Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 6,376
- 6,708
Wapendwa wanangu, naamini hamjambo. Mie baba yenu ni mzee wa zama za dhahabu. Huwa nasikia neno kimeumana. Sijui maana yake. Mara ya kwanza, nililisikia kule Nairobi aka Nairobbery Kenya, ila sikupata fursa ya kuwauliza shengpeople walokuwa wakilitumia.
Kwanza, ni nini hicho kinachoumana? Kinaumana vipi na kwanini? Kwa wajuzi hata wajuvi wa Kiswahili fasaha, hebu nifungue macho. Je KIMEUMANA maana yake nini?
Kwanza, ni nini hicho kinachoumana? Kinaumana vipi na kwanini? Kwa wajuzi hata wajuvi wa Kiswahili fasaha, hebu nifungue macho. Je KIMEUMANA maana yake nini?