Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Moja ya namna nzuri sana ya kula kiporo ni kukibadilisha kua chakula kipya kwa kukipa ladha au kionjo kipya kitakacholeta utofauti na Chakula ulichokula jana au juzi . Jumapili iliyopita...
2 Reactions
3 Replies
5K Views
TAMBI ZA SUKARI NA MAZIWA Tambi au pasta ni moja ya vyakula ninavyovipenda sana.Ni rahisi kuandaa na kuna namna nyingi sana ya kuziandaa na kuzipika. Kutokana na uandaaji au upishi tambi...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Wanaukumbuki, Kama heading inavyojieleza naitaji kujua hii kitu jinsi ya kutengeneza.
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Naombeni mapishi ya kababu nina ham nazo sana nimechoka kununua za watu nataka kujifunza mwenyewe
0 Reactions
11 Replies
8K Views
Wanaukumbi, Naombeni maelekezo jinsi ya kupikaa Mandi ya Mbuzi na Kuku.
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Ndugu wana jf salaam, naombamsaada wa kujua ubora wa uji wa muhogo ukilinganisha na ule wa unga wa sembe hasa kwa matumizi ya watotowenye kujua tafadhari naomba maoni yenu
0 Reactions
4 Replies
20K Views
WALI WA ASUMINI Mchele kilo 1 Kuku mkubwa 1 Vitunguu maji kilo 2 Mayai 8 Samli kilo 1 Thomu gram 200 Tangawizi mbichi gram 50 Mdalasini gram 50 Hiliki gram 50 Bizari nzima kiasi Siki...
0 Reactions
3 Replies
7K Views
mahitaji karanga mbichi kilo 1 supu ya ng'ombe lita 2(UNAWEZA KUINUNUA,AU KUITENGENEZA MWENYEWE) maji lita 2 chumvi (kwa kiasi unachoridhika nacho) pilipili(kama utahitaji) limao(kama utahitaji)...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Nimejaribu hii na nimegundua hubadilisha ladha kabisa ya nyama. Unaweza kuongeza vioungo vingine kadri unavyopenda ila mimi hupendelea kuichanganya nyama na vinega au limao, chumvi na tangawizi...
3 Reactions
3 Replies
5K Views
Na Issa Kapande Ni muhimu kwa mzazi/ mlezi kufahamu aina ya chakula kimfaacho mtoto wake hususani yule aliye katika umri wa miezi tisa na nusu mpaka miaka sita. Aina hizi za vyakula na jinsi ya...
2 Reactions
0 Replies
24K Views
Guys mambo vip? Anayehitaji chef wa kimataifa mwenye uzoefu usopungua miaka kumia katika indian cuisine, french, italian na chinese kidogo na mbunifu mwenye managerial skills na English speaker...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
SPAGHETTI ya leo fupi! 2000 Kusema kweli nadhani mwaka huu wa 2000 ndiyo kumbukumbu yangu ya kwanza ya interaction yangu na chakula hichi. KWa muda mwingi nyumbani wakati tunakua tulikuwa...
10 Reactions
61 Replies
17K Views
Wali huu si maarufu sana ingawa siku ukiujaribu utapenda kuula kila siku MAHITAJI Mahitaji kwa ajili ya mchuzi wa ukwaju una uwezo wa kukaa katika friji bila kuaharibika kwa miezi 2 200 grams...
2 Reactions
7 Replies
7K Views
Mahitaji Dagaa waliokaushwa (dried anchovy 2 kikombe cha chai) Bamia (okra 5) Nyanya chungu (garden egg 5) Tui la nazi (coconut milk 1 kikombe cha chai) Nyanya (fresh tomato 2) Kitunguu (onion...
4 Reactions
8 Replies
30K Views
Ingredients 15 millilitre oil 750 gram Chicken breasts, cubed 1 Onion, halved and sliced 1 KNORR Mild Durban Curry Dry Cook-in-Sauce 400 millilitre water 3 Potatoes, peeled and diced 250...
2 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wadau. Nimetembelewa na muhindi ofisini. Natafuta migahawa ya kihindi Dar ili jamaa at least mida ya misosi ajihisi yupo Delhi. He likes biryani. Natanguliza shukran:)
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wana jf! Naomba kama kuna anayefaham madhara ya kuhifadhi juice kwenye freezer, maana nina mazoea ya kutengeneza juice then naweka kwenye freezer natumia hata siku tatu. Ila leo jirani...
0 Reactions
6 Replies
9K Views
Wapendwa natafuta mpishi Nina ubatizo next wkend nataka anaejua kupika ATI yaani ukila chakula chake lazima next time umtafte tena,plz nasisitiza anae jua kupika haswa sio kitoto,coz chakula...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
habarin ndugu zangu,samahan nlikua naulizia gharama ya jiko dogo la kupikia mkate na hilo jiko dogo linaweza kupika mikate mingapi yenye ujazo wa nusu kilo kwa raundi moja? Ntashukuru sana kwa msaada
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Natafuta tenda ya jiko kwenye bar/grocery/ restaurant ya kuandaa vyakula kuanzia supu, vyakula vya mchana na uchomaji wa nyama, mkataba ni maelewano kuendana na sehemu yenyewe ilipo na flow...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Back
Top Bottom