Naomba msaada wa jinsi ya kupika karanga za mayai

Six Time

JF-Expert Member
Oct 17, 2019
209
140
Habarini wana JamiiForums,

Natumaini mu wazima rejea kichwa cha habari hapo juu. Mimi ni kijana wa chuo ninaejihusisha na biashara ndogondogo kama kuuza karanga nyekundu ,visheti, kashata na karanga za mayai.

Msaada ninaomba ni upande wa karanga za mayai. Kuzipika najua ila kila nikipika zikikaa wiki zinabadirisha ladha inabadilika.

Hivyo, naomba ushauri wa jinsi ya kutengeneza ili ziweze kudumu kwa muda mrefu.


Umewahi kupitia maelezo haya
mahitaji ya awali kabla ya kuanza kukaanga karanga za mayai.
1. Sukari kiasi
2. Unga wa ngano kilo 1 moja na nusu.
3. Karanga kilo 1
4. Mayai 3
5. Mafuta ya kupikia kiasi kulingana na mchanganyiko wako.
Namna ya kutengeneza
a. Pasua mayai ,changanya mayai na sukari kisha koroga katika chumba kimoja.
b. Hatua ya pili chukua unga wa ngano kisha changanya na mchanganyiko namba (a) yaani mchanganyiko wa mayai na sukari.
c. Weka mafuta katika sufuria kisha injika motoni. Lakini hakikisha moto hauwi mkali sana. Ukiwa mkali sana utasababisha karanga kuungua sana na kupoteza radha.
d. Koroga mchanganyiko huo taratibu ili kuondoa kugandamana kwa mchanganyiko huo wa karanga pamoja na unga wa ngano. Fanya hivyo kila baada ya dakika kadhaa.
e. Ukiona zimeanza kubadilika rangi onja kwa kujiridhisha kama kweli zimeiva.
f. Zikisha iva ziepue kisha weka katika chombo kisafi ili zipoe.
 
Samahani kabla ya ushauri ningependa kujua ww uwa unapikaje ili tuweze kugundua wapi unapokosea
 
Samahani kabla ya ushauri ningependa kujua ww uwa unapikaje ili tuweze kugundua wapi unapokosea
Nachukua Karanga ambazozishachambukiwa hizi nyeupe napasua mayai nayachanganya na sukari na vanila kidogo then namiminia kwenye karangazangu nazikoroga mpaka zotezishike mayai then nachukua unga wangano nanyunyuzia uku nikikoroga kila karanga ishike unga aftazat nazikaanga note mafuta nilishayabandika yakapata moto
 
Samahani kabla ya ushauri ningependa kujua ww uwa unapikaje ili tuweze kugundua wapi unapokosea
Nachukua Karanga ambazozishachambukiwa hizi nyeupe napasua mayai nayachanganya na sukari na vanila kidogo then namiminia kwenye karangazangu nazikoroga mpaka zotezishike mayai then nachukua unga wangano nanyunyuzia uku nikikoroga kila karanga ishike unga aftazat nazikaanga note mafuta nilishayabandika yakapata moto
Umewahi kupitia maelezo haya
mahitaji ya awali kabla ya kuanza kukaanga karanga za mayai.
1. Sukari kiasi
2. Unga wa ngano kilo 1 moja na nusu.
3. Karanga kilo 1
4. Mayai 3
5. Mafuta ya kupikia kiasi kulingana na mchanganyiko wako.
Namna ya kutengeneza
a. Pasua mayai ,changanya mayai na sukari kisha koroga katika chumba kimoja.
b. Hatua ya pili chukua unga wa ngano kisha changanya na mchanganyiko namba (a) yaani mchanganyiko wa mayai na sukari.
c. Weka mafuta katika sufuria kisha injika motoni. Lakini hakikisha moto hauwi mkali sana. Ukiwa mkali sana utasababisha karanga kuungua sana na kupoteza radha.
d. Koroga mchanganyiko huo taratibu ili kuondoa kugandamana kwa mchanganyiko huo wa karanga pamoja na unga wa ngano. Fanya hivyo kila baada ya dakika kadhaa.
e. Ukiona zimeanza kubadilika rangi onja kwa kujiridhisha kama kweli zimeiva.
f. Zikisha iva ziepue kisha weka katika chombo kisafi ili zipoe.
 
Nshajaribu lakin znakaa wiki mbili tuu zna harbika
Umewahi kupitia maelezo haya
mahitaji ya awali kabla ya kuanza kukaanga karanga za mayai.
1. Sukari kiasi
2. Unga wa ngano kilo 1 moja na nusu.
3. Karanga kilo 1
4. Mayai 3
5. Mafuta ya kupikia kiasi kulingana na mchanganyiko wako.
Namna ya kutengeneza
a. Pasua mayai ,changanya mayai na sukari kisha koroga katika chumba kimoja.
b. Hatua ya pili chukua unga wa ngano kisha changanya na mchanganyiko namba (a) yaani mchanganyiko wa mayai na sukari.
c. Weka mafuta katika sufuria kisha injika motoni. Lakini hakikisha moto hauwi mkali sana. Ukiwa mkali sana utasababisha karanga kuungua sana na kupoteza radha.
d. Koroga mchanganyiko huo taratibu ili kuondoa kugandamana kwa mchanganyiko huo wa karanga pamoja na unga wa ngano. Fanya hivyo kila baada ya dakika kadhaa.
e. Ukiona zimeanza kubadilika rangi onja kwa kujiridhisha kama kweli zimeiva.
f. Zikisha iva ziepue kisha weka katika chombo kisafi ili zipoe.
 
Umewahi kupitia maelezo haya
mahitaji ya awali kabla ya kuanza kukaanga karanga za mayai.
1. Sukari kiasi
2. Unga wa ngano kilo 1 moja na nusu.
3. Karanga kilo 1
4. Mayai 3
5. Mafuta ya kupikia kiasi kulingana na mchanganyiko wako.
Namna ya kutengeneza
a. Pasua mayai ,changanya mayai na sukari kisha koroga katika chumba kimoja.
b. Hatua ya pili chukua unga wa ngano kisha changanya na mchanganyiko namba (a) yaani mchanganyiko wa mayai na sukari.
c. Weka mafuta katika sufuria kisha injika motoni. Lakini hakikisha moto hauwi mkali sana. Ukiwa mkali sana utasababisha karanga kuungua sana na kupoteza radha.
d. Koroga mchanganyiko huo taratibu ili kuondoa kugandamana kwa mchanganyiko huo wa karanga pamoja na unga wa ngano. Fanya hivyo kila baada ya dakika kadhaa.
e. Ukiona zimeanza kubadilika rangi onja kwa kujiridhisha kama kweli zimeiva.
f. Zikisha iva ziepue kisha weka katika chombo kisafi ili zipoe.

Baba naniliu Daby unajua kuzipika hizi?kama hujui niombe nikufundishe

Hii ni moja ya snacks/bites ninayoionea kwenye upishi wake
 
Mrejesho Asanteni sana kwamsaada sasa nimeshaweza kutengeneza karanga zamayai nawashukuru wote mlio nisaidia nawote mlio changia Mungu awabariki
PSX_20200311_095811.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom