Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,663
- 215,530
Bacon ni nyama iliyowekwa chumvi, mara nyingi nyama hii hutoka tumboni au mgongoni mwa nguruwe. Huliwa kama chakula cha nyongeza hasa katika kifungua kinywa
Utaratibu wa kuhufadhi nyama hasa ya tumboni kwa nguruwe ilianza miaka 1,500 iliyopita na waanzilishi walikuwa Wachina.
Wakati huo ufugajivwa nguruwe haukuwa kawaida. Ufugajivwa nguruwe duniani ulianza miaka 500 iliyopita.
Wachina waligundua njia hii ili kuweza kuhifadhi nyama baada ya mawindo mazuri ya nguruwe mwitu.
Sikuhizi utamaduni wa kula bacon kama sehumu ya kifungua kinywa umeenea sana hasa Ulaya Magharibi.
Jina bacon lilianzia Ujerumani na Ufaransa likimaanisha 'backside at buttock of a pork'