Unamjua mdukuzi Kelvin Poulsen

Unamjua mdukuzi Kelvin Poulsen

makindaOG

Member
Joined
Aug 15, 2020
Posts
11
Reaction score
14
Kevin Poulsen alizaliwa tarehe 30 mwezi Novemba mwaka wa 1965. Moja ya udukuzu wake muhimu ni udukuzi wa redio ya LA kwa jina la KIIS-FM.

Kwa kudukua nambari za simu za shirika hilo la redio Poulsen alijitangaza mshindi wa gari[emoji23] aina ya Porsche[emoji95] pamoja na zawadi zingine mbalimbabli[emoji41]

Poulsen alikamatwa alipojaribu kudukua mfumo wa Federal.[emoji188]

Je aliwahi kuadhibiwa?[emoji848]

Poulsen alihukumiwa kifungo cha miaka 5 pamoja na hukumu ya kutotumia kompyuta wala intaneti kwa kipindi cha miaka 3 baada ya kuachiliwa.
 
Hamza Bendelladj aka the happy hacker ndiye nayemkubari. Alikuwa kwenye FBI top 10 wanted list. Aliiba millions of dollars na kuzi donate to charities.
[emoji110][emoji110][emoji110]
 
Hamza Bendelladj aka the happy hacker ndiye nayemkubari. Alikuwa kwenye FBI top 10 wanted list. Aliiba millions of dollars na kuzi donate to charities.
Huyu alizitumia vizuri sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom