Ni sahihi mwanaume kuitika rabekah?

Ziroseventytwo

JF-Expert Member
Mar 27, 2011
7,980
13,633
Nimekuta mjadala kwenye daladala. Je ni sahihi mwanaume unapomwita kwa jina kuitika "RABEKAH"? Au anapaswa kuitika kuitika vp? Kuna ambao wanadai Rabekah wanaitika wanawake pekee.

Kuna wanaume nimeshawasikia wakiitika rabekah. Na wasichana nao pia nimewasikia wakiiti hivyo hivyo.

Usahihi ni upi?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asili ya wito ni lugha ya kiarabu. Mwnamke haitiki Rabeka. Neno lenyewe ni "Labbaika"

Ni mwitikio wa mwanaume. Ndio maana Waislam wakati wa kuowa (kuozeshwa) wanaitwa jina "GENTAMYCINE" naye GEnta anaitikia "Labbaika" kisha anaulizwa " Umekubali kumuowa Khantwe bint fulani. Bwana Genta anasema ndio nimekubali.....

Kwa Waswahili wa Pwani hakuna mwanamke anaitika Labbaika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asili ya wito ni lugha ya kiarabu. Mwnamke haitiki Rabeka. Neno lenyewe ni "Labbaika"

Ni mwitikio wa mwanaume. Ndio maana Waislam wakati wa kuowa (kuozeshwa) wanaitwa jina "GENTAMYCINE" naye GEnta anaitikia "Labbaika" kisha anaulizwa " Umekubali kumuowa Khantwe bint fulani. Bwana Genta anasema ndio nimekubali.....

Kwa Waswahili wa Pwani hakuna mwanamke anaitika Labbaika.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huu mfano nimeupenda
 
Huku Marekani, Rebekah ni jina la kawaida kabisa, lakini wanawake tu wanaitika hivyo. Jina linaandikwa kwa namna mbalimbali.

Rebecca
Rebekah
Becca (kifupisho)
Bekah (kifupisho)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom