Pendekezo: Neno Utundulissu liingizwe katika Kamusi

De Facto List

JF-Expert Member
Dec 16, 2018
324
1,185
Ni ukweli usio na shaka lugha mama ya kiswahili ina uhaba mwingi wa maneno. Hali hii imesababisha kukopa baadhi ya maneno kutoka katika baadhi ya lugha, mfano mpaka leo binafsi sijui kinyume cha neno Uzalendo.

Utundulissu sio tusi/kashfa ni sifa kwa maana ya kumtunuku Mzalendo wetu aishiye Ughaibhuni.

Sio mjuvi sana wa misamiati ya kiswahili..lakini katika lugha ya kiingereza kuna kitu kinaitwa 'Eponym' ambacho kwa maana isiyo rasmi ni kukaimisha 'kitendo' kwa niaba ya 'jina' la mtu. Hii hutokea pale muhusika wa jina anapokuwa aidha muanzilishi wa kitu au tendo fulani.

Hili si geni maneno kama boycott, Volts, Columbia na hata sandwich kwa uchache yalitokana na wahusika.

Hoja ya msingi si kutumia maneno ya Karia kisiasa bali ni 'tushauriane' na kutoa mapendekezo ni kwa namna neno( utundulissu) linabeba uhalisia wa mzalendo huyu.

Kwa ninavyomfahamu mimi, Utundu lissu litafaa kutumika kumaanisha.. 'msaliti wa nchi', 'mtu mbinafsi na mfakarakishinaji', 'kuropoka', 'kuzurula', kupotoka/kupotosha, kutumika n.k

Jumapili Njema wapendwa katika Bwana.
 
Angeandika mtu mwingine ungemwambia 'Ondoa vitunguu swaumu hapa' lakini mimi naheshimu kwasababu haya ni mawazo yako na kila mmoja ana Uhuru na haki ya kutoa maoni yake.
Tujifunze kuvumiliana pale mwenzako anapoandika jambo lisilo kupendeza

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Angeandika mtu mwingine ungemwambia 'Ondoa vitunguu swaumu hapa' lakini mimi naheshimu kwasababu haya ni mawazo yako na kila mmoja ana Uhuru na haki ya kutoa maoni yake.
Tujifunze kuvumiliana pale mwenzako anapoandika jambo lisilo kupendeza

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
anastahili kupewa apandacho kwa wengine...lijitunguu maji hili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni ukweli usio na shaka lugha mama ya kiswahili ina uhaba mwingi wa maneno. Hali hii imesababisha kukopa baadhi ya maneno kutoka katika baadhi ya lugha, mfano mpaka leo binafsi sijui kinyume cha neno Uzalendo.

Utundulissu sio tusi/kashfa ni sifa kwa maana ya kumtunuku Mzalendo wetu aishiye Ughaibhuni.

Sio mjuvi sana wa misamiati ya kiswahili..lakini katika lugha ya kiingereza kuna kitu kinaitwa 'Eponym' ambacho kwa maana isiyo rasmi ni kukaimisha 'kitendo' kwa niaba ya 'jina' la mtu. Hii hutokea pale muhusika wa jina anapokuwa aidha muanzilishi wa kitu au tendo fulani.

Hili si geni maneno kama boycott, Volts, Columbia na hata sandwich kwa uchache yalitokana na wahusika.

Hoja ya msingi si kutumia maneno ya Karia kisiasa bali ni 'tushauriane' na kutoa mapendekezo ni kwa namna neno( utundulissu) linabeba uhalisia wa mzalendo huyu.

Kwa ninavyomfahamu mimi, Utundu lissu litafaa kutumika kumaanisha.. 'msaliti wa nchi', 'mtu mbinafsi na mfakarakishinaji', 'kuropoka', 'kuzurula', kupotoka/kupotosha, kutumika n.k

Jumapili Njema wapendwa katika Bwana.
Kinyume cha uzalendo ni UHAINI.

Wewe ulikuwa wapi kuleta neno UTUNDULISSU na maana yako mpaka Wallace kaja na maana yake wewe unataka ulete yako??
UTUNDULISSU kama mhasisi wa neno alivyosema ni MATUMIZI mabaya ya fedha za umma, maana hii imechagizwa na Tundu Lissu kutumia pesa vibaya.
Acha PLAGIARISM, appreciate mhasisi wa neno na maana aliyokusudia.
UTUMDULISSU=EMBEZZLEMENT.
 
Ni ukweli usio na shaka lugha mama ya kiswahili ina uhaba mwingi wa maneno. Hali hii imesababisha kukopa baadhi ya maneno kutoka katika baadhi ya lugha, mfano mpaka leo binafsi sijui kinyume cha neno Uzalendo.

Utundulissu sio tusi/kashfa ni sifa kwa maana ya kumtunuku Mzalendo wetu aishiye Ughaibhuni.

Sio mjuvi sana wa misamiati ya kiswahili..lakini katika lugha ya kiingereza kuna kitu kinaitwa 'Eponym' ambacho kwa maana isiyo rasmi ni kukaimisha 'kitendo' kwa niaba ya 'jina' la mtu. Hii hutokea pale muhusika wa jina anapokuwa aidha muanzilishi wa kitu au tendo fulani.

Hili si geni maneno kama boycott, Volts, Columbia na hata sandwich kwa uchache yalitokana na wahusika.

Hoja ya msingi si kutumia maneno ya Karia kisiasa bali ni 'tushauriane' na kutoa mapendekezo ni kwa namna neno( utundulissu) linabeba uhalisia wa mzalendo huyu.

Kwa ninavyomfahamu mimi, Utundu lissu litafaa kutumika kumaanisha.. 'msaliti wa nchi', 'mtu mbinafsi na mfakarakishinaji', 'kuropoka', 'kuzurula', kupotoka/kupotosha, kutumika n.k

Jumapili Njema wapendwa katika Bwana.
Umeanza lini kujiuza mtoa mada?
 
Huwa najiuliza, yupi msaliti kati ya Tundu Lissu na wale waliommwagia lundo la risasi.........siamini kama uzalendo ni kutaka kumuua Lissu au kumchafua kwa namna yyt ile.......
 
Kwa muda sasa ccm walikuwa wamekosa hoja,naona sasa hoja imepatikana!Hongera Think tank wa CCM!
 
Mhamiaji haramu hawezi kuja kutufunza kiswahili wala misamiati, jifunzeni nyinyi huko lumumba maana kuna watu wakutoka nchi jirani, wahutu na wasomalia!
 
Mumeo na watoto wako wapi?
Google_20190203_093117.jpeg
 
Ni ukweli usio na shaka lugha mama ya kiswahili ina uhaba mwingi wa maneno. Hali hii imesababisha kukopa baadhi ya maneno kutoka katika baadhi ya lugha, mfano mpaka leo binafsi sijui kinyume cha neno Uzalendo.

Utundulissu sio tusi/kashfa ni sifa kwa maana ya kumtunuku Mzalendo wetu aishiye Ughaibhuni.

Sio mjuvi sana wa misamiati ya kiswahili..lakini katika lugha ya kiingereza kuna kitu kinaitwa 'Eponym' ambacho kwa maana isiyo rasmi ni kukaimisha 'kitendo' kwa niaba ya 'jina' la mtu. Hii hutokea pale muhusika wa jina anapokuwa aidha muanzilishi wa kitu au tendo fulani.

Hili si geni maneno kama boycott, Volts, Columbia na hata sandwich kwa uchache yalitokana na wahusika.

Hoja ya msingi si kutumia maneno ya Karia kisiasa bali ni 'tushauriane' na kutoa mapendekezo ni kwa namna neno( utundulissu) linabeba uhalisia wa mzalendo huyu.

Kwa ninavyomfahamu mimi, Utundu lissu litafaa kutumika kumaanisha.. 'msaliti wa nchi', 'mtu mbinafsi na mfakarakishinaji', 'kuropoka', 'kuzurula', kupotoka/kupotosha, kutumika n.k

Jumapili Njema wapendwa katika Bwana.
Mkiwapata watu wasiojulikana nitakuunga mkono ''You have made him stronger and more noisier than he was'' mmemtengeneza wenyewe hadi aonekane ni msaliti udharimu mliomfanyia unawagharimu
 
Ni ukweli usio na shaka lugha mama ya kiswahili ina uhaba mwingi wa maneno. Hali hii imesababisha kukopa baadhi ya maneno kutoka katika baadhi ya lugha, mfano mpaka leo binafsi sijui kinyume cha neno Uzalendo.

Utundulissu sio tusi/kashfa ni sifa kwa maana ya kumtunuku Mzalendo wetu aishiye Ughaibhuni.

Sio mjuvi sana wa misamiati ya kiswahili..lakini katika lugha ya kiingereza kuna kitu kinaitwa 'Eponym' ambacho kwa maana isiyo rasmi ni kukaimisha 'kitendo' kwa niaba ya 'jina' la mtu. Hii hutokea pale muhusika wa jina anapokuwa aidha muanzilishi wa kitu au tendo fulani.

Hili si geni maneno kama boycott, Volts, Columbia na hata sandwich kwa uchache yalitokana na wahusika.

Hoja ya msingi si kutumia maneno ya Karia kisiasa bali ni 'tushauriane' na kutoa mapendekezo ni kwa namna neno( utundulissu) linabeba uhalisia wa mzalendo huyu.

Kwa ninavyomfahamu mimi, Utundu lissu litafaa kutumika kumaanisha.. 'msaliti wa nchi', 'mtu mbinafsi na mfakarakishinaji', 'kuropoka', 'kuzurula', kupotoka/kupotosha, kutumika n.k

Jumapili Njema wapendwa katika Bwana.
Leo umelewa vitunguu swaumu,punguza kula vitunguu swaumu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom