Hapa kuna kiongozi kweli?

Hapa kuna kiongozi kweli?

papag

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2009
Posts
1,249
Reaction score
1,889
WAPINZANI TANZANIA BADO WAMEMKALIA KOONI WAZIRI KATAMBI

Nibaada ya waziri wa mambo ya ndani Tanzania Patros Katambi akijibu swali la mwandishi kuwa ametumia kifungu gani cha sheria kufungia mikutano ya vyama vya saasa,.anasema,!

"Kama mnahisi sina mamlaka hayo na mnakwenda mahakamani mkijua kabisa mimi ndiye waziri wa mambo yote ya ndani ya nchi,basi tukutane hukohuko ili niwabane vizuri kwenye utawala wa sheria kwa sasa siwezi kujibu maana ntawapa faida tu watu hao"-Katambi

Je unahisi waziri Katambi kuna watu wanamchukulia poa sana?
 
WAPINZANI TANZANIA BADO WAMEMKALIA KOONI WAZIRI KATAMBI

Nibaada ya waziri wa mambo ya ndani Tanzania Patros Katambi akijibu swali la mwandishi kuwa ametumia kifungu gani cha sheria kufungia mikutano ya vyama vya saasa,.anasema,!

"Kama mnahisi sina mamlaka hayo na mnakwenda mahakamani mkijua kabisa mimi ndiye waziri wa mambo yote ya ndani ya nchi,basi tukutane hukohuko ili niwabane vizuri kwenye utawala wa sheria kwa sasa siwezi kujibu maana ntawapa faida tu watu hao"-Katambi

Je unahisi waziri Katambi kuna watu wanamchukulia poa sana?
Patrobas Katambi is very brilliant politician in Tanzanian history.
Sidhani kama kuna mpinzani anaweza kufua dafu dhidi yake na hasa ukizingatia alikua huko upinzani kabla.

In fact ametoa jibu sahihi na muafaka mno kulingana na mazingira. Kukutana mahakamani ni kitu cha maana zaidi kuliko kupashana na kuhojiana kwenye vyombo vya habari au mitandao ya kijamii kuhusu mamlaka yake ikiwa kuna mtu ana mashaka nayo kisheria 🐒
 
Back
Top Bottom