Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

On JF:

Hello wanajukwaa. Naombeni ushauri wenu kulingana na uzoefu wenu wataalamu. Nina mdogo wangu kamaliza kidato Cha nne mwaka jana, amepangiwa Kozi ya ICT chuo Cha Taifa Cha usafirshaji. Mimi...
1 Reactions
4 Replies
551 Views
Anonymous
Mimi ni mzazi mwenye mtoto anayesoma katika Shule ya Msingi Bonyokwa iliyopo Wilaya ya Ilala, Kata ya Segerea, Dar es Salaam. Ninaomba kuwasilisha kilio changu kuhusu hali ya mazingira ya...
1 Reactions
1 Replies
81 Views
Wakuu salama, Natumai mko wote heri. Nina ndugu yangu wa karibu amefanya maombi ya chuo mwaka huu na katika matokeo ya kwanza (Batch One) amefanikiwa kuchaguliwa kujiunga na Chuo cha Teknolojia...
1 Reactions
2 Replies
133 Views
Wakuu, nina ndugu yangu ambaye anamaliza la darasa la saba mwaka huu, kama ndugu tumeona tumtafutie shule ambayo haitakuwa mbali sana na makazi yetu. Ni mtoto yatima Jibu likaja ni kibaha...
2 Reactions
7 Replies
160 Views
Anonymous
Habari kuna mfanyakazi mmoja wa Mwalimu Nyerere Memorial Academy yupo department ya Examination ana majibu ya dharau sana hasa kwa watu wanaoenda hapo wakiwa na uhitaji mbalimbali. Tulienda...
5 Reactions
10 Replies
262 Views
General study E, history C, geography B, english C. Naomba mnisaidie ushauri ni kozi gani bora na chuo gani bora cha mimi kwenda kusoma. Na ufaulu wangu wa o level ni mathematics C.
1 Reactions
11 Replies
325 Views
Habari Nimeomba chuo UDSM postgraduate, nawezaje kupata provisional admission?
0 Reactions
0 Replies
59 Views
Naomba mamlaka husika kuchunguza malalamiko kuhusu utaratibu wa usajili kwenye mfumo wa NaPA kwa waombaji wa mikopo ya elimu ya juu katika Wilaya ya Sengerema, Mwanza. Kuna malalamiko kwamba...
0 Reactions
5 Replies
182 Views
Mimi nimhitimu wa chuo cha ualimu x ngazi ya kati yaani diploma nimepata GPA ya 3.6 SWALI: Je, kwa ufaulu huu naweza kupata nafasi yakusoma shahada i.e. Bachelor chuo kikuu UDSM main kampasi...
9 Reactions
124 Replies
10K Views
Kuna makosa ambayo mwanafunzi akiyafanya shuleni, adhabu yake haishughulikiwi na mwalimu mmoja tu. Unakuta umeitwa mbele ya walimu kadhaa, kila mmoja anauliza alichofanya, na mwisho unaondoka na...
2 Reactions
19 Replies
160 Views
Wakuu salama, Natumai mko wote heri. Nina ndugu yangu wa karibu amefanya maombi ya chuo mwaka huu na katika matokeo ya kwanza (Batch One) amefanikiwa kuchaguliwa kujiunga na Chuo cha Teknolojia...
0 Reactions
0 Replies
70 Views
Anonymous
Mmiliki wa chuo anawadharau waalimu na kutukana waalimu mbele ya wanafunzi jambo ambalo linapelekea waalimu kukosa sauti kwa wanafunzi. Mmiliki amegoma kulipa mishahara ya watumishi kwa mwezi wa...
5 Reactions
3 Replies
131 Views
‎hii itakuwa thread ya kupost na kujifunza vitu mbali mbali kuhusu sayansi na saikolojia kuhusu mwadamu, viumbe wengine, dunia na ulimwengu kwa ujumla, hivyo kama una fact, qoutes au chochote cha...
20 Reactions
162 Replies
2K Views
Hii ni kwa mazingira ya Tanzania, sio Chatgpt au google inayochambua ajira kwa mazingira ya Amerika au Europe. (mifumo hio haina data za kutosha kuhusu mazingira yetu hata itakupoteza) Kozi zenye...
5 Reactions
15 Replies
1K Views
Anonymous
Kumekuwa na malalamiko na changamoto mbalimbali zinazohusishwa na uongozi wa Ofisi ya Uthibiti wa Ubora wa Elimu Wilaya ya Bagamoyo. Baadhi ya wadau wa elimu, hususan kutoka Idara ya Elimu...
0 Reactions
0 Replies
67 Views
What to Consider Before Applying for a Degree Programme 2026 1. Know Your Form Six Subject Combination Your Advanced Level subject combination determines the degree programmes you are eligible to...
0 Reactions
1 Replies
126 Views
Vijana wanamaliza form six lakini unapima uwezo wao wa kujua mambo ni wa chini na hovyo kabisa. Kuna mwalimu mwenzangu aliniambia vijana wanamaliza form six hawajui hata mstari wa pambizo...
7 Reactions
78 Replies
643 Views
Ni vigezo gani zaidi vinazingatiwa mtu kupata mkopo wa chuo kikuu kutoka HESBL? Kuna wengine wanapata wengine wanakosa. Je, aliyekosa mwaka jana anaweza kupewa kipaumbele mwaka huu? Pia soma...
0 Reactions
0 Replies
80 Views
habari wanaJf!! Kumekuwa na mkanganyiko sana wa hawa watu wa maabara kati ya wanao fanya kazi ya Medical/ Industrial/Research/School Laboratory au wanafunzi wanao somea fani ya maabara kati ya...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…