Jukwaa la Historia

On JF:

KATIKA sehemu ya kwanza tulizungumzia kidogo namna Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) lilivyoshiriki katika mapambano ya kuzikomboa nchi za Afrika. Baadhi ya Watanzania ambao walijitoa kikamilifu...
3 Reactions
9 Replies
4K Views
KITABU KIPYA: UISLAM ULIVYOINGIA UCHAGGANI Rajabu Ibrahim Kirama alikuwa mtoto mdogo wakati Wamishionari wanaingia Kilimanjaro baada ya Mkutano wa Berlin mwaka wa 1884 na Wajerumani wakaingia...
3 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwasasa imekua lugha inayotumika kwenye mambo maalumu tu, je kuna ubaya nikisema hii lugha imekufa?, kama ulikua hujui kuwa lugha inakufa ndio ujue leo, wataalam wa lugha wanaweza kuelezea lugha...
9 Reactions
79 Replies
15K Views
Watu watano muhimu sana katika historia ya uasisi wa CCM ni hawa: 1: Mwalimu Julius K. Nyerere 2: Sheikh Aboud Jumbe 3: Sheikh Rashid M. Kawawa 4: Sheikh Thabit Kombo 5: Mhe. Pius Msekwa Inabidi...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Ilikuwa mwaka 1964 jamaa mmoja anaitwa . Edward Makuka Nkoloso , alitaka kuwapeleka wazambia 15 pamoja na paka wake, kwenye sayari ya Mars, Hilo kundi kulikuwa na wahubiri ambao kazi yao ilikuwa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ni takribani miaka 44 sasa tokea kuuawa kwa aliyekuwa rais wa kwanza wa Zanzibar marehemu sheikh Abeid Karume. Tukio hilo lililotokea katika ofisi za makao makuu ya A.S.P huko kisiwa Ndui mjini...
45 Reactions
88 Replies
26K Views
Kwa Imani tunasema alale salama huko alipo Atakumbukwa kwa Mengi ikiwemo kuzingatia Kanuni za kiafya
0 Reactions
2 Replies
1K Views
BINGWA WA PROPAGANDA OSAMA EL BAZ WA MISRI Osama El Baz hujapata kukutana na mtu kama huyu. Achilia mbali kuwa alikuwa ni Mmisri. Wamisri wana sifa ya maneno matamu na ghilba. Osama El Baz...
4 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu habari za huko kwenyu? Mimi ni mkurya muhili ketosho nyumbani ghwetu ni kule tarime kijijini kongoto. Naomba kwa wale bhakurya bhenzangu mnisaidie kunielezea historia na chimbuko la...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Wapogoro ni kabila la watu kutoka kusini-kati ya nchi ya Tanzania, hususan mkoa wa Morogoro. Lugha yao ni Kipogoro . HISTORIA Inasemekana asili yao ni Afrika Magharibi, hasa katika nchi ya...
4 Reactions
19 Replies
14K Views
Historia inavyosema, Marehemu MzeeKarume alikuja Zanzibar na wazazi wake wakitokea Malawi, walikuwa ni wananchi wa Malawi, lakini wakati huo Tnaganyika, Zanzibar na Maliwa zilikuwa chini ya...
1 Reactions
15 Replies
4K Views
Moulay Ismail Ibn Sharif ndiye mtu mwenye watoto wengi kuliko wote Duniani. Alikuwa ni mfalme wa Morocco kuanzia miaka ya 1672 hadi 1727. Alikuwa na watoto waliosajiliwa 867 kati ya hao watoto wa...
4 Reactions
26 Replies
8K Views
Ukitazama filamu iitwayo “The Dictator” iliyoingia sokoni kwa mara ya kwanza mwaka 2012 (sasa inapatikana katika mtandao wa Netflix na Youtube) utabaini kuwa kuna taifa barani Afrika linaloitwa...
4 Reactions
9 Replies
3K Views
file:///storage/emulated/0/Download/Seif_Sharif_Hamad%20(1).jpg MAALIM SEIF ALIPOGEUKA KUWA NGUVU YA UMMA Na: Ahmed Rajab ahmed@ahmedrajab.com “NIMEPATA habari kuwa huenda kesho ukaondoka na...
3 Reactions
2 Replies
2K Views
Kwenye neno Sumbu wanga, likiwa na maana ya tupa uchawi , na lilianzishwa na mtawala mmoja wa zamani wa eneo hilo aliyeitwa Mwene Ngalu. Sumbawanga ni makao makuu ya mkoani Rukwa, uliopo Nyanda...
10 Reactions
29 Replies
10K Views
Ni wazi wazee na waasisi wa Tanganyika wanapukutika TANGANYIKA ilipokea uhuru wake kutoka kwa mkoloni wa kiingereza hata hivyo uhuru huu haukuwa ni ule wa kushika mtutu pamoja nakuwa nyuma kidogo...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Kutoka mwaka 1995. Baada ya mchakato wa kumpata mgombea urais wa CCM. Akiwa anatoa hotuba ya kukubali matokeo, Rais mstaafu Kikwete aliongea maneno ambayo yalionekana kumgusa kwa furaha Rais...
12 Reactions
42 Replies
8K Views
HISTORIA YA MJI WA MOSHI Mji wa Moshi Ulitokea Eneo La Old Moshi, Tsudunyi huko Mlimani Ambapo Ndipo Palikuwa Panaitwa "Moshi" Hapo Kabla. MARANGU, KILEMA, ROSHO NA MAENEO MENGINE pia ni sehemu...
10 Reactions
16 Replies
5K Views
UTANGULIZI Kabla ya kujua habari ya vita kati ya Wangoni na Wandendeule yafaa tujue kwanza historia fupi juu ya kabila la Wandendeule ambao walikuwa ni wenyeji wa nchi ya ungoni ya leo, pia tujue...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Back
Top Bottom