Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Ninavoelewa mie JK ni kifupi cha ama Julius Kambarage au Jakaya Kikwete. sasa ili kutofautisha mhusika wa kifupi hicho ni vema tukaachana nacho na kama tunataka kutumia vifupisho vya hawa viongozi...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Unapoongelea lafudhi ya kiswahili na baadhi ya misemo ya mtaani (japo si sana na kote) basi kwa Arusha kuna lafudhi nyingi. kuanzia KIkatiti,maji ya chai,usa,tengeru mpaka kufika maeneo ya...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Kwema wakuu,natafuta sehemu au chuo,kinacho fundisha lugha za asiri za hapa TZ, nataka kujifunza kimasai,kichaga na kigogo,kwa anaye jua wapi nitapata msaada wa lugha hizo,naomba taharifa.nipo...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Wana jamvi nimewasalimu. Leo naja na nyuzi ya kiitikadi kidogo tuweze kupeana ufafanuzi.
0 Reactions
29 Replies
13K Views
Hili neno huwa linatumika sana katika wakati wa ujazaji wa nyaraka mbalimbali mf. Mikataba ya ajira,hospitalini,mauziano ya vitu n.k. Swali langu naomba kuelimishwa "implication" yake hasa ktk...
1 Reactions
13 Replies
9K Views
Taabu kidogo kwa Vijana wa leo Lugha na maandishi yalivyo unaweza pata shida kumuelewa haswa nini kakikusudia kubandika, Unaweza pata rafiki tena akawa yupo chuo kikuu kabisa kabisa akawa...
5 Reactions
17 Replies
2K Views
Ni ukweli usio na shaka lugha mama ya kiswahili ina uhaba mwingi wa maneno. Hali hii imesababisha kukopa baadhi ya maneno kutoka katika baadhi ya lugha, mfano mpaka leo binafsi sijui kinyume cha...
5 Reactions
94 Replies
8K Views
Naomba tafsiri ya neno hilo kwa kiswahili likitumika katika muktadha wa uandishi wa taarifa( report) au kitabu pale mwanzoni. Kwa mf Introduction Background Preface
0 Reactions
13 Replies
14K Views
Wakuu habari ya majukumu ya kutwa. nina rafiki yangu anaomba nimsaidie katika kujifunza lugha ya kiswahili. Tatizo sina muongozo wa kumfundishia, naomba kwa yeyote aliyenao anisaidie. Natanguliza...
0 Reactions
0 Replies
784 Views
Wakuu habari ya majukumu ya kutwa. nina rafiki yangu anaomba nimsaidie katika kujifunza lugha ya kiswahili. Tatizo sina muongozo wa kumfundishia, naomba kwa yeyote aliyenao anisaidie. Natanguliza...
0 Reactions
0 Replies
532 Views
Je, kiingereza kinakusumbua? Je,hujajua sehemu sahihi ya kujifunza kiingereza? Sasa anza nasi kujifunza kiingereza kupitia mtandaoni (WhatsApp) utajifunza kiingereza kwa kiswahili hi ni...
3 Reactions
43 Replies
10K Views
Transcriber/translator needed in Moshi. Looking for an efficient and reliable transcriber/translator for Kiswahili interviews used in social science research. The research studies livelihoods of...
1 Reactions
1 Replies
780 Views
1.UTANIKUMBUKA 1, Nikazibeba dhihaka, kukusitiri na chuki. Nikaitwa jina paka ,na mengi sana matusi. Lawama nikajivika, nikazidisha juhudi. Umenisahau...
2 Reactions
0 Replies
763 Views
Kuna mdau kanambia "I have many fishes to fly" akimaanisha ana mambo mengi ya kufanya. Kasema huu ni msemo wa englishi kumaanisha hivo. Wataakam wa lugha nisaidieni kama yupo sahihi sent using...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nimekuta mjadala kwenye daladala. Je ni sahihi mwanaume unapomwita kwa jina kuitika "RABEKAH"? Au anapaswa kuitika kuitika vp? Kuna ambao wanadai Rabekah wanaitika wanawake pekee. Kuna wanaume...
0 Reactions
6 Replies
7K Views
Kuna hili neno "Kuswali", huwa linanitatiza sana, na linaonekana kurasimishwa na jamii ya watu wa uswahili ilhali si neno rasmi ambalo lipo kwenye orodha ya lugha yetu adhimu ya kiswahili Tena...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
*Useful information* [emoji888][emoji888][emoji888][emoji888][emoji888][emoji888][emoji888] 1. *PAN* Primary Account Number. 2. *PDF* Portable Document format. 3. *SIM* Subscriber Identity...
4 Reactions
6 Replies
3K Views
Wakuu habarini zenu,, Nilikua naomba msaada wa maana ya hili neno "FURTHER"kwa kiswahili na matumizi yake katika Maongezi au sentensi Asanteni
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Nilimsikia Mheshimiwa akiwaita "Local Producers"!
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Wapo watu wangu wanaowaita hawa wahisani, wengine wakiwaita washika dau wa maendeleo, wakoloni au hata wapo wanawaita mabeberu. Ni lipi jina sahihi kwa kundi hili ama ni watu tofauti?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…