Azaria C. Mbughuni
December 31, 2019 at 10:05 PM ·
''One thing that Mwalimu Nyerere did every December between 1953 and 1959.
December 1953 Mwalimu Nyerere visited Bukoba to investigate an...
Naikumbuka siku hii kama jana vile.
Nilikuwa na umri wa miaka 11 na vitu viwili vitatu ndivyo vilivyonasa kwenye kichwa changu.
Kwanza ni kumuona Mzee Abdulrahman akitoka nyumbani kwake kashika...
NA MOHAMMED ABDULRAHMAN
Historia ya Afrika kama ilivyo ya dunia kwa ujumla, kimsingi imejaaa masimulizi ya wanasiasa mbali mbali. Lakini waadilifu hasa ni wachache. Jina la Lucio Rodrigo Leite...
Wajue Wasukuma..
Wasukuma ni Wabantu wanaopatikana katika mwambao wa Ziwa Nyanza.Wasukuma wamegawanyika katika koo zaidi ya 80.
Wanafahamiana kwa koo na tawala zao.
Jamii hii ya Wasukuma ni...
Jaws Corner
Uchaguzi wa Zanzibar 1995
Propaganda kuhusu Maalim na siasa za Zanzibar zimezoeleka nyakati kama hizi.
Yaandikwayo hupati kusikia lolote la maana kutoka kwao.
Haya wasemayo...
SHUJAA WA SINGIDA ALIYETUMIA MVUA YA MAWE KUPAMBANA NA WAJERUMANI
-Ni Kitentemi wa Isanzu- Mkalama
-Aliweza kutengeneza mvua wakati wowote na kuituma kwa Maadui zake wajerumani na kuihamisha...
Hiki ni kitabu kikongwe katika vitabu vingi hapa Ulimwenguni hata kuzidi kitabu cha Waislamu, na tuangalie kwa pamoja habari hii ya biashara ya watumwa.
Utumwa katika dunia. Tukianzia katika...
Japo walikuwepo wengi lakini mfano mzuri ni Oscar kambona.
Nadhani wanaharakati ni watu muhimu sana katika taifa hili wanahitaji kupewa nafasi na tuwaunge mkono.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati Wazungu ndo wamemalizia Berlin Conference (1884-85), Mwezi huo wa Februari, Chancellor Otto von Bismarck wa Ujerumani alitangaza barani Ulaya kuwa, Eneo lote ambalo Carl Peters alifanya...
mtu asiyejua historia yake ni sawa na mtu aendaye katika giza maana yake unajua historia ya watu ila ya kwako hujui. mfano watu wengi wanajua sana historia ya ulaya kuliko historia ya africa na...
Katika Tanzania tumezoea kusema Mwalimu Julius Nyerere ndiye Baba wa Taifa. Hii ni kweli kwa kwa taifa la kisasa la Tanzania. Maana Nyerere pamoja na Abeid Amani Karume wa Zanzibar waliamua...
Kifo cha Makweta,kimenifikirisha na hakika nimekumbuka kuwa yeye ndiye mtu maarufu kuliko wanasiasa wengi waliopata kutawala katika mkoa wa Iringa na Njombe ikiwamo.Ni huyu Makweta ambaye aliwahi...
Historia ya Abbas
Kleist Sykes na Julius Kambarage Nyerere
(1952 – 1999)
ABBAS SYKES NA MSIBA WA BABA WA TAIFA MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE, 1999 SEHEMU YA TANO NA YA MWISHO
Kulia ni...
Mstari wa nyuma kuanzia kushoto nimemtambua Obote, Nyerere, na Kaunda
Mstari wa mbele kutoka kushoto Bokhasa, Haile Selassie , Kenyatta na Mobutu
Wengine ninaomba msaada.
Ninafahamu hapo yupo...
https://scholar.harvard.edu/files/shleifer/files/privatizing_russia.pdf
Nilikuwa ninatafuta umbea nikakutana na hii document. Inaeleza jinsi wajanja walivyo ibinafsisha Urusi.
Ni page 54...
Ndani ya Pyramid kuna vyumba (vyemba) vilivyo jengwa juu, chini ya pyramid, kuna milango kama huo hapo kwenye picha ambao haujulikani unafunguliwaje na ndani ya chumba hicho kuna nini? Maduara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.