So far watu kumi wameshachangia...
So far tupo wanachama 20....
Of course nimepitishia bandari ya mombasa...why not Bwana. .
Hahaha worry not ntaclear hii balance...
Check na mtu wa jikoni...
Haya maneno yana maana gani kwa jinsi yalivyotumika kwenye hizi methali?
1. Kisokula, sera, nale => (Kisokula mlimwengu,sera nale)
2. Konzo => (Konzo ya maji haifumbatiki)
3. Lila, fila => (Lila...
Kiingereza nii lugha ngumu kwa wengine na kwa wengine ni lugha rahisi sana, wanavyoita vitu kwa majina waingereza wanatofautiana kidogo na wamarekani ebu ona tofuti na ujifunze kitu ili cha...
Hotuba yake ya Mwanza, ya Raisi Magufuli,
Ndege ameleta kwanza, sasa ataleta meli,
Hakujali kila kinza, Raisi katawakali,
Kwanza ndege sasa meli, Raisi twampongeza.
Raisi twampongeza, daima...
Asalaam wakuu
Kumekuwa na mitazamo mingi na ukinzani wa fikra juu ya neno muda. Hadi sasa hakuna tafsiri wala maana moja inayoelezea neno muda ambayo imekubalika kwa wanazuoni wote.
Baadhi...
Habari wenzangu,
Nina swali juu ya kiswahili ifuatayo:
(1) Je, kuna mtihani ya kiswahili ya kuthibitisha kiwango cha lugha? Kwa mfano kwa kiingereza huwa TOELF ama IELTS zinatumika. Pengine...
Karibu ujifunze Kiingereza
Kozi hii ni mfululizo wa vijitabu vya kufundishia Kiingereza cha kawaida cha kuongea. Katika vijitabu hivi, utakuta mazungumzo ya Kiingereza, tafsiri, maelezo na...
Hello wadau wa lugha. Nataka kumfundisha course ya kingerezamdogo wangu aliyehitimu darasa la saba . Sasa sina materials. Wenye vitabu vizur vya english course naombeni mnisaidie. Natanguliza shukrani
Wakuu, ni kwa nini kizazi hiki cha sasa kinaona ugumu kutumia herufi H kiusahihi? Neno Habari linaandikwa Abari, Hujambo inaandikwa Ujambo, Hayupo inaandikwa Ayupo. Mengine mtaongezea.
Mwanzoni...
Leo nilikuwa naangalia habari KTN lakini niliona kiswahili kilichonifanya nifikirie.
Kwenye habari yenyewe ni kwamba pale walipotaka kutangaza idadi ya vitu katika @Percentage walikuwa...
kwa kutumia kiswahili fasaha, Tunga sentensi nzuri yenye neno " Giza limeingia"
Atakayetunga sentensi yenye like nyingi nimeandaa zawadi ya weekend!!!!
Huu usemi nimeamini baada ya kutoka kwa ajali za Mv Bukoba na Mv Nyerere ukiwa na maana ya meli/mtumbwi uzama/ uharibika pindi unapokaribia kufika kwa kweli wahenga waliona vingi.
Nasikia na kuona maandishi kwa kila mwenye shahada ya uzamivu kuitwa daktari!!!
Je hii ni sahihi? bakita wangetusaidia kwa hili.
Kwa maoni yangu: daktari ni tabibu na huyu mwanazuoni mwingine...
Si mmesikia wimbo mpya wa Sauti Sol - Tujiangalie? Naona huu wimbo una maana nyingi juu ya historia na mwelekezo wa Kenya. Kuna mtu hapa mstadi wa Kiingereza ambaye anaweza kujaribu tafsiri...
Kiingereza cha kiTanzania
Wapendwa wana JF na wale wote wenye mapenzi mema na nchi yetu Tanzania; hapa ulimwenguni katika nchi zote zilizotawaliwa na mwingereza takriban kila moja ina...