Kwani wenyewe tumeshindwa kukienzi!

Ze burner

JF-Expert Member
Jan 5, 2011
514
83
Habari zenu wana lugha wenzangu

Yaani nilikuwa nazurura zurua katika mtandao likanijia wazo kuna siku tulikua tukubishana kuh msemo mmoja wa kisw. wengine walisema ndo! ndo ndo si chururu na mimi niling'ang'ana kuwa ni chururu si ndo ndo ndo ikabidi nianze kubrowse. bahati nzuri nikaupata kumbe mimi ndo nilikuwa sawa sawiya. kilichonifurahisha ni hiyo web ambayo imehifadhi misemo hiyo inaitwa www.swahiliproverb.com ya chuo kimoja marekani katika kitengo cha African studies na sikuweza kuupata katika web yoyote ya watz. nikajiuliza hivi ndo tumeshindwa kukienzi kisw au ndo tumewakasimia madaraka watusaidie?

Au ndo tunasubiri waseme KISW kilianzia marekani ndo tuanze kupiga kelele kama ilivyo kwa mlima kilimanjaro?.

Tunapaswa kuliangalia suala hili kwa upana.


Ahsanteni.
 
Usishangae ukaambiwa tumetumia 500bln kuhifadhi misemo yet Marekani. hahahah wajinga ndo waliwao.
 
Habari zenu wana lugha wenzangu

Yaani nilikuwa nazurura zurua katika mtandao likanijia wazo kuna siku tulikua tukubishana kuh msemo mmoja wa kisw. wengine walisema ndo! ndo ndo si chururu na mimi niling'ang'ana kuwa ni chururu si ndo ndo ndo ikabidi nianze kubrowse. bahati nzuri nikaupata kumbe mimi ndo nilikuwa sawa sawiya. kilichonifurahisha ni hiyo web ambayo imehifadhi misemo hiyo inaitwa www.swahiliproverb.com ya chuo kimoja marekani katika kitengo cha African studies na sikuweza kuupata katika web yoyote ya watz. nikajiuliza hivi ndo tumeshindwa kukienzi kisw au ndo tumewakasimia madaraka watusaidie?

Au ndo tunasubiri waseme KISW kilianzia marekani ndo tuanze kupiga kelele kama ilivyo kwa mlima kilimanjaro?.

Tunapaswa kuliangalia suala hili kwa upana.


Ahsanteni.

inasikitisha mno inauma sana
 
tufanyeje sasa au ndo inatosha kufahamu hivyo!

Hatuna nyenzo mkuu mamlaka zinazohusika ni kama hazipo vile vyombo vya habari tunavyivitegemea ndio hovyo kabisa
wizara ya elimu na utamaduni ambayo ndio ingekuwa kimbilio ni upuuzi mtupu
Ngoja tuishie tu kutema nyongo zetu huku na kufarijiana
 
Hatuna nyenzo mkuu mamlaka zinazohusika ni kama hazipo vile vyombo vya habari tunavyivitegemea ndio hovyo kabisa
wizara ya elimu na utamaduni ambayo ndio ingekuwa kimbilio ni upuuzi mtupu
Ngoja tuishie tu kutema nyongo zetu huku na kufarijiana

ni kweli kabisa tatizo letu ni wapita kelele tu! tunasubiri watu wafanye then sisi porojo! kwa ujumla pengine tungepaswa kuwapa hongera ndugu zetu wa marekani kwa msaada wao!!1 teh teh!
 
ni kweli kabisa tatizo letu ni wapita kelele tu! tunasubiri watu wafanye then sisi porojo! kwa ujumla pengine tungepaswa kuwapa hongera ndugu zetu wa marekani kwa msaada wao!!1 teh teh!
wale wenzetu wanajua maana ya kitu na kukithamini
 
Back
Top Bottom