Indonesia ilikuwa na utawala uliojulikana kama New Order ulioendeshwa na Rais Surharto. New Order ili sumu madarakani kwa miongo mitatu, watawala walikuwa wamepumzika na hawakuangalia tena...
MANENO YANGU KUHUSU KIFO CHA SHEIKH ISSA BIN NASSER MWANDISHI WA ‘’ZANZIBAR KINYANG’NYIRO NA UTUMWA’’
Na Sheikh Ponda Issa Ponda
Mimi ni mmoja katika watu wanaofanya uchunguzi katika historia ya...
Mwandishi amesimama Lincoln Memorial aliposimama
Dr. Martin Luther King alipotoa hotuba yake, ''I Have a Dream.''
Siku kama ya leo Martin Luther King aliuliwa Memphis kwa kupigwa risasi na hii...
MWANADAMU NA MUUJIZA
Binadamu tunapenda muujiza kwa kuwa inarahishisha kufikiri.
Kwanza nataka kukutoa hofu juu yangu ili nikufahamishe kuwa mimi hupenda kuukubali ukweli unapodhihiri na hii...
Alikua ni raia wa Marekani alizaliwa 18/5/1889 nchini Marekani. Alizaliwa akiwa na miguu mitatu na yote ilikua inafanya kazi alizaliwa akiwa na sehemu za siri za kiume mbili (2)
Shemu za siri...
HAZINA YA MZEE KISSINGER KATIKA MAKTABA YA MOHAMED SAID
Kama waandishi wa Wasifu wa Julius Nyerere wasingesema kuwa Maktaba yangu ni katika maktaba tatu bora walizoziona wakati wanatafiti maisha...
TAAZIA: BENJAMIN WILLIAM MKAPA NA KITWANA SELEMANI KONDO MARAFIKI WALIOPENDANA KWA DHATI
Kitwana Selemani Kondo wengi huenda watashangaa kusikia kuwa alikuwa rafiki kipenzi wa wa Benjamin William...
TAAZIA YA DR. DAU KWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA NA YALE MAKUBWA NA MAZITO AMBAYO HAKUYASEMA
Hakuna kitu kinagusa fikra na linabaki akilini na kuhifadhika kwengineko kama neno lililoandikwa...
WAKILI MUSA KWIKIMA (1939 – 2020)
KATIBU TUME YA WAISLAM YA MGOGORO WA EAMWS, 1968
Unaanzaje kuandika historia ya mtu kama Musa Kwikima katika Mgogoro wa EAMWS?
Unaanzaje?
Historia ya Musa...
Kuna mtu kaniletea makala ya Bi. Titi Mohamed na akaniuliza usahihi
wa makala hiyo.
Nimeisoma na mimi nikawa mwanafunzi makala ina mengi ambayo
kwangu sikuyajua kwa undani wa kiasi kilichoandikwa...
DR. RAMADHANI KITWANA DAU ANAVYOMKUMBUKA RAFIKI NA KIONGOZI WAKE RAIS MSTAAFU BENJAMIN WILLIAM MKAPA
KWA NINI NAMLILIA MZEE BENJAMIN WILLIAM MKAPA
Dkt. Ramadhani K Dau
Ilikuwa siku ya Ijumaa...
Wale ambao hawawezi kukumbuka historia, ndiyo ambao kimakosa wanarudia makosa ya kihistoria” - George Santayana
Rais wa 40 wa taifa la Marekani, mwenye daraja la 33 kwenye asasi ya...
UZOEFU WANGU WA MAANDAMANO UINGEREZA NA MAREKANI
Nimesoma hapa kuhusu mapokezi ya Tundu Lisu na maandamano yake na jinsi polisi walivyolitawala jambo lote kwa hekima na likapita salama salmini...
NIMEITOA KUTOKA THESIS: TANZANIAN CHRISTIANS PERCEPTION OF MUSLIMS IN THE CONTEXT OF NATION'S CHRISTIAN - MUSLIMS RELATIONS BY JONATHAN JOUNG SUN LEE 2019
Among the authors, I found Mohamed Said...
Picha hii nilimpiga Rais Mkapa siku alipozindua kitabu cha hotuba zake kilichochapwa na Mkuki na Nyota.
Nilijulishwa kwake na Bwana Walter Bgoya Mkurugenzi Mkuu wa Mkuki na Nyota tukapeana...
Unaweza ukashangaa akikwambia yeye ni dalali na anataka kuliuza jengo la Taj Mahal? Ingawa inaweza kuonekana kuwa ni vigumu kuamini miaka ya sasa lakini ukweli ni kwamba miongo michache...
Did you know.....??
They used to use urine to tan animal skins, so families used to all pee in a pot & then once a day it was taken & sold to the tannery. If you had to do this to survive you...
Upo mstari mwembamba sana kati ya akili (intelligence) na uchizi (craziness). Mara nyingi watu wenye akili nyingi sana huwa na uchizi fulani. Ukipata nafasi ya kuwasikiliza machizi waliopo mtaani...
Wakuu stori inayotrend saivi ni tamko la mamlaka za Uturuki kubadili matumizi ya jengo la kale la Hagia Sophia lililojengwa mwaka 537 (yapata miaka 1,500 iliyopita) kutoka kuwa makumbusho na sasa...
BARAKA SHAMTE MTOTO WA WAZIRI MKUU WA KWANZA WA ZANZIBAR SHEIKH MOHAMED SHAMTE
Kama isingekuwa kushiriki kama Mtafiti Msaidizi wa Dr. Harith Ghassany wakati anatafiti kitabu chake ‘’Kwaheri...