Menai ni jina la mlango bahari uliopo katika bahari ya nchi ya Wales.Eneo hilo la mlango bahari limewahi kukumbwa na ajali nyingi za meli lakini hizi ajali tatu zimeandika historia ya kipekee...
Kutoka Makumbusho ya Taifa
Kabla ya vita vya Majimaji na kufahamika kwa mashujaa mbalimbali katika mji huu wa Songea eneo hili lilikuwa linafahamika kama mji wa Ndonde, jina hili la ndonde...
Maarufu kama The March of the 10,000.
Mwaka 401 kabla ya Yesu Kuzaliwa, Uajemi(Iran) ilikuwa ndiyo Dola kubwa zaidi duniani. Ikitawala kuanzia mto Indus Mashariki hadi bahari ya Mediteranea...
NILIKUWAPO ZANZIBAR KIBANDA MAITI, JAWS NA KIJIWENI MALINDI MIAKA 30 ILIYOPITA
Kitabu hiki, "Cade" cha James Hadley Chase nimekisoma miaka mingi sana iliyopita niko sekondari umri wangu kiasi...
Spoiler Alert.
Mwaka 1975-1979 dunia ilishuhudia ukichaa wa ajabu kabisa. Wakomunisti wa Cambodia(Khmer Rouge) walishika nchi. Kwanza wakapiga marufuku matumizi ya pesa kisha wakafurusha wakazi...
Wakati naanza kuandika makala ya huyu Mzee aliyejaaliwa miaka mingi na heri hapa Duniani nikakumbuka yule dogo aliyemzaba kibao sijui yuko wapi. Kweli maisha ya mwanadamu ni hadithi tu ndiyo maana...
URAFIKI WA JULIUS NYERERE NA ZUBERI MTEMVU
Kuna mambo mengi nimeyasikia udogoni kuhusu wazalendo waliopigania uhuru wa Tanganyika ambayo kwa wakati ule sikujua kuwa ni mambo yatakayokuja kuwa...
HISTORIA YA WANYAKYUSA.
Wanyakyusa (pia huitwa Wangonde au Wasochile) ni kabila la watu wanaoishi kwenye wilaya ya Rungwe katika sehemu za kusini za Mkoa wa Mbeya (Tanzania) na wilaya ya Kyela...
ASILI NA KOO ZA BANANTUZU AU WANYANTUZU.
Utangulizi.
Wanyantuzu au Banantuzu hawa ni kundi la Wasukuma wa Mashariki ya Usukuma, wanaofahamika kama Bana-Kiya au Wanakiya.
Bana-Kiya au Wasukuma...
Late Tanzanian billionaire Mercy Anne Shangali Mengi was born a Princess of Shangali dynasty, daughter of King (Mangi) Abdiel Shangali of Machame, Kilimanjaro region , Chagga people of Tanzania...
MWALIMU NYERERE ALIPEWA UONGOZI WA TANGANYIKA UKUMBI WA ARNAUTOGLO APRIL 1953
Ukumbi wa Arnautoglo na Team ya Heritage Center for Liberation pamoja na TBC tunarekodi historia ya Uchaguzi wa Rais...
BARAZA LA WAZEE KABLA YA TANU
Angalia hiyo picha hapo chini:
Mbele kulia wa kwanza waliokaa: Clement Mohamed Mtamila, wa tatu Sheikh Suleiman Takadir.
Katikati aliye kati ni Jumbe Tambaza na...
Asili ya Alama "X" – Kutoka Mizizi ya Kihistoria Hadi Maana ya Kiroho
Alama X si ya kawaida tu – ni moja kati ya alama zilizotumika kwa karne nyingi katika nyanja mbalimbali:
Hisabati (algebra)...
KITABU KINACHOMUELEZA MUSSA MEMBAR ALIYETEKA NDEGE YA ATC HADI LONDON 1982
Kuna vitabu na vitabu.
Kuna kitabu na kitabu.
Kitabu hiki kinaitwa "The Activist A Story of Hijacking and Struggle for...
CHAMA CHA TANU KILIUNDWA NA WATU WENYE UZALENDO WA KWELI NA NDIYO SABABU YA KUWA NA NGUVU KUBWA
Msikilize Mwalimu Nyerere anavyoieleza nguvu kubwa ya chama cha TANU:
Mji wa kihistoria wa Hiroshima unafanya kumbukumbu ya miaka 80 tangu Marekani ilipoushambulia mji huo wa magharibi mwa Japan kwa bomu la atomiki
Wengi wa manusura ambao sasa wameshazeeka...
Jumamosi yenye shughuli nyingi, Septemba 21, 2013, Mall ya Westgate lilikuwa imeshamili wanunuzi, familia, marafiki, na wafanyakazi. Majira ya saa 12:30 jioni, watu wanne wenye silaha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.