Well here again,
German East Africa, or Tanganyka: it is the only non-British territory on the easiest way from South Africa to the Mediterranean. It was one of the tensions leading to WW1, since...
Ilikuwa nyumbani kwa Hamza Mwapachu miezi ya mwanzo ya mwaka wa 1953.
Abdul Sykes akifuatana na Ali Mwinyi Tambwe katibu wa Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika alikwenda Nansio, Ukerewe kupata...
ALIYETUMIKA KUMNG'OA MWANAMAJUMUI NA MUASISI WA TAIFA LA INDONESIA CHIEF SURKANO
BY LUGETE MUSSA LUGETE
Tunapozungumzia uongozi wa kimkakati tunamaanisha mpango wa maendeleo wa mda mrefu wenye...
Umoja wa nchi huru za Afrika ndio kimbilio na tegemeo la kutatua changamoto mbalimbali za Afrika ikiwemo vita, ukame, njaa, maradhi na viashilia vya uvunjifu wa amani na ustaraabu wa maisha ya...
Dr. Robert Ouko alikuwa ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Kenya. Alipopotea usiku wa tarehe 12 mwezi wa 2 mwaka 1990. Ouko alipotea akiwa katika shamba lake lililoko huko Koru karibu na Muhoroni...
Ninatambua kuwa jina la Kamzu Banda si geni miongoni mwetu hasa kwa wale wana historia. Leo nitajaribu kumuelezea kinagaubaga huyu mfalume wa Nyasa land na Malawi ya leo. Ni wazi kuwa ukisoma...
Steve Jobs ni mfanyabiashara, mwekezaji, na mgunduzi wa kampuni kubwa dunia ya APPLE na alizaliwa mnamo February 24, 1955 huko San Francisco, California nchini Marekani ambapo "aliasiliwa"(...
Alikuwa karani na mtoza ushuru wakati wa Ukoloni. Akanunua Lori akawa anasafirisha vifaa vya ujenzi. TANU ilipoanzishwa John Rupia akawa muweka hazina wa kwanza. Alisema”TANU haikuwa na Pesa...
Mwanamama Oummilkheir Hamidou baada ya kufanya utumishi kwa miaka 42 hatimaye leo anastaafu rasmi Idhaa ya Kiswahili ya DW Bonn.
Tofauti na unavyofikiria sio kwamba anaenda kijijini kulima la...
Wakuu hapa nitawaletea matukio yote muhimu wakati wa vita hii ya Kagera. Sio kama mimi ndiye niliyeandika la hasha! Ninachokifanya mie ni kuwaletea hapa kutoka Gazeti la Mwananchi. Kaa nami upate...
Tarehe 2 January mwaka 1845, mwanadada Mary Moffat alifunga ndoa na kijana David katika harusi iliyofanyika huko nchini Afrika Kusini. Mary ni mtoto wa kwanza kati ya watoto kumi wa mzee Robert...
HALI YA SIASA ILIKUWAJE TANGANYIKA WAKATI INAUNDWA TANU NA HALI YA SIASA ILIKUWAJE TANZANIA WAKATI INAASISIWA CCM?
Sikujua kama CCM iliasisiwa jana tarehe 5 Februari, 1977 hadi niliposoma kwenye...
Jamhuri ya Madagascar ni nchi ya visiwa (island country) vidogo na vikubwa vinavyopatikana katika bahari ya Hindi vikiwa na ukubwa wa square mita 228,900.
Madagascar ni nchi ya kisiwa namba mbili...
Nchi ya Cambodia inapatikana kusini mashariki mwa bara la Asia. Kwa mujibu wa sensa ya mwaka 2019 inaaminika kuwa Cambodia ina raia zaidi ya Million 15.
Nchi ya Cambodia kwa upande wa mashariki...
Wabusinenge (pia: kiholanzi: Bosneger (weusi wa porini), Maroon) ni neno katika kikreoli cha Surinam kwa ajili ya wakazi wenye asili ya Kiafrika ambao mababu yao walipelekwa Surinam kama watumwa...
Helow Wanajamvi!
Natumai mko poa!
Kwenye kupitia jarida flan! Kuna kundi linaitwaa Jesuist! Wanasema ni kundi na wenye nguvu kuliko CIA,M16,M15, KGB NA MOSSAD
Naombeni nifahamisheni...
The Bometts liked Moi, the tall, handsome and well-mannered orphaned boy who would stay with them during school holidays. Moi was to later marry their daughter, Helena Bomett (above centre with...
Eduardo Mondlane (Mwanzilishi wa chama cha kupigania Uhuru Msumbiji cha FRELIMO) akiwa na Ernesto Che Guevara katika ofisi za FRELIMO jijini Dar es salaam mwaka 1966.
Che Guevara alikuwepo Dar es...
Baadhi ya makabila ya Nepal huko kwenye milima ya Himalaya, na baadhi ya maeneo ya India kwenye jamii ya Wahindu wana utamaduni ambao mwanamke huolewa na ndugu wote wa kiume wa familia moja hata...
JEAN BEDEL BOKASSA,alizaliwa Feburuari 20 mwaka 1921 huko Afrika ya Kati,Central African Republic(CAR).
Ni mmoja wa madikteta wabaya Barani Afrika, ambaye alipinduliwa Septemba 20 mwaka 1979 na...