Mbunge wa CCM
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 475
- 22
leo nimesikitka sana na mwanJF mmoja aliyemshambulia mwenzake kuwa hana "shule" pale alipochukulia sehemu ya mchango wake kwenye thread ya kamati kuu ya CHADEMA iliyosema...."Token Muslims....." kuwa ni "......Tokeni Waislamu....." nami niliweka maoni yangu pale nikimkosoa vikali yule aliyemshambulia mwenzake. lakini nimeona niwatendee haki watanzania wenzangu kuanzisha thread inayojitegemea tupate kuichangia kwa mapana yake matatizo ya "shule" yetu watanzania.
mwenzetu kashutumiwa "shule" yake kwa sababu ya "lugha" tu. cha kujiuliza ni nani hana shule hapo. ni yule aliyechanganya kiingereza katikati ya kiswahili huku akiiwa na misamiati ya kutosha kabisa ya kiswahili ya kutumia, au ni yule aliyeona kuwa kwa kuwa ile mada ni ya kiswahili, basi pengine neno "token" lilipaswa kuwa "tokeni" na pengine limekosewa kutokana na makosa yauchapaj tu?
masikini watanzania, lugha ya taifa tunayo tumeng'ang'ani ya wenzetu na kuiabudu. atika safari zangu za kimaisha nimewahi kufika china mara kadhaa na kukuta huko maprofesa wengi tu huko wa fani mbalimbali ambao hata kiingeeza cha kuombea maji hawana! nani atasema kuwwa hawa wana tatizo la shule? je, wana tatizo la lugha? au wana tatizo gani sasa?
tatizo lao (kama ni tatizo kweli), basi si jingine bali ni kuelimika. ukielimika kikelikweli utagundua kuwa lugha ni chombo tu cha mawasiliano na ikiwa peke yake haimaanishi "kwenda shule" ndio maana kuna waingereza kwa kuzaliwa ambao hawajui kusoma na kuandika! utasema "wana shule" hawa eti kwa kuwa tu wanaongea kiingereza vizur kuliko maprofesa wa china?
mwisho natoa pole kwa mana JF anayetumia jina "injinia" kwa kushambuliwa ikali kutokana na "shule" ya aliyemshambulia.
matifa yetu yako nyuma sana kwa maendeleo huku eti kuna watu wanjisifu kuwa na "shule" za uhakika, cheki maprofesa na madaktari wa falsafa walivyorundikana kwenye baraza la mawaziri, waulize wamechangia nini kuboresha serikali? hje, ni kwa sababu wana shida ya "shule" kama "injinia" hapana.
tujadili "shule" zetu tafadhari
mwenzetu kashutumiwa "shule" yake kwa sababu ya "lugha" tu. cha kujiuliza ni nani hana shule hapo. ni yule aliyechanganya kiingereza katikati ya kiswahili huku akiiwa na misamiati ya kutosha kabisa ya kiswahili ya kutumia, au ni yule aliyeona kuwa kwa kuwa ile mada ni ya kiswahili, basi pengine neno "token" lilipaswa kuwa "tokeni" na pengine limekosewa kutokana na makosa yauchapaj tu?
masikini watanzania, lugha ya taifa tunayo tumeng'ang'ani ya wenzetu na kuiabudu. atika safari zangu za kimaisha nimewahi kufika china mara kadhaa na kukuta huko maprofesa wengi tu huko wa fani mbalimbali ambao hata kiingeeza cha kuombea maji hawana! nani atasema kuwwa hawa wana tatizo la shule? je, wana tatizo la lugha? au wana tatizo gani sasa?
tatizo lao (kama ni tatizo kweli), basi si jingine bali ni kuelimika. ukielimika kikelikweli utagundua kuwa lugha ni chombo tu cha mawasiliano na ikiwa peke yake haimaanishi "kwenda shule" ndio maana kuna waingereza kwa kuzaliwa ambao hawajui kusoma na kuandika! utasema "wana shule" hawa eti kwa kuwa tu wanaongea kiingereza vizur kuliko maprofesa wa china?
mwisho natoa pole kwa mana JF anayetumia jina "injinia" kwa kushambuliwa ikali kutokana na "shule" ya aliyemshambulia.
matifa yetu yako nyuma sana kwa maendeleo huku eti kuna watu wanjisifu kuwa na "shule" za uhakika, cheki maprofesa na madaktari wa falsafa walivyorundikana kwenye baraza la mawaziri, waulize wamechangia nini kuboresha serikali? hje, ni kwa sababu wana shida ya "shule" kama "injinia" hapana.
tujadili "shule" zetu tafadhari