Kibri Kitaangamiza Marekani na Israel

Kibri Kitaangamiza Marekani na Israel

Mohamed Said

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2008
Posts
23,285
Reaction score
33,881
KIBRI KITAANGAMIZA MAREKANI NA ISRAEL

Tatizo kubwa la Marekani ni kibri.

Hiki kibri kimewaelemea kiasi hawawezi kuwaza kama binadamu mwenye uwezo uliokuwa na kikomo.

Hata hapa walipofikishwa kutafuta amani kwa mazungumzo na diplomasia bado hawajatambua kuwa wao si washindi.

Halikadhalika hawajatambua kuwa Wairani ndiyo washindi.

Israel ipo katika hali ngumu kwani wao hawamo katika mchezo.

Mazungumzo ni kati ya wakubwa wawili na wao hawana hata moja katika hayo mazungumzo.

Ujumbe unarejea Washington kichwa chini hakuna cha kuonyesha na hali ni mbaya na inaendelea kudidimia kila kukicha.

Hormuz bado.

Iran imejitolea nafsi yake hadi ushindi wake na heshima yake isimame.

Uislamu upate heshima yake na ulimwengu ujue kuwa Marekani hana nguvu hizo dunia ilidhani wanazo.

Marekani ni nyati aliyeingia ndani ya duka la vyombo vya udongo.

Sasa anavunja sahani na vikombe ovyo.

Ile "long haul strategy" dhidi ya Israel bado ipo.

Iran inajua fika na Marekani inajua pia kuwa vita virefu Israel haiviwezi.

In Shaa Allah tusubiri tuone Capitol Hill itakuja na lipi jipya?
 
Mpaka sasa Marekani hajafanikiwa katika yafuatayo;

Bado Irani kuna dora ya kiislamu.

Bado Iran kuna utawala "Sovereignty"

Bado Iran kuna amri "Chain of command"

Bado Irani inadhibiti Hormuz kama sehemu mkakati wa uchumi duniani.

Bado Irani inalengo la kurutubisha Urani.

Bado Iran inahodhi Gesi na Mafuta katika kisiwa chake Kharg.

Bado Marekani hajafanikiwa kuiba mafuta na gesi ya Irani.
 
Dini ni ujinga mkuu wa binadamu
BigBro,
Natoa jibu kwako pamoja na wachangiaji wengine hapa ambao inaelekea wanataabishwa na Uislamu.

Hili ni tatizo kubwa na tunalo nchini kwa miaka mingi kuanzia pale Tanganyika ilipopata uhuru mwaka wa 1961.

Nitaweka mfano hapa.
Historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika inaanza mwaka wa 1929 ilipoundwa African Association.

Waasisi wa chama hiki ni Kleist Sykes, Ibrahim Hamisi, Mzee bin Sudi, Ali Said Mpima, Zibe Kidasi, Suleiman Majisu, Cecil Matola, Rawson Watts na Raikes Kusi.

Hapa kuna Waislam sita na Wakristo watatu.

Sitaki kuongeza mengi katika historia hii.

Walipokuja kuandika historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika kama mlivyokuwa nyinyi wao halikadhalika walitaabishwa na majina haya ya waasisi wa harakati za uhuru kuwa yametawala majina ya Waislamu.

Majina haya yakafutwa katika historia ya uhuru wa Tanganyika.

Hayapo popote katika vitabu vya historia yetu.

Sishangai kuona nashambuliwa kwa kuutaja Uislamu hapa.
 
Mlishasema mnataka kuifuta Israel kwenye uso wa hii dunia na nuclear mnayoitaka inaonekana ndio solution yenu, sasa sijui kama mtu yeyote mwenye akili atakaa kusubiri kuchinjwa kama mlivyofanya kabla ya gaza kugeuzwa mchanga, sio kibri ni kujilinda kutoka kwa magaidi
 
KIBRI KITAANGAMIZA MAREKANI NA ISRAEL

Tatizo kubwa la Marekani ni kibri.

Hiki kibri kimewaelemea kiasi hawawezi kuwaza kama binadamu mwenye uwezo uliokuwa na kikomo.

Hata hapa walipofikishwa kutafuta amani kwa mazungumzo na diplomasia bado hawajatambua kuwa wao si washindi.

Halikadhalika hawajatambua kuwa Wairani ndiyo washindi.

Israel ipo katika hali ngumu kwani wao hawamo katika mchezo.

Mazungumzo ni kati ya wakubwa wawili na wao hawana hata moja katika hayo mazungumzo.

Ujumbe unarejea Washington kichwa chini hakuna cha kuonyesha na hali ni mbaya na inaendelea kudidimia kila kukicha.

Hormuz bado.

Iran imejitolea nafsi yake hadi ushindi wake na heshima yake isimame.

Uislamu upate heshima yake na ulimwengu ujue kuwa Marekani hana nguvu hizo dunia ilidhani wanazo.

Marekani ni nyati aliyeingia ndani ya duka la vyombo vya udongo.

Sasa anavunja sahani na vikombe ovyo.

Ile "long haul strategy" dhidi ya Israel bado ipo.

Iran inajua fika na Marekani inajua pia kuwa vita virefu Israel haiviwezi.

In Shaa Allah tusubiri tuone Capitol Hill itakuja na lipi jipya?

Sasa si waache waangamie. Kama ukikua adui yako anaangamia si ndo unamwacha aangamie 😅. Bado hamjasema.
 
Mpaka sasa Marekani hajafanikiwa katika yafuatayo;

Bado Irani kuna dora ya kiislamu.

Bado Iran kuna utawala "Sovereignty"

Bado Iran kuna amri "Chain of command"

Bado Irani inadhibiti Hormuz kama sehemu nkakati wa uchumi duniani.

Bado Irani inalengo la kurutubisha Urani.

Bado Iran inahodhi Gesi na Mafuta katika kisiwa chake Kharg.

Bado Marekani hajafanikiwa kuiba mafuta na gei ya Irani.

😁
Iran silaha zake zimeangamizwa na imeshalemazwa. Haina tena ule ujeuri wa kisilaha. Kwa sasa Iran ipo hoi inajipapatua tu.
 
Mpaka sasa Marekani hajafanikiwa katika yafuatayo;

Bado Irani kuna dora ya kiislamu.

Bado Iran kuna utawala "Sovereignty"

Bado Iran kuna amri "Chain of command"

Bado Irani inadhibiti Hormuz kama sehemu nkakati wa uchumi duniani.

Bado Irani inalengo la kurutubisha Urani.

Bado Iran inahodhi Gesi na Mafuta katika kisiwa chake Kharg.

Bado Marekani hajafanikiwa kuiba mafuta na gei ya Irani.

😁
Screenshot_2026-04-09-02-20-16-385_com.twitter.android~2.jpg
 
BigBro,
Natoa jibu kwako pamoja na wachangiaji wengine hapa ambao inaelekea wanataabishwa na Uislamu.

Hili ni tatizo kubwa na tunalo nchini kwa miaka mingi kuanzia pale Tanganyika ilipopata uhuru mwaka wa 1961.

Nitaweka mfano hapa.
Historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika inaanza mwaka wa 1929 ilipoundwa African Association.

Waasisi wa chama hiki ni Kleist Sykes, Ibrahim Hamisi, Mzee bin Sudi, Ali Said Mpima, Zibe Kidasi, Suleiman Majisu, Cecil Matola, Rawson Watts na Raikes Kusi.

Hapa kuna Waislam sita na Wakristo watatu.

Sitaki kuongeza mengi katika historia hii.

Walipokuja kuandika historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika kama mlivyokuwa nyinyi wao halikadhalika walitaabishwa na majina haya ya waasisi wa harakati za uhuru kuwa yametawala majina ya Waislamu.

Majina haya yakafutwa katika historia ya uhuru wa Tanganyika.

Hayapo popote katika vitabu vya historia yetu.

Sishangai kuona nashambuliwa kwa kuutaja Uislamu hapa.

Hakuna anayetaabika na Uislamu. Watu wanataabika na Ugaidi. My brother was killed na magaidi waislamu nami nikaona shida kubwa sana kwa hii Dini ni Ugaidi na imani za kichawi , kishetani za kuua wengine.
 
KIBRI KITAANGAMIZA MAREKANI NA ISRAEL

Tatizo kubwa la Marekani ni kibri.

Hiki kibri kimewaelemea kiasi hawawezi kuwaza kama binadamu mwenye uwezo uliokuwa na kikomo.

Hata hapa walipofikishwa kutafuta amani kwa mazungumzo na diplomasia bado hawajatambua kuwa wao si washindi.

Halikadhalika hawajatambua kuwa Wairani ndiyo washindi.

Israel ipo katika hali ngumu kwani wao hawamo katika mchezo.

Mazungumzo ni kati ya wakubwa wawili na wao hawana hata moja katika hayo mazungumzo.

Ujumbe unarejea Washington kichwa chini hakuna cha kuonyesha na hali ni mbaya na inaendelea kudidimia kila kukicha.

Hormuz bado.

Iran imejitolea nafsi yake hadi ushindi wake na heshima yake isimame.

Uislamu upate heshima yake na ulimwengu ujue kuwa Marekani hana nguvu hizo dunia ilidhani wanazo.

Marekani ni nyati aliyeingia ndani ya duka la vyombo vya udongo.

Sasa anavunja sahani na vikombe ovyo.

Ile "long haul strategy" dhidi ya Israel bado ipo.

Iran inajua fika na Marekani inajua pia kuwa vita virefu Israel haiviwezi.

In Shaa Allah tusubiri tuone Capitol Hill itakuja na lipi jipya?
Irani ameshinda wakati huo nusu ya viongozi wake wakuu wamekufa wote,miundo mbinu yote ya kijeshi na kiraia imeharibiwa vibaya.

Unapata wapi akili ya kusema unashinda wakati vita inapiganwa nyumbani kwako unaumizwa kila siku.

Kama sio mtindio wa ubongo ni nini?mzee wa hovyo sana wewe mtetezi wa magaidi hufai..naona wafadhili wako wako hoi umejitokeza kuwa tetea,safaru hii no more islamic regime mfadhili na gaidi mkuu.
 
KIBRI KITAANGAMIZA MAREKANI NA ISRAEL

Tatizo kubwa la Marekani ni kibri.

Hiki kibri kimewaelemea kiasi hawawezi kuwaza kama binadamu mwenye uwezo uliokuwa na kikomo.

Hata hapa walipofikishwa kutafuta amani kwa mazungumzo na diplomasia bado hawajatambua kuwa wao si washindi.

Halikadhalika hawajatambua kuwa Wairani ndiyo washindi.

Israel ipo katika hali ngumu kwani wao hawamo katika mchezo.

Mazungumzo ni kati ya wakubwa wawili na wao hawana hata moja katika hayo mazungumzo.

Ujumbe unarejea Washington kichwa chini hakuna cha kuonyesha na hali ni mbaya na inaendelea kudidimia kila kukicha.

Hormuz bado.

Iran imejitolea nafsi yake hadi ushindi wake na heshima yake isimame.

Uislamu upate heshima yake na ulimwengu ujue kuwa Marekani hana nguvu hizo dunia ilidhani wanazo.

Marekani ni nyati aliyeingia ndani ya duka la vyombo vya udongo.

Sasa anavunja sahani na vikombe ovyo.

Ile "long haul strategy" dhidi ya Israel bado ipo.

Iran inajua fika na Marekani inajua pia kuwa vita virefu Israel haiviwezi.

In Shaa Allah tusubiri tuone Capitol Hill itakuja na lipi jipya?
Ningekuwa wewe nisingeandika ujinga huu. Umeshusha heshima yako kwa jambo ambalo halikuwa la lazima.
 
BigBro,
Natoa jibu kwako pamoja na wachangiaji wengine hapa ambao inaelekea wanataabishwa na Uislamu.

Hili ni tatizo kubwa na tunalo nchini kwa miaka mingi kuanzia pale Tanganyika ilipopata uhuru mwaka wa 1961.

Nitaweka mfano hapa.
Historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika inaanza mwaka wa 1929 ilipoundwa African Association.

Waasisi wa chama hiki ni Kleist Sykes, Ibrahim Hamisi, Mzee bin Sudi, Ali Said Mpima, Zibe Kidasi, Suleiman Majisu, Cecil Matola, Rawson Watts na Raikes Kusi.

Hapa kuna Waislam sita na Wakristo watatu.

Sitaki kuongeza mengi katika historia hii.

Walipokuja kuandika historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika kama mlivyokuwa nyinyi wao halikadhalika walitaabishwa na majina haya ya waasisi wa harakati za uhuru kuwa yametawala majina ya Waislamu.

Majina haya yakafutwa katika historia ya uhuru wa Tanganyika.

Hayapo popote katika vitabu vya historia yetu.

Sishangai kuona nashambuliwa kwa kuutaja Uislamu hapa.
Wewe achana na hii kitu
 
Back
Top Bottom