Habari zenu wana JF,
Hapa nitaelezea kwa kina mbinu wanazotumia shule nyingi za binafsi ambazo huwa zinafanya vizuri.
Mimi binafsi nimesoma shule ya Feza Boys miaka kadhaa iliyopita na kwa sasa...
Heshima mbele wana JF.
Nina mdogo wangu amemaliza form 4 juzi, lakini ni mmoja kati ya hao 67% waliopata Div 0, yaani ana point 34!!!!. Hii ni hatari sana kwake, hasa kwangu, maana mimi ndio...
Wanabodi,
Naomba kuanza kwa kudeclare interest, mimi ni mhanga wa matokeo haya mabaya ya Form IV, nilikuwa na vijana wangu wawili, ambao walichaguliwa kujiunga na shule za kata, wife akashauri...
Ndio kila mtu kasikia juu ya uozo wa matokeo haya ya vijana wetu. Kwa kweli nchi ipo njia panda kuhusu elimu. Pamoja na uozo huo wa matokeo kilichonishangaza ni matendo au majibu yanayotolewa na...
MKURUGENZI GREEN ACRES
AFICHUA SIRI NZITO
na Betty Kangonga
WAKATI mjadala wa matokeo
mabaya ya kidato cha nne
ukiendelea kulitikisa taifa,
kashfa mpya ya matokeo hayo
imeibuliwa.
Kashfa...
Ni makosa na haikubaliki kufanyia utafiti jambo ambalo sababu/majibu yake tayari yapo na yanafahamika kwa watu. Mfano huhitaji kufanya utafiti wa kugundua kwanini unasinsia mchana darasani ili...
Sisi tulio pigwa kiboko leo tunajua umuhimi wa kiboko
leo wanafunzi mashureni kwa utovu wa nidhamu ni hali tata na ni zaidi ya walimu sababu kubwa mwalimu hawezi kumgusa mtoto
hawa watoto...
Kuanzia mwaka huu mtihani wa kidato cha pili umerejeshwa kwa lengo la kuchuja watakao ingia kidato cha tatu wawe wamefikia kiwango fulani cha ukomo wa alama za ufaulu.Mpango huu umeingizwa katika...
Wanajamvi naomba mnisaidie kwa mawazo huyu ni mdogo wangu ameangukia division four ya point 26 na amefanikiwa kupata C mbili tu za chemistry na biology ila physics ana D na yeye ndoto zake ni...
Nimemsikiliza asubuhi hii mtangazaji wa kipindi cha power breakfast Gerald Hando kwenye jicho la ng'ombe anataka katibu mkuu wa baraza la mitihani aueleze umma wa watanzania kwa nini wanafunzi...
Nimesononeshwa sana na matokeo ya mitihani Kidato cha Nne ya Mwaka huu. Ni dhahiri kwamba kila mwaka kunakuwa na wanafunzi wanaofeli, lakini hili la 66% ya watahiniwa kufeli (kupata Division Zero)...
wengi tumeshitushwa na matokeo ya kidato cha nne 2012,na kumekuwa na maoni mbalimbali na mengi toka kwa wadau mbalimbali wa elimu,moja ya maoni hayo ni pamoja na DK JOYCE NDALICHAKO ajiudhuru au...
I was born to save the society that's why i a m a teacher by professional it doesn't mean that i do not have criteria to be employed for the other occupation and actually this is the special duty...
Wanabodi,
Baada ya Baraza la Mitihani la Taifa, NECTA, kutangaza Matokeo Tata ambayo yalitangazwa na Waziri wa Elimu badala ya Mkurugenzi wa NECTA, Mkurugenzi huyo, Bi. Joyce Ndalichako...
Ndugu, hebu oneni mtiririko wa matokeo ya kidato cha nne; tangu 2009. Mdau mmoja wa elimu kaweka kwenye mtandao.Tuna cha kujivunia?
2012 Form 4 results
DIV 1: 1,641 (0.4%)
DIV 2: 6,453...
Nlisikia Mwenyekiti wa zamani wa Mnyama Hassan Dalali amerudi shule na alikua anafanya mitihani ya Form four... Vp katusua tumpongeze mzee wetu au Kawambwa kamkwamisha?
Sent from my BlackBerry...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.