Nasikia na kuona maandishi kwa kila mwenye shahada ya uzamivu kuitwa daktari!!!
Je hii ni sahihi? bakita wangetusaidia kwa hili.
Kwa maoni yangu: daktari ni tabibu na huyu mwanazuoni mwingine ni dakta au litafutwejina jingine. tuwaachie matabibu jinalao na heshima yao wanayo stahili.
Je hii ni sahihi? bakita wangetusaidia kwa hili.
Kwa maoni yangu: daktari ni tabibu na huyu mwanazuoni mwingine ni dakta au litafutwejina jingine. tuwaachie matabibu jinalao na heshima yao wanayo stahili.