Hello wanajukwaa. Naombeni ushauri wenu kulingana na uzoefu wenu wataalamu.
Nina mdogo wangu kamaliza kidato Cha nne mwaka jana, amepangiwa Kozi ya ICT chuo Cha Taifa Cha usafirshaji.
Mimi...
Mimi ni mzazi mwenye mtoto anayesoma katika Shule ya Msingi Bonyokwa iliyopo Wilaya ya Ilala, Kata ya Segerea, Dar es Salaam. Ninaomba kuwasilisha kilio changu kuhusu hali ya mazingira ya...
Wakuu salama,
Natumai mko wote heri. Nina ndugu yangu wa karibu amefanya maombi ya chuo mwaka huu na katika matokeo ya kwanza (Batch One) amefanikiwa kuchaguliwa kujiunga na Chuo cha Teknolojia...
Wakuu, nina ndugu yangu ambaye anamaliza la darasa la saba mwaka huu, kama ndugu tumeona tumtafutie shule ambayo haitakuwa mbali sana na makazi yetu. Ni mtoto yatima
Jibu likaja ni kibaha...
Habari kuna mfanyakazi mmoja wa Mwalimu Nyerere Memorial Academy yupo department ya Examination ana majibu ya dharau sana hasa kwa watu wanaoenda hapo wakiwa na uhitaji mbalimbali.
Tulienda...
General study E, history C, geography B, english C. Naomba mnisaidie ushauri ni kozi gani bora na chuo gani bora cha mimi kwenda kusoma. Na ufaulu wangu wa o level ni mathematics C.
Naomba mamlaka husika kuchunguza malalamiko kuhusu utaratibu wa usajili kwenye mfumo wa NaPA kwa waombaji wa mikopo ya elimu ya juu katika Wilaya ya Sengerema, Mwanza.
Kuna malalamiko kwamba...
Mimi nimhitimu wa chuo cha ualimu x ngazi ya kati yaani diploma nimepata GPA ya 3.6
SWALI: Je, kwa ufaulu huu naweza kupata nafasi yakusoma shahada i.e. Bachelor chuo kikuu UDSM main kampasi...
Kuna makosa ambayo mwanafunzi akiyafanya shuleni, adhabu yake haishughulikiwi na mwalimu mmoja tu. Unakuta umeitwa mbele ya walimu kadhaa, kila mmoja anauliza alichofanya, na mwisho unaondoka na...
Wakuu salama,
Natumai mko wote heri. Nina ndugu yangu wa karibu amefanya maombi ya chuo mwaka huu na katika matokeo ya kwanza (Batch One) amefanikiwa kuchaguliwa kujiunga na Chuo cha Teknolojia...
Mmiliki wa chuo anawadharau waalimu na kutukana waalimu mbele ya wanafunzi jambo ambalo linapelekea waalimu kukosa sauti kwa wanafunzi.
Mmiliki amegoma kulipa mishahara ya watumishi kwa mwezi wa...
hii itakuwa thread ya kupost na kujifunza vitu mbali mbali kuhusu sayansi na saikolojia kuhusu mwadamu, viumbe wengine, dunia na ulimwengu kwa ujumla, hivyo kama una fact, qoutes au chochote cha...
Hii ni kwa mazingira ya Tanzania, sio Chatgpt au google inayochambua ajira kwa mazingira ya Amerika au Europe. (mifumo hio haina data za kutosha kuhusu mazingira yetu hata itakupoteza)
Kozi zenye...
Kumekuwa na malalamiko na changamoto mbalimbali zinazohusishwa na uongozi wa Ofisi ya Uthibiti wa Ubora wa Elimu Wilaya ya Bagamoyo. Baadhi ya wadau wa elimu, hususan kutoka Idara ya Elimu...
What to Consider Before Applying for a Degree Programme 2026
1. Know Your Form Six Subject Combination
Your Advanced Level subject combination determines the degree programmes you are eligible to...
Vijana wanamaliza form six lakini unapima uwezo wao wa kujua mambo ni wa chini na hovyo kabisa.
Kuna mwalimu mwenzangu aliniambia vijana wanamaliza form six hawajui hata mstari wa pambizo...
Ni vigezo gani zaidi vinazingatiwa mtu kupata mkopo wa chuo kikuu kutoka HESBL? Kuna wengine wanapata wengine wanakosa. Je, aliyekosa mwaka jana anaweza kupewa kipaumbele mwaka huu?
Pia soma...
habari wanaJf!!
Kumekuwa na mkanganyiko sana wa hawa watu wa maabara kati ya wanao fanya kazi ya Medical/ Industrial/Research/School Laboratory au wanafunzi wanao somea fani ya maabara kati ya...