WAZEE WANA USEMI "CHINI KUNAKWENDA WATU"
Picha hizo mbili hapo chini hazihitaji maelezo mengi mengi ni picha za Abdul Sykes na Julius Nyerere na wake zao.
Picha ya Abdul Sykes imepigwa...
BURUNDI NA KILE KILICHOITWA MAPINDUZI YA VIPINDI VYOTE, NDANI YAKE TUNAPATA MUSTAKABALI MZIMA WA PIERRE NKURUZINZA.
Na Comred Mbwana Allyamtu
Tuesday -25/9/2018
Jana niliona uchambuzi murua...
Kama kuna mwanamuziki ambaye hawezi kusahaulika katika kumbukumbu za wapenda muziki, ni Dk. Remmy Ongalla.
Sasa ni miaka kadhaa tangu aiage dunia, baada ya kufariki dunia usiku wa kuamkia...
UTANGULIZI
Isaac Maliyamungu, (aliyekufa Februari 1984) pia anajulikana kama Isaac Lugonzo, alikuwa afisa wa jeshi la Jeshi la Uganda (UA) ambaye aliwahi kuwa mmoja wa maafisa na wafuasi muhimu...
Leo katika Kijiji cha Katendagulo, Kata ya Bugandika, Tarafa ya Kiziba, Wilaya ya Missenye, Mkoa wa Kagera kulikuwa na Sherehe ya Kuzaliwa ya Mzee Leopold Rwizandekwe II. Kumbuka huyu Mzee, Mwl...
"Baba, sisi tunataka kuwasha mwenge na kuuweka juu ya mlima kilimanjaro, umulike hata nje ya mipaka yetu, ulete tumaini mahala pasipo na tumaini, faraja palipo na huzuni, tumaini pasipo na...
Inawezekana umesikia mitindo mbalimbali ya nywele kama vile twende kilioni au kilimanjaro.
Hiyo mitindo haikuja tu hivi hivi. Kuna Wanawake enzi za Utumwa huko walikuwa na akili za ajabu sana...
SHEIKH ALHAD OMAR MWALIMU WA QUR'AN ALIYEWAFUATA WANAFUNZI BADALA YA WANAFUNZI KUMFUATA MWALIMU
Jana asubuhi na mapema hata hapaja pambazuka vyema Tawfik Kazaliwa mmoja wa vijana wa marehemu...
UNANYIMWA MAJI KISHA UNALAUMIWA KWA UCHAFU WA KUTOKUOGA
Vita Vya Pili Vya Dunia Manazi wa Kijerumani waliwakusanya Wayahudi katika Ghetto Poland hawana maji wala vyoo.
Kisha wakawa wanawalaumu...
Jiji la Dar es Salaam lilianza kama Kijiji kidogo cha wavuvi kilichojulikana kama Mzizima. Kijiji hiki kilianzishwa na Wabalawa ambao walichanganyika na Wazaramo kuelekea kwenye maeneo ya Bara la...
MWENGE WA UHURU NA KITABU CHA WATOTO CHA MWENGE WA UHURU ("THE TORCH ON KILIMANJARO")
Mwaka wa 2007 Oxford University Press (OUP), Nairobi walianzisha mradi wa kusomesha Kiingereza na historia...
Kanisa la shetani ni moja wapo ya kanisa ambalo ili rasmishwa mnamo mwaka 1966 na mwanzilishi mwanamuziki, mwandishi wa vitabu, mwanasaikolojia, anaitwa anton szandor lavey alizaliwa mnamo mwaka...
Abdul Italo amefariki na kazikwa leo Makaburi ya Mwinyimkuu.
Upi umuhimu wa Abdul Italo?
Angalia video:
TAAZIA ILIYOCHELEWA: DR. EDITH KITAMBI
Nimesoma kuhusu kifo cha Dr. Edith Kitambi leo...
Leo Maktaba imetembelewa na Hamisi Delgado rafiki yangu toka ujana wetu.
Yeye si mgeni hapa Maktaba ingawa kaondoka hapa nyumbani miaka mingi sana.
Lakini akija sharti aje kunikagua.
Leo katika...
Ni nani huyu hapo chini?
Ikiwa unamfahamu tafadhali nitajie jina lake.
Hakuna leo anaemjua Iddi Tulio.
Picha ya Mzee Iddi Tulio nimeitafuta kwa miaka mingi na nikakata tamaa ya kuipata...
Habari zenu wnanajamiii. Nimekuwa nikifikiri sana hivi kwanini dini zote zinatumia hofu kuhakisha uwepo wake?
Yaani ni hivi watu wanao amini kuwa Mungu yupo hawafanyi hivyo kwasababu wanapenda...
Yaani muislam au mjewish(mjuda)?
Majibu tafadhili.
Update
Musa alikuwa ni muebrania(moja ya kabira la wayaudi)
Na aliwaongoza wayaudi kwenda israel kwa imani ya wayaudi. Yaan Mungu alietenanisha...
Fahamu kuhusu Vita ya Majimaji ya mwaka 1905, iliyoongozwa na Wangoni dhidi ya ukoloni wa Kijerumani kutokana na kodi kubwa, adhabu kali, na kazi za kulazimishwa, inaadhimishwa kupitia makumbusho...
Wale wanaotaka Palestina irejeshwe, nawajuza kuwa Palestina haijawahi kuwapo kwenye sura ya dunia.
1. Kabla ya Israel kuwekwa pale mwaka 1948 kulikuwa na utawala wa kikoloni wa Uingereza (British...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.