Tilalilala
Member
- Nov 30, 2014
- 78
- 66
Husika na mada tajwa hapo juu nikiwa na elimu yangu kidato cha nne kati ya vitu vinavyonipa mawazo ni kutokuwa na uwezo wa kumudu kuongea lugha ya kiiingereza wengine najua wataanza kusema kwanini nisiende kwenye vituo vinavyotoa huduma hizo lakini ukweli ni kwamba nakaa sana kijijini hasa kazi angu kuu ni kilimo ila nipo tayari kama kuna mtu anaweza kunipa ushauri namna ambavho naweza kutatua hili nikiwa hapa hapa kijijini kwetu nitamshukuru sana kama kuna yeyote anawebsite ya kujifunza lugha hii online naomba anipe maujuzi.