Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 23,285
- 33,881
KIBRI KITAANGAMIZA MAREKANI NA ISRAEL
Tatizo kubwa la Marekani ni kibri.
Hiki kibri kimewaelemea kiasi hawawezi kuwaza kama binadamu mwenye uwezo uliokuwa na kikomo.
Hata hapa walipofikishwa kutafuta amani kwa mazungumzo na diplomasia bado hawajatambua kuwa wao si washindi.
Halikadhalika hawajatambua kuwa Wairani ndiyo washindi.
Israel ipo katika hali ngumu kwani wao hawamo katika mchezo.
Mazungumzo ni kati ya wakubwa wawili na wao hawana hata moja katika hayo mazungumzo.
Ujumbe unarejea Washington kichwa chini hakuna cha kuonyesha na hali ni mbaya na inaendelea kudidimia kila kukicha.
Hormuz bado.
Iran imejitolea nafsi yake hadi ushindi wake na heshima yake isimame.
Uislamu upate heshima yake na ulimwengu ujue kuwa Marekani hana nguvu hizo dunia ilidhani wanazo.
Marekani ni nyati aliyeingia ndani ya duka la vyombo vya udongo.
Sasa anavunja sahani na vikombe ovyo.
Ile "long haul strategy" dhidi ya Israel bado ipo.
Iran inajua fika na Marekani inajua pia kuwa vita virefu Israel haiviwezi.
In Shaa Allah tusubiri tuone Capitol Hill itakuja na lipi jipya?
Tatizo kubwa la Marekani ni kibri.
Hiki kibri kimewaelemea kiasi hawawezi kuwaza kama binadamu mwenye uwezo uliokuwa na kikomo.
Hata hapa walipofikishwa kutafuta amani kwa mazungumzo na diplomasia bado hawajatambua kuwa wao si washindi.
Halikadhalika hawajatambua kuwa Wairani ndiyo washindi.
Israel ipo katika hali ngumu kwani wao hawamo katika mchezo.
Mazungumzo ni kati ya wakubwa wawili na wao hawana hata moja katika hayo mazungumzo.
Ujumbe unarejea Washington kichwa chini hakuna cha kuonyesha na hali ni mbaya na inaendelea kudidimia kila kukicha.
Hormuz bado.
Iran imejitolea nafsi yake hadi ushindi wake na heshima yake isimame.
Uislamu upate heshima yake na ulimwengu ujue kuwa Marekani hana nguvu hizo dunia ilidhani wanazo.
Marekani ni nyati aliyeingia ndani ya duka la vyombo vya udongo.
Sasa anavunja sahani na vikombe ovyo.
Ile "long haul strategy" dhidi ya Israel bado ipo.
Iran inajua fika na Marekani inajua pia kuwa vita virefu Israel haiviwezi.
In Shaa Allah tusubiri tuone Capitol Hill itakuja na lipi jipya?