Hivi kuna sentensi moja nimekua nikiisikia hususan kwa watu wa dar na bara inayosema "nipo mwenyewe " eti wakiwa na maana hakuna mtu mwengine zaidi yake; kwa mimi mtu wa pwani naona sentensi hii...
Wanajf hamjambo!
Kama swali hapo ambalo huwa najiuliza mara kwa mara , Leo nimeona niwaletee tujadili kidogo kama inafaa au haifai with ground reasons.
Ukifika South Africa wao wana lugha kama...
Habari?
Nahitaji kuonana na mdau anayejuwa kusoma na kuandika lugha ya Kijapani.
Napatikana Dar es Salaam.
Natanguliza shukrani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna hili neno "F**k" limekua likinitatiza matumizi yake moja kwa moja.
Navojua maana yake ni kama tusi mfano mtu akisema'F**k you'obvious kakutukana, lakini pia nilikua naangalia tamasha fulani...
1.
Leo inanigharimu,kuleta kwenu andishi,
Lahusu Kesi adhimu, Bodi ya CUF kughushi,
Msome wote Kaumu, Jaji yake matamshi ,
Bodi ya Lipumba ghushi, imehukumu hukumu,
2.
Kwa mujibu wa hukumu...
Wana inakuwaje wazee?!!
Mambo niaje,,,aisee namiss sana story za kitaa..kutimba kwa mangeli na manogo ya mastori ya kitaa...
Kama vipi tulonge hapaaa...
Sent using Jamii Forums mobile app
Asilimia 80% Kiswahili ni lugha iliyozaliwa kutokana na kibantu na kiarabu,achilia mbali maneno mengine ya makabila na lugha zingine za kimataifa kama Kijermani na Kingereza.
Kwanini watanzania...
Hebu Pata Kumi Bora za Wahenga
________________________________________
Wahenga ni wazee wenye akili waliotutangulia maana siyo kila mzee ana akili kwa sababu hata wajinga wanazeeka. Mjinga...
Shindano la tuzo ya Ushairi ya Ebrahim Hussein limefunguliwa rasmi. Ewe mshairi uliopo Tanzania wasilisha tungo yako kabla ya tarehe 31/07/2018. Hakikisha unazingatia vigezo na masharti...
Nimekuwa naona vyombo vya habari hasa Magazeti wakitumia neno "Hairisha" likimaanisha (kwa kiingereza) postpone. Wataalam wa Kiswahili naomba mnisaidie neno fasaha ni Hairisha au Ahirisha...
Does anyone know the translation of this Taarab song. Apparently its in old Swahili? Thank you
Beru lina marumba la vumba,*2,
lambaje,lambaje beru siuganga,mume wangu kaogelea vumba ,
Lambaje...