Muda wowote kuanzia hivi sasa matokeo ya kidato cha nne kwa watahiniwa wa 2012 yanaweza kutangazwa rasmi. Kama kawaida wadau wengi wa maendeleo hususan sekta ya elimu wanatarajia mengi, hata...
Kuna taarifa kutoka kwa wasahihishaji wa mtihani wa kidato cha pili wa mwaka 2012 kuwa HALI NI MBAYA SANA na kuna shule huenda zikakosa kabisa wanafunzi wa kujiunga na kidato cha tatu kwa mwaka...
Akizungumzia kiwango cha ufaulu, rais Kikwete aliwataka walimu wanaotunga mitihani ya shule za msingi, sekondari na vyuo, kuacha kutunga migumu kupita kiasi, kwa kuwa yawezekana kuwa ndicho...
JUMUIYA ya Afrika Mashariki, inakusudia kufanya mabadiliko makubwa ya mitaala ya elimu kuanzia ya msingi hadi ya chuo, ili kuziwezesha nchi wanachama, kutumia mtaala mmoja tu.Akizungumza na...
Wadau nimefuatilia sana mijadala na maoni yanayotolewa kuhusu waziri wa elimu aliyepo kwa sasa. Naomba twende mbali zaidi, katika wabunge waliopo ni nani anafaa kuwa Waziri wa Elimu ambaye...
Kwa upande wangu naona yafuatayo yafanyike:1-mitaala yenye kueleweka.2-mwisho kwenda ualimu grade A iwe div three.3-kuwe na pre-form 1 kwa one yr kuwaandaa wanafunz kuingia kidato cha...
Matokeo ya kidato cha nne yamesikisha wengi kiasi kwamba baadhi ya watu wameyasemea kwa uchungu sana na wengine kufikia hata hatua ya kudai tukio hilo litangazwe kama janga la kitaifa. Kati ya...
wadau naombeni kujuzwa inamaana shule ya kibohehe imekatiwa matokeo ya wanafunzi wotee? au kuna uzembe wa shule matokeo yao yasiwe displayed? coz nimeingia naona -----haa!
Wana taaluma wenzangu anayetaka kusoma Shahada ya Juu (Postgraduate Diploma,Masters na PhD) Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) form zimeshatolewa....deadline ni tarehe 30/04/2013
Kazi kwenu
Kwa ujumla Kitaifa Matokeo ya kidato cha nne 2012 ni Haya!
Div One ni-1641
Div Two ni -6453
Div Three ni-15,426
Jumla ya Div 1,2 na 3 ni 23,520
Div Four ni -103,223
Div Zero ni -240,903 (60%)...
NANI MSHINDI??
Elimu ni nguzo muhim sana katika maisha ya binadam maana huondoa ujinga na kuingiza maarifa ambayo ndo msingi wa maendeleo ya taifa, taifa lisilokua na wasomi huishia kuwa maskini...
Kikula Mkuu wa chuo leo kasema chuo kimedahiri wanfunzi wachache kwa jili ya ukosefu wa walimu lakini akasema kwa sasa wameajiri walimu kutoka India,Korea,China,Japan,Marekani,Uingereza wakati...
Kutokana na hali ya sintofahamu iyojitokeza hivi karibuni ya mauaji ya viongozi wa dini ya kikristo,(mchungaji Mathayo kule buseresere, padri Mushi kule Zanzibar na kupigwa risasi kwa kwa padri...
Matokeo mabovu kuliko yote ya kidato cha nne kuwahi kutokea katika historia ya taifa la Tanzania yamezua balaa la aina yake baada ya wanafunzi wawili kujiua kwa kujipiga vitanzi hadi kufa. Taarifa...
Nataka kupata majina yenu na nijenge hoja. Nijenge hoja,kama raia wa kawaida wa nchi hii,kuwa mnapaswa kurudia mitihani ya kidato cha nne. Kama si kutungiwa mitihani mipya basi mrudie mitihani na...
Nina binamu yangu mtoto wa anko kamaliza form four 2012. Matokeo yake siyajui na sikuwa na mpango wa kuyafuatilia. Leo nilikuwa na shida na mjomba na simu yake ilikuwa haipatikani, katika kuulizia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.