Jukwaa la Historia

On JF:

Je, wangapi wanafahamu historia ya Mansa Mussa mtu anayetajwa katika vitabu vya historia kuwa mtu tajiri zaidi duniani kuwahi kutokea. Historia inasema alikuwa ni mfalme maarufu zaidi na...
4 Reactions
8 Replies
5K Views
KUTOKA ZIRPP: ABDALLAH KASSIM HANGA Yaliyotokea kifo cha Abdallah Kassim Hanga Mohamed Said Toleo la 405 13 May 2015 WAKATI Dk. Harith Ghassany anaandika kitabu chake, ''Kwaheri Ukoloni...
5 Reactions
22 Replies
11K Views
  • Closed
MATESO YA MASHEIKH WETU Ananiambia, ‘’Nakwenda sijda natamani nilie kwenye sijda lakini nyoyo hizi ngumu zimekufa ganzi na pengine hata kuta zake zimesinyaa machozi ya wapi ndugu yangu...
17 Reactions
78 Replies
8K Views
VITA KATI YA WANGONI NA WAMATENGO (sehemu ya kwanza) Kabila la Wamatengo ni Kabila la Asili, halijaundwa kwa kutokana na makabila mengi yaliyochanganyika kama ilivyokuwa kwa kabila la Wangoni...
6 Reactions
38 Replies
11K Views
BENJAMIN WILLIAM MKAPA MHARIRI WA ‘’UHURU’’ NA ‘’THE NATIONALIST’’ KATIKA MGOGORO WA EAST AFRICAN MUSLIM WELFARE SOCIETY (EAMWS) 1968 Katika utafiti wakati naandika historia ya TANU kupitia...
9 Reactions
39 Replies
4K Views
Hapa Tanzania kuna sehemu ukienda na ukapewa historia zake unaweza kubaki mdomo wazi, kwa kuwa ukiangalia mji huo kama hauendani na hiyo historia. Lakini kimsingi kuna miji hapa Tanzania kwa kweli...
4 Reactions
12 Replies
5K Views
Join our Cloud HD Video Meeting
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Kevin Poulsen alizaliwa tarehe 30 mwezi Novemba mwaka wa 1965. Moja ya udukuzu wake muhimu ni udukuzi wa redio ya LA kwa jina la KIIS-FM. Kwa kudukua nambari za simu za shirika hilo la redio...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Jonathan alizaliwa tarehe 12 mwezi Desemba mwaka wa 1983. Alipata umaarufu alipohukumiwa kifungo akiwa na umri wa miaka 16 [emoji16]kwa makosa ya udukuzi aliyofanya akiwa na umri wa miaka 15...
2 Reactions
9 Replies
4K Views
MFAHAMU DIKTETA WA MALAWI ALIYEPIGA MARUFUKU KUVAA SURUALI Baba wa Taifa la Malawi, Dikteta Hastings Kamuzu Banda aliingia Malawi mwaka 1958 akitokea Uingereza alikoenda kusoma tangu 1925...
5 Reactions
23 Replies
8K Views
Gusa link ukaitazame
0 Reactions
2 Replies
3K Views
SAFARI ya kumsaka Khadija binti Kamba, haikuwa nyepesi. Ilianza kwa kudadisi, kupiga simu na kuzunguka hapa na pale hadi kufika katika ofisi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Ilala...
9 Reactions
21 Replies
8K Views
Georgia, Marekani, hili ndilo tulio la kwanza kwa mtu aliyehukumiwa kifo kutoroka gerezani. Alitoroka siku moja kabla ya hukumu yake ya kifo. Bahati mbaya mtu huyo, alifariki kesho yake kwenye...
3 Reactions
7 Replies
3K Views
Siku njema ya kuzaliwa kwa Billclinton SIJASOMA KITABU CHA MZEE MKAPA, ILA HILI SIDHANI KAMA HILI LIMEANDIKWA. Twende pamoja kwa haya machache na mwisho uone mbwembwe za mwandishi wa habari huko...
6 Reactions
10 Replies
3K Views
THE butcher of uganda. brigadier isaac maliyamungu, chief of operations in the ugandan army, responsible for the brutal killings of thousands of ugandans during the 1971 to 1979 nightmare in the...
5 Reactions
15 Replies
8K Views
7SHEBE MOHAMED AWADH MZALENDO ALIYEHIFADHI HISTORIA YA TANU NA HISTORIA YA JULIUS KAMBARAGE NYERERE KWA JICHO LA CAMERA YAKE Katika ukuta wa nyumba ya mama yangu mkubwa Bi. Mwanaisha bint Mohamed...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
MZEE MOYO KATANGULIA KWENYE HAKI NA HAMZAH RIJAL Anapotangulia mmoja kati yetu kwenye haki huzungumzwa marehemu kwa yale aliyoyafanya yakiwa ya kheri huzidi kupambwa, kuna wengine hufanya kila...
4 Reactions
5 Replies
2K Views
TUJIKUMBUSHE: SHEIKH ALI MUHSIN BARWANI MMOJA WA WAPIGANIA UHURU WA ZANZIBAR Historia ni mwalimu tosha Huwezi kuijua leo yako ikiwa huifahamu jana yako Akudanganyae historia ya nchi yako Ana lake...
1 Reactions
2 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…