Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Wadau nahitaji kujua maana ya Neno SMARTPHONE kwa kiswahili
1 Reactions
10 Replies
7K Views
Naomba Jibu wadau,Ukichunguza lugha hii kwa wasomi wengi ni ngumu katika swala la mawasiliano hasa inapokuja wakati anatakiwa kueleza jambo?na ingawa Wamefanya vizuri katika mitihqni kupitia lugha hii
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu. Najitolea kufundisha lugha ya alama kwa matumizi mbali mbali especially mawasiliano yawe ya wazi au siri, lugha ninayolenga kufundisha ni ile ya kutumia body language na sign language. Njoo...
1 Reactions
4 Replies
5K Views
1)Nakutazama machoni,mtoto umeumbika Mimi hoi taabani,kwa sifa unasifika Tena hivi karibuni,ndoa yetu itafika Twende kwanza tukapime,kabla hatujaoana. 2)Wewe ninakuamini,hilo linatambulika Ili...
1 Reactions
1 Replies
942 Views
"Sheila amka, we Sheila". Ni sauti aliyoisikia Anita akiwa anapata fahamu baada ya usingizi Mzito wa saa kadhaa akiwa katika lodge Moja iliyopo maeneo ya Mbagala, Saba saba kwa Mpili. Sheila...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Katika onyo lake kuhusu watu wanaotoa takwimu zinazotofautiana na zile za idara ya takwimu ya taifa, rais amesema "... unakuta ngwini mmoja amebobea huko anatoa takwimu kwamba anajua kutengeneza...
1 Reactions
33 Replies
6K Views
1)Naukumbuka wosia,ule aloniambia Babu nilipomwendea,ukweli kumwelezea Umri umeshafikia,wa mke kujipatia Baba alifurahia,baraka kanipatia Yupo binti namuoa,katoka kanda ya ziwa. 2)Posa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
1)Wanasema si vibaya,nikianza kuchepuka Rafiki wasema haya,eti wataja nicheka nami ninaona haya,nikija kugundulika Mi sitaki kuchepuka,namwogopa mke wangu. 2)Nyumba ndogo eti nzuri,kwangu...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Heshima zenu wadau zangu, Kwa sasa nipo mkoani Mtwara ila kinachonishangaza katika huu mkoa. Ni aina ya lugha ya kiswahili kiko tofauti ninachokijuaa yaani wakati sisi tunapaita Mtwara wao...
0 Reactions
79 Replies
9K Views
Jaman walumbi wa lugha habari za humu? Mimi nmejarbu kutafuta sana historia juu ya hawa wanaojiita WAHENGA? naomba kujua kama mtu anaweza kunisaidia kupata historia tu fupi ya hii jamii ya wahenga...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
1)Mnawaiga wazungu,kuvaa vaa vinguo Mwaonyesha ya uvungu,mili inamichubuo Kwanza mwanuka ukungu,hajajifanya kaguo Wasanii na vinguo,mwaaibisha taifa. 2)Vinguo vyenu vifupi,si ujanja ni ushamba...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ukienda kwenye sekta ya maakuli utasikia hapa kwetu watu wanasema "Nitengenezee nyama roast." Au "Tuna wali roast" Akileta inakuja imekaangwa! Lakini "roast" maana yake nini? Ni kuchoma kwenye...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwanza, anza kwa kupata introduction. Tembelea hapa au hapa. Pili, Kama huna uwezo wa kununua courses zilizo kwenye links za introduction, unaweza kuzi-download hizo course kutoka links za...
2 Reactions
17 Replies
6K Views
NISHAFUTA NAMBA YAKO 1)Natazama namba yako,simu haina thamani Mi sipo moyoni mwako,namba yako sa ya nini Nafata kauli yako,ulisema mdomoni Sitaki upige tena,nishafuta namba yako. 2)Kumwacha...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
1)Mapenzi ni kuyaenzi,upate ane kupenda awe ndio wako mwenzi asoweza kukutenda, Mwili ulintia ganzi,ukamua mbali kwenda Usinisumbue tena,nimeshapata mchumba. 2)Mwana huyo ni mzuri,*****...
0 Reactions
1 Replies
748 Views
Habari,wataalam wa lugha mtudadavulue.
0 Reactions
1 Replies
3K Views
The 6 most spoken language in Africa 1) Kiarabu 200 Million 2) Kiingereza 150 Million 3) Kiswahili 140 Million 4) Kifaransa 115 Milliion 5) Hausa 50 Million 6) Amrik 25 Milion
5 Reactions
325 Replies
41K Views
Wadau Hayo maneno mapya hapo chini nimeyapata kupitia taarifa kuhusu uteuzi wa VC mpya UDSM " The (Valediction & Investiture) of the outgoing and incoming Vice Chancellor will be held on...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mpwa wangu Imeshapita miaka, toka liposhika peni. Lile jambo silotaka, naona lipo mezani Mtunzi atiririka, kwa beti zisizo kifani Kijana mwana wa kaka, Tanga wenda fata nini? Yanishangaza barua...
2 Reactions
13 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…