BI. TITI MOHAMED ALIVYONIKUTANISHA NA ISMAILI BAYUMI
Tuwekeni kumbukumbu kwani kumbukumbu ikihifadhiwa hukumbusha.
Leo ni siku yangu ya furaha kubwa sana.
Nimekuwa nikiitafuta picha ya marehemu...
KUMBUKUMBU YA UHURU WA TANGANYIKA 9 DESEMBA 1961 2
KISA CHA FUNDI MUASHI, FUNDI CHERAHANI NA WASOMI WA CHUO KIKUU CHA MAKERERE 1955 SEHEMU YA KWANZA
Katika sehemu ya kwanza tumeoa jinsi wananchi...
Thomas sankara alikua ni raisi wa Burknafaso kati ya miaka ya 1983 hadi 1987
Haya ni moja ya machache yaliyo fanywa na Thomas Sankara enzi za uongozi wake[emoji116]
[emoji117]Aliuza Mercedes Benz...
Naeleza mazishi yalivyokuwa kuanzia dakika ya 7.
Labda unaweza kujifunza kitu kitokana na historia hii ambayo kwa hakika ni historia ya watu wa Dar-es-Salaam na utamaduni wao na vipi historia hii...
Naomba msaada kutoka mtu anayejua vizuri historia ya Zanzibar. Abdulrazak Gurnah aliyeshinda Tuzo la Nobel la Fasihi alizaliwa 1948 akaondoka kwenda Uingereza alipokuwa na umri wa miaka 18...
MASJID RAWDHA NA SOKO MJINGA KISUTU
Masjid Rawdha ni huo msikiti kushoto ambao zamani ulikuwa ukijulikana kama Masjid Badawy na hili ndilo jina nililolikuta mimi wakati napata akili.
Kulia ni...
CHIEF DAVID KIDAHA MAKWAIA NA DR. WBK MWANJISI KATIKA WASIFU WA JULIUS NYERERE
Siku moja rafiki yangu Edward Makwaia tulikuwa tunasoma darasa moja St. Joseph’s Convent School Dar es Salaam...
BIBI Titi Mohammed alizaliwa juni mwaka 1926, Dar es salaam, katika harakati zake za kuwakomboa wanawake ,Bibi Titi alikaririwa siku moja akisema; " Dhumuni langu kubwa ni kuhakikisha naamsha...
Inasemekana kabla hata ya Yesu waafrika walikuwa wamefika bara la Amerika na kuanzisha ustaarabu huko ulioitwa olmecs. Hawa ndiyo waliwafundisha watu wa Amerika kujenga mapiramidi na kuchonga...
Pesse canoe, Uholanzi. Miaka 10,000 iliyopita. Urefu mita tatu upana cm 44.
Dafuna Canoe, Nigeria.Miaka 8000 iliyopita.
Hii waliikuta chini kama mita 5 mchangani huko Nigeria. Urefu mita 8...
Na.Mohamed Said
MANGI MKUU THOMAS MAREALLE KATIKA NYARAKA ZA SYKES
Kuna vijana naamini wamehamasika kutafiti na kuandika upya historia ya uhuru wa Tanganyika na kwa kweli nawapongeza na nawatakia...
SIMULIZI NDEFU ZA KUVUTIA ZA PROF. ABDULAZIZ LODHI, KTK MAHOJIANO MAREFU NA MTAYARISHAJI WA KIPINDI CHA GUMZO LA GHASSANI
Mzalendo mzanzibari Profesa Abdulaziz Lodhi, bingwa wa taaluma za...
Bibi Titi Mohammed alizaliwa mnamo 1926 jijini Dar es saalam na alipoteza maisha tarehe 5 Novemba 2000 alikuwa mmoja wa wanawake wa kwanza mzalendo kushika nafasi za ubunge na uwaziri nchini...
JUMAMOSI Agosti 1, 1970 Mahakama Kuu ya Tanzania iliambiwa na mkurugenzi wa mashitaka jinsi Bibi Titi Mohamed alivyogharamia mapinduzi ya kumuua Julius Nyerere na kuiangusha serikali yake...
Jee ni kweli Mohamed Iqbal Dar, mwenye asili ya kihindi, aliyekuwa akiishi Tanga, mnamo mwaka 1964 ndiye aliipa nchi yetu jina zuri la "Tanzania".
Kama ni kweli huyu mtu yuko wapi kwa sasa?
Na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.