Jukwaa la Historia

On JF:

Alikua na nguvu za ziada. Aliweza kuchana rundo la ma gazeti kwa wakati mmoja. Siku moja wakiwa mezani wanakula chakula, Balozi wa Austria alisema wakifanya was fujo na Urusi watatuma vikosi...
0 Reactions
0 Replies
790 Views
Mkoa wa Mara una eneo la Kilomita za mraba 30,150. Kati ya eneo hilo Kilomita za mraba 10,942 ni eneo la maji sawa na asilimia 36 na Kilomita za mraba 19,208 sawa na asilimia 64 ni eneo la nchi...
5 Reactions
4 Replies
5K Views
Jana nilikutana na Fatma Karume katika Uzinduzi wa Maalim Seif Foundation. Nilimkumbusha siku nduguze Wakili Awadh, Babu Ali, Salim Bimani na mimi tulipomsindikiza studio za Channel Ten kufanya...
1 Reactions
1 Replies
998 Views
Prince Alemayehu of Ethiopia ("abducted /stolen /taken by Britain) with his guardian Speedy, 1868 🇪🇹 🇬🇧 For 150 years, Ethiopians have been asking when Prince Alemayehu will come home. The...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
MUDA HAUTOSHI NA MAXENCE MELO WA JF Leo nyumbani kwangu nimempokea kijana ambae siwezi kuwa na maneno ya kutosha kumweleza. Ameifanyia Tanzania makubwa. JF imenifanya mimi nifahamike kwa...
105 Reactions
120 Replies
8K Views
COMPREHENSIVE HISTORY OF HOW THE NIGERIAN ARMY CAME TO BE The history of the Nigerian Army dates back to 1863 when Lt. Glover of the Royal Navy selected 18 indigenes from the Northern part of...
0 Reactions
2 Replies
660 Views
Jeshi la Uingereza liliongozwa na Jenerali Chelmsford lilipata kipigo kutoka kwa Wazulu.
0 Reactions
1 Replies
640 Views
Zeppelin ni meli ndege iliyopewa jina la mbunifu aliyeiunda aliitwa Count Ferdinand von Zeppelin. Zeppelin ilileta mabadiliko makubwa katika usafirishaji wa mizigo kwa njia ya anga.
8 Reactions
31 Replies
2K Views
MWANAMKE MWANAMAPINDUZI Hiki ni kitabu kinachohusu maisha ya Biubwa Amour Zahor kilichoandikwa na Zuhura Yunus. Kitabu hiki kinahusu maisha yake Bi. Ubwa akiwa msichana mdogKio wa Kiarabu katika...
3 Reactions
12 Replies
3K Views
KITABU CHA BIUBWA: KARUME, BIUBWA NA BARUA YA ENGEN Kitabu "Mwanamke Mwanamapinduzi," kinachohadithia maisha ya Biubwa Amour Zahor ni, "thriller," katika viwango vya James Bond. Zuhura Yunus...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
KITABU CHA BIUBWA: KARUME, BIUBWA NA BARUA YA ENGEN Kitabu "Mwanamke Mwanamapinduzi," kinachohadithia maisha ya Biubwa Amour Zahor ni, "thriller," katika viwango vya James Bond. Zuhura Yunus...
0 Reactions
3 Replies
930 Views
[emoji117]Ruby Bridges alizaliwa mnamo mwaka 1954 akiwa na umri wa miaka 6 alikuwa mtoto wa kwanza marekani mwenye asili ya Afrika alisoma katika shule mchanganyiko na wazungu. [emoji117]Mtoto...
7 Reactions
13 Replies
5K Views
Huyu ni mmoja kati ya watu wachache wenye uwezo mkubwa kuwahi kutokea duniani. Kazaliwa 15April 1452 na kufariki 2May 1519. Huyu jamaa hakuwahi kanyaga shule ila alijaliwa kila aina ya kipaji...
6 Reactions
14 Replies
4K Views
Mkataba huu ulitiwa sahihi miaka mitano baada ya kifo cha Archduke Franz Fernand aliyekua mrithi wa Ufalme wa Hungary, Bosnia na Austria, hii ilikua falme moja kabla ya mgawanyiko. Sababu ya...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
BI. TITI MOHAMED ALIVYONIKUTANISHA NA ISMAILI BAYUMI Tuwekeni kumbukumbu kwani kumbukumbu ikihifadhiwa hukumbusha. Leo ni siku yangu ya furaha kubwa sana. Nimekuwa nikiitafuta picha ya marehemu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
KUMBUKUMBU YA UHURU WA TANGANYIKA 9 DESEMBA 1961 2 KISA CHA FUNDI MUASHI, FUNDI CHERAHANI NA WASOMI WA CHUO KIKUU CHA MAKERERE 1955 SEHEMU YA KWANZA Katika sehemu ya kwanza tumeoa jinsi wananchi...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom