Habari ndugu zangu!
Mimi huwa nakubali mara nyingine tunaweza kuchanganya kiswahili na kiingeereza lakini kidogo tutumie jitihada neno BORE kulitamka sio BORE ni kama kutamka BOA sasa inakuaje...
naombeni mnifahamishe ulinganifu uliopo kati ya kamusi la kiswahili fasahaa dhidi kamusi la kiswahili sanifu kwa maendeleo ya kiswahili.natanguriza shukrani kwenu,
Tu as le Lyrics de cet chanson "FATIMATA" par Sam Mangwana? Donne-le pour moi S.T.P
elle m'a fait tourner la tête
à cause de sa beauté
elle a un corps pete pete
elle a un...
Huwa ninashangazwa na jambo moja, wenzetu wanaoishi ughaibuni (DIASPORA) wakikaa sana (3yrs+) aghalabu hurudi na lafudhi (accent) ya huko, ninashangaa zaidi mtu akiishi mfano Marekani anarudi na...
Itabidi wadahaliane (msianze kunirushia madongo..hili neno nimelitunga mwenyewe nikimaanisha wa debate). Mdahalo ni noun, kwa kiingereza debate ni noun na verb. Sasa verb ya mdahalo kwa kiswahili...
Hivi ipi ni sentensi sahihi kati ya:
'Naomba unipigie nyimbo ya Madee na Naomba nipigie wimbo wa Madee? Wafunzi wananikera sana. Msaada wenu tafadhali.
Kuna rafik yangu hajui kiswahili ameingia Tanzania leo kuja kutalii, ametoka marekani akaenda kwanza Entebe Uganda, kisha Nairobi Kenya leo kafika Dar.
sasa kanipigia simu ananiuliza nimwambie...
Mara nyingi kwenye vikao vya bunge utawasikia wale waheshimiwa sana wakisema ama 1:naunga hoja mkono au 2:naunga mkono hoja
Mojawapo si sahihi au pengine zote
1. The hand enters inside the anus must come out with unpleasant odour-either bad smell or feaces.
2. What an old man can see sitting, a young man cannot see standing.
3. The enemy is in the...
Ivi ni sahihi kusema niko njiani naelekea zanzibar? Am on my way to zanzibar au uko kwenye boti ukielekea zanzibar au kwenye ndege ukielekea zanzibar?
Msaada kidogo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.