Farhina, amu, mazizimkavu, bak na wapishi wengine. Msaada wa mapishi ya beef burger.

Angel Nylon

JF-Expert Member
Jul 26, 2011
8,201
16,269
Asalam alykum all members of jf chef.

Naomba kufundishwa juu ya matayarisho ya ile nyama tunaoweka katikati ya burger.

Kwa upande wa ule mkate sina tatizo, ila kama ntapata recipe yake pia sio mbaya pengine ntapata kitu tasty zaidi.

Ila ile nyama sasa ndo kimbembe, jee kuna beef zake special? Au ni stake ya kawaida ina upishi wake tu?

Tunataka tuwe tunapika majumbani, ili tusipate tena kubunwa mahela yetu kwenye cafe, and hotels.
 
Waalayka salaam....

Ahahha unichekesha eti hutaki kubunwa mahela yako....lol

Haya twende kazi


Kwa kutaarisha nyama ya burger...

Mahitaji

1)Nyama ya kusaga...
2)Mayai
3)Chumvi kiasi
4)masala upendayo kuweka katika nyama..
5)pilipili manga
6)kitunguu saumu kidogo...
7)mafuta ya kupikia

Namna ya kutaarishaa..

1)weka nyama kwenye bakuli

2)tia chumvi,pilipili manga,saumu na masala upendayo chanaganya vizuri...

3)wacha nyama ikolee viungo kwa mda....

4)vunja mayai...toa ute wa mayai,hapa unahitaji kiini tu..

5)mimina kwenye chama na changanya vizuri...

6)tengeza maduara ukubwa kiasi ila yawe flat..(yasiwe manene ili nyama iwive vizuri ndani)


7)weka pan yako jikoni weka mafuta kidogo sana then aanza kukàanga nyama zako..(weka moto speed kiasi ili ziwive vizuri na taratibu)...geuza upande mwengine wa nyama na kaanga....geuza geuza hadi unahakikisha nyama imewiva vizuri sana...
 
Kwenye baadhi ya super markets unaweza kupata ambayo kazi yako ni kutia viungo uvitakavyo na kuichoma ila watakulangua. Hiyo ya kutengeneza mwenyewe itakuwa bomba sana, rudi hapa utupe feedback.
 
Kwenye baadhi ya super markets unaweza kupata ambayo kazi yako ni kutia viungo uvitakavyo na kuichoma ila watakulangua. Hiyo ya kutengeneza mwenyewe itakuwa bomba sana, rudi hapa utupe feedback.

Hahahahaahha yaani inapendeza kuona jinsi gani watu wajua kusave money ila wakaenjoy kama kawaida....

Mie kwa kusave ni balaa nahisi mie ni bonge la bahili lol....
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Natamani ningekuoa wewe jaman maana unaoneka upo vizuri kila idara
Waalayka salaam....

Ahahha unichekesha eti hutaki kubunwa mahela yako....lol

Haya twende kazi


Kwa kutaarisha nyama ya burger...

Mahitaji

1)Nyama ya kusaga...
2)Mayai
3)Chumvi kiasi
4)masala upendayo kuweka katika nyama..
5)pilipili manga
6)kitunguu saumu kidogo...
7)mafuta ya kupikia

Namna ya kutaarishaa..

1)weka nyama kwenye bakuli

2)tia chumvi,pilipili manga,saumu na masala upendayo chanaganya vizuri...

3)wacha nyama ikolee viungo kwa mda....

4)vunja mayai...toa ute wa mayai,hapa unahitaji kiini tu..

5)mimina kwenye chama na changanya vizuri...

6)tengeza maduara ukubwa kiasi ila yawe flat..(yasiwe manene ili nyama iwive vizuri ndani)


7)weka pan yako jikoni weka mafuta kidogo sana then aanza kukàanga nyama zako..(weka moto speed kiasi ili ziwive vizuri na taratibu)...geuza upande mwengine wa nyama na kaanga....geuza geuza hadi unahakikisha nyama imewiva vizuri sana...
 
Waalayka salaam....

Ahahha unichekesha eti hutaki kubunwa mahela yako....lol

Haya twende kazi


Kwa kutaarisha nyama ya burger...

Mahitaji

1)Nyama ya kusaga...
2)Mayai
3)Chumvi kiasi
4)masala upendayo kuweka katika nyama..
5)pilipili manga
6)kitunguu saumu kidogo...
7)mafuta ya kupikia

Namna ya kutaarishaa..

1)weka nyama kwenye bakuli

2)tia chumvi,pilipili manga,saumu na masala upendayo chanaganya vizuri...

3)wacha nyama ikolee viungo kwa mda....

4)vunja mayai...toa ute wa mayai,hapa unahitaji kiini tu..

5)mimina kwenye chama na changanya vizuri...

6)tengeza maduara ukubwa kiasi ila yawe flat..(yasiwe manene ili nyama iwive vizuri ndani)


7)weka pan yako jikoni weka mafuta kidogo sana then aanza kukàanga nyama zako..(weka moto speed kiasi ili ziwive vizuri na taratibu)...geuza upande mwengine wa nyama na kaanga....geuza geuza hadi unahakikisha nyama imewiva vizuri sana...

Unaona sasa faida ya kuuliza, sikuwahi kuwaza hizi.

Asante sana, will try tomorrow ipike In sha Allah mana hamna job.

farhina unafkiri tukifundishana mapishi kama haya tukayajua hao ma chef wa cafe watatupata tenaa?

Inahuuuu...
 
Last edited by a moderator:
Haihusu kitu kutumia shilingi 30,000 kununua kitu ambacho unaweza kukipata kwa shilingi 18,000 tena kizuri zaidi, shilingi 12,000 kibindoni.

Hahahahaahha yaani inapendeza kuona jinsi gani watu wajua kusave money ila wakaenjoy kama kawaida....

Mie kwa kusave ni balaa nahisi mie ni bonge la bahili lol....
 
Kwenye baadhi ya super markets unaweza kupata ambayo kazi yako ni kutia viungo uvitakavyo na kuichoma ila watakulangua. Hiyo ya kutengeneza mwenyewe itakuwa bomba sana, rudi hapa utupe feedback.

Unafkiri huku kwetu znz kuna s.market za ivo basi? Si kama Dar kwenu huko, s.market kila kitu kipo kasoro roho tu. Lol


Ntajaribu hio recipe ya farhina then ntakuja kuwajuza zimetokaje.

Mimi tangia hapo napenda sana kupika so hujifunza haraka.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Unaona sasa faida ya kuuliza, sikuwahi kuwaza hizi.

Asante sana, will try tomorrow ipike In sha Allah mana hamna job.

farhina unafkiri tukifundishana mapishi kama haya tukayajua hao ma chef wa cafe watatupata tenaa?

Inahuuuu...

Hawatupati mwenzangu...tujitahidi tu
 
Last edited by a moderator:
Haihusu kitu kutumia shilingi 30,000 kununua kitu ambacho unaweza kukipata kwa shilingi 18,000 tena kizuri zaidi, shilingi 12,000 kibindoni.


Hahhahahha lol...hilo neno kibindoni limenchekesha sana.....

Namkumbuka marehem bibi wa mama yangu sijui ndio mama mkuu wangu au kiswahili anaitwaje..basi alikua anapesa zake anafunga kwenye kanga akikutuma anakuambiwa hii bei gani shilingi mbili? Lol ndio mia mbili hiyo...
 
Hahhahahha lol...hilo neno kibindoni limenchekesha sana.....

Namkumbuka marehem bibi wa mama yangu sijui ndio mama mkuu wangu au kiswahili anaitwaje..basi alikua anapesa zake anafunga kwenye kanga akikutuma anakuambiwa hii bei gani shilingi mbili? Lol ndio mia mbili hiyo...

Ila na utuuzima wake alikua anapenda hina huyo....tena ukimpaka vidole havigusani lol
 
Unafkiri huku kwetu znz kuna s.market za ivo basi? Si kama Dar kwenu huko, s.market kila kitu kipo kasoro roho tu. Lol


Ntajaribu hio recipe ya farhina then ntakuja kuwajuza zimetokaje.

Mimi tangia hapo napenda sana kupika so hujifunza haraka.

Kila la kheir habibty....hope utaweza

Ukiweza tutafungua mgahawa tuuze makulat..
BAK wewe utakua unashika mahela.....lol
 
Last edited by a moderator:
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom