kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,635
- 7,005
Nimeona mrembo amempost WhatsApp status kaka yake halafu anamwambia "amedamshi!"Mimi bwanashamba si vibaya mkanieleza nikajua ili mnitoe ushamba...
Brow mistari minne ya mwanzo sijaelew hapo mwanaume. .......Hili ni neno la wanawawake kwa wanawake ni marufukua kwa mwanaume aliekamilika kulitumia...maana yake halisi ni kupendeza kw hela za kuhongwa ila lipoozwa na kuwa tu kupendeza ila kwa wanawake wahuni walianza kuambiana neno hilo muda tu
mambo queeneverKikwetu kudamshi ni kuwahi kuamka
mambo queenever
mi mzma ila siitwi bonPoa kaka bon,,hujambo
Sasa we mwanaume unafahamu mpaka chimbuko na historia yake baro unasema la wanawake na haliwahusu wanaume, kwann umelifahamu hivyo.Hili ni neno la wanawawake kwa wanawake ni marufukua kwa mwanaume aliekamilika kulitumia...maana yake halisi ni kupendeza kw hela za kuhongwa ila lipoozwa na kuwa tu kupendeza ila kwa wanawake wahuni walianza kuambiana neno hilo muda tu
Hata ped najua matumiz matumiz yake lakin sizitumii..!Sasa we mwanaume unafahamu mpaka chimbuko na historia yake baro unasema la wanawake na haliwahusu wanaume, kwann umelifahamu hivyo.
Ku damkaKikwetu kudamshi ni kuwahi kuamka
Brow mistari minne ya mwanzo sijaelew hapo mwanaume. .......