Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Si vibaya kuendelea kukumbushana tofauti ya haya maneno, naona wengi bado wanachanganya hasa sisi watu wa mpira
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Kila mke ni mwanamke lakini si kila mwanamke aweza kuwa mke
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kuna mtu nilimwambia nina homa akanicheka sana, mnisaidie nilikosea nn maana yeye aliishia kucheka tu?
0 Reactions
2 Replies
845 Views
Habari za majukumu member wote wa JF jamani naomba tafisiri ya maneno haya kwa kiswahili . Pattern .Columnist natanguliza shukrani
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakati nikisoma kitabu cha shule, nilikuta maneno matatu ambayo sikuweza kuyatafsiri kutumia kamusi kadhaa. Naweza kukisia maana yao, lakini naomba ufafanuzi sahihi. Lebasi (Labda ni aina ya...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Siwa ni ile fimbo inayotumika bungeni. Naombeni kizungu chake kwa anayefahamu tafadhali.
0 Reactions
12 Replies
9K Views
Habari zenu wana jf,nimepewa swali binafsi linalotaka niandike insha isiyopungua kurasa mbili nieleze kuhusu ushairi wa kiswahili na nihitimishe kwa kutunga beti mbili za mashairi.Naomba msaada...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu... Naonba msaada wa neno "ustaarabu" Nitafurahi tukijadili hilo neno, asili, definition na matumizi yake
0 Reactions
2 Replies
9K Views
Naomba tafsiri ya sentensi hii: Some churches are no longer places of worship, instead they have become places of entertainment (in order to attract people). Hasa napenda kujua tafsiri ya neno...
0 Reactions
5 Replies
7K Views
Kupitia shira la habari la BBC SWAHILI juzi .. niliona Kiswahili kimekua Lugha ya nne kutumika na wati kutoa maoni yao kwnye mitandao ya kijamii hususani Tweeter . Ikiwa ya kwanza ni Kiingereza ...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kwa nini watu wengi wanaandika majina yao kwa kutumia herufi mbili kwa mf. Zitto na Sio Zito, ao Wassira na Wasira? hiyo "ss" au "tt" inatamkwaje? kwa maana "s" au "t" inaeleweka inavyotamkwa...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Habari za asubuhi wana JF.. Nimekuwa nikikutana na hili neno " LMFAO" mara kwa mara kwenye mitandao, nipeni darasa jamani. Nini maana yake!!?
0 Reactions
48 Replies
15K Views
ipi ni sahihi kati ya muziki na mziki
0 Reactions
5 Replies
934 Views
Kenya kuna gazeti moja tu la Kiswahili… litazame hapa. Tanzania na Kenya ndio nchi pekee za Afrika Mashariki ambazo zinaongoza kwa kuzungumza sana lugha ya Kiswahili tofauti na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Msaada wadau! Lipi ni neno sahihi katika Kiswahili Fasaha? Ninyi au Nyinyi?
0 Reactions
12 Replies
7K Views
Hikiwemo au ikiwemo? Kufuata au kufata? Ujaamua au ujahamua? Taasisi au Tahasisi? Hivyo au hivo ? Aliipata au alihipata? Ataweka au hataweka? Ambako au ambapo? Anasa au hanasa Taharifa au taarifa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
NI VIATU VISIVYO VYETU. Kale ilipokuwa, Viatu tulivijua, Vilitupendeza, Mguuni tulivaa. Tulivivaa vikavalika, Hakika tulifurahia, Kila aliye, alikabiri, Viatu vilikuwa sawia. Mambo yageuka...
1 Reactions
0 Replies
891 Views
samahani wadau,poleni kwa mihangaiko ya hapa na pale,tafadhali sana sana naomba kujua kwa maelezo ya kina tofauti ya maneno haya na jinsi yanavyotumika;prostitution,fornication na adultery.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Salaam wana jf naomba msaada wa hilo swali langu na kama limo humu nisaidieni tu kwani natumia simu ambapo nashindwa kuaccess ahsanteni
0 Reactions
36 Replies
13K Views
naomba kujuzwa toafauti zao nitashukuru nikiambiwa na majukumu yao
1 Reactions
3 Replies
9K Views
Back
Top Bottom