Medical doctor vs bachelor of law

Medical doctor vs bachelor of law

Nahitaji kujiunga na masomo ivo nimeuliza ipi ni fani nzuri kati ya law na MD kwa maslahi mapana ya kiutafutaji aidha kwa kujiajili na kuajiliwa?
Ushauri wenu n mhimu sana kabla dirisha la udahili halijafungiluwa ili nijue nn naenda kujikita nacho
 
Nahitaji kujiunga na masomo ivo nimeuliza ipi ni fani nzuri kati ya law na MD kwa maslahi mapana ya kiutafutaji aidha kwa kujiajili na kuajiliwa?
Ushauri wenu n mhimu sana kabla dirisha la udahili halijafungiluwa ili nijue nn naenda kujikita nacho
Chukua MD mimi mwenyewe nataka nijiunge MD
 
Umesomea nn background yako ni ipi au ndio unasikiliza ushauri kama ni hivyo tuambie wewe umesomea nini tukushauri mtu wa diploma au coz form six wap shule
 
Nahitaji kujiunga na masomo ivo nimeuliza ipi ni fani nzuri kati ya law na MD kwa maslahi mapana ya kiutafutaji aidha kwa kujiajili na kuajiliwa?
Ushauri wenu n mhimu sana kabla dirisha la udahili halijafungiluwa ili nijue nn naenda kujikita nacho
Matokeo yako yakoje? Na mbona hazina uhusiano hizo fani? Kwan advance ulisoma comb gani? Tuanzie hapo.
 
IP ni fani nzuri kati ya medical doctor vs bachelor of law
Vijana wetu Huwa mnachanganyikiwa mkishamaliza form six, Iko hivi unaposoma medical doctor urahisi wa mkono kwenda kinywani ni 75%
Unaposoma bachelor of law urahisi wamkono kwenda kinywani ni 10% Naombeni radhi kwa yeyote atakayekwazika.
 
Veterinary med to md,, hiyo haiwezekani, anatomy ya ng'ombe na binadamu vitu viwili tofauti .. ungesema from C.O to MD sawa
 
Back
Top Bottom