Naomba msaada wenu wana jf. Kuna laptop nimenunua aliyeniuzia alikuwa ameinstall window xp. sasas imekuja kuva lidate.na inanipa msg ya "this copy of windows did not pass genuine windows...
Habari zenu wana jf. Ombi langu ni kuwa kama kuna mtu ana elewa namna ya kubloc au kama kuna namna nyingine ya kufanya,aeleze au awache contact yake hapa, hata kama kuna malipo niko teyari, maana...
can any plz help me wv the following assignment
The goverment is so muc concerne about the rights of he emplyees by putting in place lbour laws through which employees an know their rights make...
leo nimesikitka sana na mwanJF mmoja aliyemshambulia mwenzake kuwa hana "shule" pale alipochukulia sehemu ya mchango wake kwenye thread ya kamati kuu ya CHADEMA iliyosema...."Token Muslims....."...
Nimeona ni vizuri ku-share na wana JF hii issue.
Naamini kuna watu wataongezea kitu(kwa wanofahamu vizuri hii kitu)
http://www.youtube.com/watch?v=vJQBljC5RIo
Check jamaa alivyochemsha hapo...
nimekuwa nafuatilia mada za humu jf zinazohusu
hawa watu wanaojiita ma atheists na wengine kuhusu kuwepo au
kutokuwepo kwa mungu....
juzi tena kwenye cnn nimeona mtu mmoja
anaitwa Richard dawson...
Waungwana. Nawasalimu!
Naomba mnisaidie kujua haya:
LINI NA WAPI MATURE AGE ENTRY HUFANYIKA?
CANDIDENT ANATAKIWA AJIANDAE/AANDAE NINI ANAPOENDA KUFANYA HIYO TEST? JE,FEE NI SH NGAPI...
http://www.youtube.com/watch?v=5B9NoWxKfRY
Note: This is ONLY to be used to report spam, advertising messages, and problematic (harassment, fighting, or rude) posts.
Wana JF,
Nilipita Juzi Arusha Kusalimia ndugu na Jamaa, Lililonistahajabisha ni kijana wa Shangazi yangu Anaesoma Themi Secondary School, Aliponiambia Hawatofunga shule mapema Kwani Head Teacher...
Application Deadline: January 31, 2010
The German Academic Exchange Service (DAAD) has announced that for summer 2010 it will again offer the RISE (Research Internships in Science and...
Wadau wa JF hebu mnisaidie hili, hivi hizi kamera za cctv zinaweza kweli kubaini mtu aliyeiba mtihani toka ofisi za Baraza la mitihani na kutoka nao nje?. Kwa sababu kunatakiwa awepo mtumishi...
Wana JF,
Salaam.
Naomba kujua ni njia ipi ambayo ni nzuri na salama kwa utunzaji wa VYETI AU NYARAKA haswa vyenye thamani kama degree kubwa na kuendelea,ili kuepuka vitu kama moto,kuloa au kuwa...