Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
1. Aanguaye huanguliwa. 2. Asiye sikia la mkuu, huvunjika guu. 3. Abebwaye hujikaza. 4. Adhabu ya kaburi aijuae maiti. 5. Adui aangukapo, mnyanyue. 6. Adui mpende. 7. Adui wa mtu ni mtu. 8...
3 Reactions
14 Replies
10K Views
Je kikwenu mama uitwaje? SISI kikwetu yaani kiganda, nyoko ni mama,ukitaka kujua Hali ya mama kiafya unaniuliza NYOKO MGUM? Je kwa kiswahili nyoko ni Nini? Je nyoko wako ndugu msomaji ni MGUM?
2 Reactions
10 Replies
561 Views
Habari wana JF Kuna kitu nimekuwa nikikiona mara kwa mara kwa wateja wanakuja kuulizia bidhaa dukani. Mteja baada ya salamu anauliza kwa kutumia wingi, hata kama anahitaji kitu kimoja tu...
4 Reactions
27 Replies
600 Views
Vihusishi 'na' na 'kwa' vinakosewa sana katika matumizi kiasi cha kuleta mkanganyiko katika mawasiliano ya kila siku. Kwa mfano, mtu anasema "Nilisafiri na gari", badala ya "Nilisafiri kwa...
5 Reactions
20 Replies
991 Views
Unajua kuna wasomi wamesoma mpaka Masters PhD ila cha kushangaza mtu huyu anapoambiwa jitambulishe anaanza kwa kusema "kwa majina ninaitwa........" kaka na dada zangu sio kwa "kwa majina" ila...
5 Reactions
10 Replies
2K Views
Matumizi ya vitu hivi viwili KATIKA kuremba nywele, huchanganya. Ukweli ni huu. Kazi ya Chanuo ni kuchana nywele, YAANI kutengenisha nywele kimakundi. Kazi ya kitana ni kutana nywele neno...
0 Reactions
0 Replies
216 Views
Haya ni maneno mapya ya mitandaoni. Usahihi ni upi kati ya akili mnemba na akili unde?
0 Reactions
2 Replies
858 Views
Unajua watanzania wengi wakisikia neno Bodaboda wanajua ni neno lenye chimbuko la Kiswahili au lililoanzishwa Tanzania. Lakini si kweli Neno “bodaboda” halikuzaliwa Tanzania —lilizaliwa mpakani...
0 Reactions
7 Replies
607 Views
Samahani nina swali kuhusu neno mjegeje. Nimesoma neno mjegeje lakini sijajua na sijaelewa maana yake. Nimegoogle na sijapata kamusi inaonyesha neno hii. Neno hii ni neno ya slang au kwa nini neno...
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Write something in English and let chat in English. Please like this thread as agreement with my hoja.
60 Reactions
976 Replies
24K Views
Naomba ufafanuzi kidogo au gerentii ndo kiswahili?
0 Reactions
3 Replies
315 Views
SHEGA KULALEKI BOMBA MILUPO MIKASI UMEME (UKIMWI) SLIMU (UKIMWI) DENTI DUXI DU NGINGA NGINGA MZEE MWENZANGU ... ongezea na mingine tukumbushane...
7 Reactions
31 Replies
777 Views
Wakuu habari za majukumu? Katika pitapita zangu mitandaoni nilikuwa na kiu ya kujua kampuni ya philips makao yake makuu yapo wapi? Google wakanijibu ni Netherland na translate kwa chini pale...
9 Reactions
92 Replies
2K Views
Hii ni lugha mpya hapa mjini. ongeza na wewe uliyewahi kuyasikia gayiz.
1 Reactions
3 Replies
263 Views
Kwa umri wangu, Kingereza nimeweza kukifahamu vizuri sana kuliko Watanzania wengi, kwa sababu kuu mbili: 1. Nimekulia na kusoma Tanganyika na Tanzania, lugha ya kwanza ya kuanza kusomeshewa...
22 Reactions
171 Replies
8K Views
Wahariri wa magazeti, watangazaji (presenters), wachambuzi uchwara wa siasa na mpira kwa nini mnapenda kutumia neno 'aidha' badala ya 'ama'? Ni kwamba uchawa unawachanganya ama waliowafundisha...
3 Reactions
11 Replies
318 Views
1. Muhanga. Huyu ni mtu aliyejitoa/aliyetolewa sadaka au aliyepitia mateso kwa Kwa ajili ya jambo fulani lenye thamani kama imani, taifa n.k. Mfano, alikuwa 'muhanga' wa vita kwa kuwa alikuwa...
5 Reactions
40 Replies
727 Views
Dear Love I know you cannot read this now (may be you can, I don't know), Its been few days since you left us, in the most sudden , shocking and unpredictable way. I am still not able to...
2 Reactions
2 Replies
480 Views
Watu wengi au karibia watu wote hutumia hii kauli. Je ni sahihi? Nilimkuta hayupo Unamkutaje mtu alafu mda huo huo anapotea Wajuzi wa lugha tupeni muongozo, hii imekaaje?
7 Reactions
41 Replies
669 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…