Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

On JF:

Kuna tofaut gani hapo nataka kwenda kusoma higher diploma ya special education pale patand
0 Reactions
9 Replies
31K Views
Wakuu naomba kuuliza je kuna tofauti Kati ya hizo academic terms mbili ki Tanzania Tanzania!!?? NA je mtu mwenye stashahada ya juu analipwa sawa na mtu wa shahada??
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Habari zenu wapendwa Naomba kufahamu tofauti iliyopo kati ya advanced diploma na Bachelor degree. ~Ipi ni kubwa kuliko nyingine ~Sifa za kujiunga na kila moja Ahsanteni na samahani kwa usumbufu
1 Reactions
34 Replies
7K Views
Karibia kila kitu kwenye ulimwengu kimeundwa na na Matter ikiwa kwenye umbo/aina tofauti kama Solids,liquids,gasses na plasma hizi aina aina za matter zimeundwa na particles ndogo {subatomic...
3 Reactions
0 Replies
434 Views
Mwenye kujua shule nzuri inayotoa. Mafunzo ya QT kwa ada ya bei poa naomba anijuze, ambayo ada yake haizidi 300,000 kwa mwaka....
0 Reactions
5 Replies
8K Views
Wasaalimu Jamii forum Mimi ni kijana mwenzenu nasoma india kwa sasa. Ni mwaka wa 4. Nasomea medicine. Ki ukweli huwa nawasikitikia sana vijana wenzangu, ambao pia naweza waita wadogo zangu...
7 Reactions
84 Replies
19K Views
Habari, wadau napenda kujua kuhisi hii fani mpya ya data Science kwa upande wetu huku Tanzania naweza kuipata chuo gani nijue. Chuo kinachotoa fani hiyo Level (cheti shahada) Ada Vigezo vya fani...
2 Reactions
30 Replies
3K Views
Wakuu naomba mnisaidie nikifanya maombi ya cheti cha kidato cha 4 kilichoungua naweza kukipata kwa muda gani? Najua humu wazoefu wapo na je kama, Nina haraka nacho sana hicho cheti nofanyaje Ili...
0 Reactions
5 Replies
676 Views
CHUO Cha TABORA EA polytechnic kimekuwa JANGA kwa wanafunzi wanaosoma hapo kwani wanachuo wanalazimishwa kumaliza ada ya mwaka mzima ndani ya semester ya kwanza na bila hivo wasiomaliza hawafanyi...
1 Reactions
2 Replies
355 Views
Niko kwenye prosses za kusajili taasisi ya kusaidia jamii hasa wanafunzi na vijana walioko kwenye mazingira magumu. Taasisi hiyo itaitwa NOVA INUA ORGANIZATION (NIO) yenye lengo la kusomesha...
0 Reactions
4 Replies
479 Views
Wanajaamiii naomba mnisaidie kupata msaada wa kujua maeneo ambayo naweza kufanya field mkoa wa mwanza kozi Ni electrical and railway electrifriction engineering 🙏
1 Reactions
1 Replies
408 Views
Natumai barua hii itakufikia salama. Mimi ni mzazi wa mwanafunzi aliye katika Kidato cha Pili katika Shule ya Sekondari Mkuu, wilayani Rombo. Nimeandika barua hii kuwasilisha maswali na malalamiko...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Wapi vijana bado wanasoma BA Archaeology ili waje kufanya kazi wapi?
1 Reactions
6 Replies
419 Views
Samahan sana ,,wana jf wenzang nilikuwa naomba mnijuze kuhusiana na hii kozi mpya ya biomedical engineering inayotoa diploma tu kwenye vyuo viwili Tanzania ambapo ni DIT na ATC pekee .Nilikuwa...
0 Reactions
34 Replies
21K Views
Nimepata taarifa miaka kadhaa ya nyuma DIT ilikua inatoa hii course. Naomba kujua kwa upana kidogo inahusika na vitu gani? Kwa wenye taarifa au utaalamu wa hii course pia ajira zake ziko vipi
0 Reactions
25 Replies
5K Views
Tafadhali! naomba ushauri juu ya kusoma diploma kozi ya Biomedical engeering.nimemaliza kidato cha sita PCM nimepata DEE Degree nadhani nafasi ipo kwa upande wa education tu! nami huko sitaki...
2 Reactions
49 Replies
6K Views
Mwenye uelewa wa kozi tajwa hapo juu naomba anipe ufafanuzi. Hii kozi inahusiana na nini? Ili uweze kusoma hii kozi unatakiwa usome mchepuo upi? Ukisoma hii kozi unafanya kazi gani na wapi? Je...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Je ni kozi nzuri?
1 Reactions
15 Replies
5K Views
Meneja wa Vodacom Tanzania Foundation, Sandra Oswald (wa pili kutoka kushoto), akizungumza katika uzinduzi wa kongamano la Utafiti Elimu Tanzania la mwaka 2025 lililoandaliwa na Chuo Kikuu cha Dar...
0 Reactions
0 Replies
305 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…