JINSI YA KUPIKA KUKU WA KUPAKA
Kuku katika mchuzi wa nazi)
viungo
kata kuku katika vipande 8
1 kijiko vitunguu
Kijiko 1 cha tangawizi
pilipili hoho 2
pilipili 2
Juisi ya limau vijiko 4
1/2...
Mahitaji:
40gram zabibu kavu
240garm maziwa ya maji
240garm siagi (butter)
½ chumvi kijiko kidogo cha chai
240gram sukari
240gram korosho au walnuts au karanga chochote ulichonacho
500gram unga...
JINSI YAKUPIKA KEKI YA ZABIBU KAVU
Tengeneza keki ya zabibu kavu kisha ongezea ladha mbali mbali kutokana na upendavyo fata maelekezo hapo chini
Mahitaji:
= 240gram zabibu kavu
=...
Wakiitwa wanaojua kukarangiza lazima na mie niende. Kwa mambo ya jikoni nimebarikiwa.
ukitaka vya kihindi utadhani nimezaliwa bombay,ukija vya kichina na Thailand achilia mbali vya Mexico na vya...
Fish green curry
(ingredients)
1. samaki mzima { kwangua na kata nyama ya juu halafu katakata viapande vidogo hakikisha hakuna miba}
2. vijiko viwili vya green curry paste (table spoon)
3.mafuta...
Mapishi ya kuchemsha doufu kwa mvuke ndani ya majani ya yungiyungi
Mahitaji
Doufu gramu 300, nyama ya kuku gramu 30, uyoga gramu 10, uyoga mweusi gramu 10, yai moja, vipande vya paja la ash...
......Leo na mie nawaletea kifungua kinywa, ni rahisi sana kuandaa na vile vile ni healthy.
Unatakiwa kuwa na vitu vifuatavyo,
-mayai 2
-vijiko 2 vya maziwa ambayo ni fat free.
-vijiko 2 vya...
Karibuni kwa Bibi yangu Singida>.
Mapishi ya Mlenda wa bamia na nyanya chungu
Mahitaji
Bamia (okra) 20
Nyanya chungu (garden eggs) 5
Magadi soda (Bicabonate soda) 1/4 ya kijiko cha chai
Nyanya...
Haya na Mimi nawaleteeni vyakula na Mapishi ya Kichina Enhoo Enho
Mapishi ya nyama slesi ya nyama ya ng'ombe na kiazi
Mahitaji:
Nyama ya ng'ombe gramu 200, kiazi kimoja?pilipili boga moja na...
Mchemsho wa Ndizi Kwa samaki
Ndizi mshare au ndizi kimalindi au za mbea tano(5) inategemea na familia yako
samaki nusu kilo wabichi sato itakuwa nzuri zaidi
nyanya moja
kitunguu kimoja
karori...
Importance of Green Salad in Your Diet
Green salads are an excellent source of vitamins, minerals and fiber, but people do not generally include salads in their diet. This is because they do...
jamani mi na mme wangu tunapenda sana kupika, na kila weekend hupenda kujaribu recipe mpya.
last sunday tulipika eggplant parmersan. ni chakula kizuri sana na kina virutubisho vya kutosha...
Fruit Mix/Matunda Mix
Hii ni aina ya uandaaji wa matunda ambayo hutengenezwa kwa kuchanganywa ukizingaitia aina ya matunda . Waweza Manipulate vovote mradi ladha usiharibu kutegemea na kuoana...
Peanut Brownies.. ( Ni kama biscuti za karanga )
ingredients
100 g Butter
150 g cater sugar
1 egg
200 g flower
10 g cocoa
2 g Baking Powder
100 g roasted peanuts
Changanya butter, sukari...
Mkate Wa Sinia - Mkate Wa Kumimina Aina Ya Kwanza
Vipimo
1 Kikombe Cha Mchele
1 Kikombe Cha Nazi Ya Unga
1 Kikombe Cha Sukari Kupungua Kidogo
1 Kikombe Cha Maji Au Maziwa Vuguvugu
1 Kijiko Cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.