Muungano wa Tanzania

kinjekitile70

JF-Expert Member
Oct 11, 2017
1,072
1,421
Habari zenyuu wakuu
Matumaini yangu mko wazima wa afyaa
Tukiwa tunasubiri uzinduzi wa kiwanda kingine

Moja kwa moja kwenye mada:Leo katika kusikiliza idhaa ya kiswahil Dw, (Dunia yetu leo mchana ) wakiwa wanaongelea influence ya Western katika uharibifu wa amani ya Yemen, Kuna mchambuzi mmoja kutoka Tanzania, aliongelea kuwa Marekani na Ulaya waliplay part kubwa sana katika kuunganisha Tanganyika na Zanzibar, ili kuzuia influence ya Soviet society, na umoja wa karibu ku dominate Zanzibar.

Tukirudi katika historia yetu ya vitabu tunaambiwa kuwa Baba wa Taifa Mwl, Jk Nyerere na mzee Karume ili kudumisha mshikamano, miongoni mwa wananchi

Naomba wajuzi wa mambo mnijuze kuhusu Hili, huenda Kuna ukweli umejificha katika Hili.

Ahasanteni,

Huku tukisubiri waraka wa BAKWATA, kama watamfungulia BARABA au YESU.
 
hilo suala nakubaliana nalo, ingawa sielewi kwanini nchi za western ziwe na influence kuliko Soviet
 
Habari zenyuu wakuu
Matumaini yangu mko wazima wa afyaa
Tukiwa tunasubiri uzinduzi wa kiwanda kingine

Moja kwa moja kwenye mada:Leo katika kusikiliza idhaa ya kiswahil Dw, (Dunia yetu leo mchana ) wakiwa wanaongelea influence ya Western katika uhatibifu wa amani ya Yemen, Kuna mchambuzi mmja kutoka Tanzania, aliongelea kuwa Marekani na Ulaya waliplay part kubwa sana katika kuunganisha Tanganyika na Zanzibar, ili kuzuiaa influence ya Soviet society, na umoja wa karibu ku dominate Zanzibar.
Tukirudi katika historia yetu ya vitabu tunaambiwa kuwa Baba wa Taifa Mwl, Jk Nyerere na mzee Karume ili kudumisha mshikamano, miongoni mwa wananchi

Naomba wajuzi wa mambo mnijuze kuhusu Hili, huenda Kuna ukweli umejificha katika Hili.

Ahasanteni,
Huku tukisubir waraka wa BAKWATA, kama watamfungulia BARABA au YESU.
Leo Tarehe 26 April, 2020 ni sikukuu ya Muungano, sikukuu hii ndio sikukuu muhimu kuliko hata uhuru kwasababu hii ni siku JMT ilipozaliwa. Lakini kutokana na janga hili la Corona, siku hii inaadhimishwa kimya kimya.

Naawatakia Muungano mwema huku nikisisitiza

Nautakia huu muungano wetu adhimu udumu milele na hivyo kukitokea yoyote anayetaka kuuchokoa muungano, namshauri chokochoko amchokoe pweza, muungano hutauweza kwasababu tutaulinda kwa gharama yoyote.
Nawatakia muungano mwema.

P
 
Back
Top Bottom