Menyu Nix
Member
- Jul 9, 2022
- 33
- 10
Tafadhali! naomba ushauri juu ya kusoma diploma kozi ya Biomedical engeering.nimemaliza kidato cha sita PCM nimepata DEE Degree nadhani nafasi ipo kwa upande wa education tu! nami huko sitaki.
Nahitaji kusoma kozi hii(BIOMEDICAL ENGINEERING) but sijajua kuhusu ajira ipo kwa upande wa Diploma au vipi ?
Msaada wa maelezo yake Please
au ushauri...!
Nahitaji kusoma kozi hii(BIOMEDICAL ENGINEERING) but sijajua kuhusu ajira ipo kwa upande wa Diploma au vipi ?
Msaada wa maelezo yake Please
au ushauri...!