Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Yapata saa tisa za usiku.. alionekana pale,mwenye taharuki.. sura yake dhahiri ilijazwa na hofu,hofu yenye ambato la kutokujua afanye nini! halikuwa moja lenye kumchanganya, yalikuwa mia...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
What Haemonotox Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
548 Views
Dah,,, Neno ''FULSA'' linapooneka kwenye matangazo ya Televisheni ya Taifa TBC ni tusi kubwa Watanzania wazalendo.... Haiwezekani tukajivunia lugha yetu ya taifa halafu chombo tunachokitumia...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
1.Hali sasa taabani,sote pia tumechoka Balaa barabarani,dereva wanaropoka Waamualo chumbani,mkosi wakisha toka Dereva hukurupuka,akifikiri kwa honda. 2.Abiria ka shetani,tuishi alitamka Hali...
1 Reactions
1 Replies
918 Views
Habari za jioni wadau, Hawa vizabizabina ni akina nani, nimewasikia wakisemwa, wakiimbwa na kutolewa maneno makali. Naomba kujuzwa tafadhali
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Taarifa kwa Umma - Ufafanuzi kuhusu AVN - NACTE
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Is it correct to wite Tanzania electric campany or Tanzania electricity campany? Mi nafikiri inapapaswa kuwa Tanzania electricity campany! Nyie mnaonaje
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Swali liko wazi,mwenye kujua maana ya maana atueleze.
0 Reactions
27 Replies
13K Views
Habari za asubuhi wana JF? Kumekuwa na tatizo la kiuandishi kwa watu wengi kuanzia humu JF mpaka kwingineko kote kwenye mitandao ya kijamii mwanzo nilidhani ni kujisahau lakini sasa naona kama...
1 Reactions
9 Replies
4K Views
HATUNAE MAJUTO. 1.Kila nafsi duniani Taingia kaburini Sote yupo safarini Twapita kwenye dunia. 2.Imendikwa vitabuni Siyo tungo za kubuni Kifo kipo karibuni Hakuna wakubakia. 3.Ila Mumba wa...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Nini maana ya 'mind' kwa kiswahili
0 Reactions
27 Replies
22K Views
Nauliza tofauti na matumizi ya maneno haya nifahamisheni ! "Kijana" na "Binti"
0 Reactions
11 Replies
10K Views
Habari zenu? Kwa anaejua liwa ni nini anisaidie kunifumbua macho, Inatokana na nini? Kwa lugha ya malkia inaitwaje? Nimeshindwa kupata majibu kutoka kwa wanaonizunguka nikakumbuka JF ni kiboko...
0 Reactions
31 Replies
29K Views
1)I........my notes already. a)have wrote b)writting c)writes d) written e)have written [ ]. 2). Amina and ashura ......chasing the rate. a)is b)am c) being d) were e) been [ ] If you have...
0 Reactions
30 Replies
8K Views
Nini Kiswahili cha maneno yafuatayo? 1. Top secret 2. Secret 3. Confidential 4. Restricted Natanguliza shukrani.
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Kama kichwa kilivyojieleza juu, nini maana ya neno mwanaapolo.limetoka wapi,nn chanzo chake ???? Nawasilisha.
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Kibanda-umiza ni neno la kiswahili lenye maana ya maeneo ambayo watu hukusanyika na kulipia huduma ya kuangalia michezo mbalimbali kama mpira wa miguu kwa njia ya televisheni. Naomba kujua kwanini...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Nyingine zinahitaji ujuzi, elimu na tajriba ya kiwango cha juu ukilinganisha na nyingine. Mifano 1. Mhasibu: Mtaalamu wa kuweka hesabu ya fedha. 2. Mhandisi/injinia: Mjuzi wa kutengeneza...
0 Reactions
5 Replies
8K Views
Ndugu zanguni humu jamvini naomba maana na mifano ya maneno au sentensi zifuatazo. 1. Uchochezi 2. Kumtukana Rais 3. Kumchonganisha Rais na wananchi.
0 Reactions
4 Replies
3K Views
KUMRADHI KWENYE HEADING NAMAANISHA VIDEO CONVERTER. Naomba maujuzi kidogo, nime download video kwenye mp4 haicheki katika simu ya android hivyo nahitaji kuibadilisha ili iweze kuchezwa. Naweza...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom