Habari zenu wanachama,
Tafadhali zingatia tafsiri hizi:
"I gave my brother a bicycle" => "Nilimpa kaka yangu baisikeli"
"My brother was given a bicycle by me." => "Kaka yangu alipewa baisikeli...
Ikiwa wewe ni mwandishi wa vitabu, makala, n.k au ni mchapishaji (publisher) unayetaka kutafsiriwa maandiko kutoka Kiingereza kwenda Kiswahili au kinyume chake tuwasiliane.
Ni kwa gharama nafuu...
Habari hongereni sana walimu wapya kwa ajira mtaani hapafai.Ndg zanguni naombeni msaada juu ya maneno yafuatayo;
1.Hotel
2.Motel
3.Cafe
4.Restaurant
5.Bar
6.Grocery
Inawezekana huku mtaani...
Sera inayotumika kwanza ipo ndani ya sera ya utamaduni na hivyo lugha hii inakosa mawanda mapana.
Urasimishwaji wa Kiswahili kama lugha ya Taifa umeongozwa na matamko ya viongozi mara nyingi...
Wakati nikisoma kitabu cha shule, nilikuta maneno matatu ambayo sikuweza kuyatafsiri kutumia kamusi kadhaa. Naweza kukisia maana yao, lakini naomba ufafanuzi sahihi.
Lebasi (Labda ni aina ya...
Habari zenu wana jf,nimepewa swali binafsi linalotaka niandike insha isiyopungua kurasa mbili nieleze kuhusu ushairi wa kiswahili na nihitimishe kwa kutunga beti mbili za mashairi.Naomba msaada...
Naomba tafsiri ya sentensi hii:
Some churches are no longer places of worship, instead they have become places of entertainment (in order to attract people).
Hasa napenda kujua tafsiri ya neno...
Kupitia shira la habari la BBC SWAHILI juzi .. niliona Kiswahili kimekua Lugha ya nne kutumika na wati kutoa maoni yao kwnye mitandao ya kijamii hususani Tweeter .
Ikiwa ya kwanza ni Kiingereza ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.