Ahsante sana kwa hii…..tuhimize tu maandiko yake yachapishwe ili yawafikie wengi na mitizamo yake ije ichangie kwenye kujenga fikira kwa kizazi kijacho cha Waafrika. Professa Wamba alikuwa kati ya wasomi wenye mitizamo asilia ya kiafrika itakuwa hasara sana kama fikira zake zitapotea pasipo kuchapishwa.
Mungu ailaze pema peponi roho ya Mwanamapinduzi huyu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.