi kieleweke, hayo ya kujiajiri yaje tu lkn na kupambana ni muhimu.
ni kweli mkuu wangu. nimejiajiri, jua nina familia na mambo ya kijamii yananikabili. lakini haki yangu lazima niipiganie mpaka tone la mwisho
 
Ulipaswa kuanzia CMA.
Nashukuru mkuu. Nilienda hapo. Shauri likaendeshwa bila mwajili kuwepo. Mwisho wa siku hukumu ikatoka kwamba nimalize taratibu zote za nafuu kisheria. Ndipo niende CMA. Ko nikapeleka rufaa Ikulu. Rufaa yangu ilikataliwa.inabidi niende mahakama kuu kitengo cha kazi.sasa ndo naomba msaada wa kujua kama nilivyo omba hapo juu
 
Nashukuru mkuu. Nilienda hapo. Shauri likaendeshwa bila mwajili kuwepo. Mwisho wa siku hukumu ikatoka kwamba nimalize taratibu zote za nafuu kisheria. Ndipo niende CMA. Ko nikapeleka rufaa Ikulu. Rufaa yangu ilikataliwa.inabidi niende mahakama kuu kitengo cha kazi.sasa ndo naomba msaada wa kujua kama nilivyo omba hapo juu
Angalia usijekuwa nje ya muda, maana ndani ya miezi sita (6) tangu ulipopokea barua ya mwisho ya ukomo wa rufaa, nje ya hapo shauri lako litatupiliwa mbaliiiii.
 
Kwa taratibu za utumishi wa umma anaposhutumiwa kuwa ametenda kosa huwa mamlaka ya nidham inampa notes ya mashtaka ikiambatana na makosa uliyo yafanya na vifungu vya sheria ulivyo vunja katika utumishi wako na utaombwa upeleke utetezi wako ndani ya siku 14 ukishapeleka utetezi wako utasubir tume ya uchunguzi ije ikuhoji (kama utakuwa umekataa makosa lakini kama umekubali tume ya uchunguzi itaamua kukupa adhabu kutokana na makosa yko) sasa wewe ilikuwaje?
1.Uliletewa hati ya mashtaka?
2. Tume ya uchunguzi ilikuja kukuhoji kutokana ña makosa uliyo yafanya?
3. Kama ulijibu hiyo hati ya mashtaka uliomba ushauri kwa wataalam wanaojua taratibu na sheria za kiutumishi?
Mwanzoni walikupa hati za mashtaka? Na ukaambiwa ujibu ndani ya siku 14 ?
 
Na ukijibu yale mashtaka ndàni ya zile siku 14 utasubiri siku 60 zikipita siku 60 kama mamlaka ya nidhamu haijatoa tamko lolote utomatically utakuwa huna kosa....kutokana na sheria za utumishi wa umma!
Kwa taratibu za utumishi wa umma anaposhutumiwa kuwa ametenda kosa huwa mamlaka ya nidham inampa notes ya mashtaka ikiambatana na makosa uliyo yafanya na vifungu vya sheria ulivyo vunja katika utumishi wako na utaombwa upeleke utetezi wako ndani ya siku 14 ukishapeleka utetezi wako utasubir tume ya uchunguzi ije ikuhoji (kama utakuwa umekataa makosa lakini kama umekubali tume ya uchunguzi itaamua kukupa adhabu kutokana na makosa yko) sasa wewe ilikuwaje?
1.Uliletewa hati ya mashtaka?
2. Tume ya uchunguzi ilikuja kukuhoji kutokana ña makosa uliyo yafanya?
3. Kama ulijibu hiyo hati ya mashtaka uliomba ushauri kwa wataalam wanaojua taratibu na sheria za kiutumishi?
 
Na kama ulitenda makosa je bosi wako alisha kupa barua za onyo zaidi ya mara 3? Kama hujawahi kupewa barua za onyo utakuwa umeonewa!
Kwa taratibu za utumishi wa umma anaposhutumiwa kuwa ametenda kosa huwa mamlaka ya nidham inampa notes ya mashtaka ikiambatana na makosa uliyo yafanya na vifungu vya sheria ulivyo vunja katika utumishi wako na utaombwa upeleke utetezi wako ndani ya siku 14 ukishapeleka utetezi wako utasubir tume ya uchunguzi ije ikuhoji (kama utakuwa umekataa makosa lakini kama umekubali tume ya uchunguzi itaamua kukupa adhabu kutokana na makosa yko) sasa wewe ilikuwaje?
1.Uliletewa hati ya mashtaka?
2. Tume ya uchunguzi ilikuja kukuhoji kutokana ña makosa uliyo yafanya?
3. Kama ulijibu hiyo hati ya mashtaka uliomba ushauri kwa wataalam wanaojua taratibu na sheria za kiutumishi?
 
Back
Top Bottom