akihutubia maelfu ya waislamu katika viwanja vya kidongo chekundu jijini dar es salam,katika kuhitimisha maandamano ya kupinga filamu ya kumkashifu mtume, shekh Ponda aliuwambia umma wa waislamu...
Wadau hivi ni sahihi kumpima mwanafunzi aliesoma miaka 4 kwa mtihani mmoja tu wa NECTA?Kama ni kigezo sahihi inakuwaje kwa mfano mtu anapata division 1 kidato cha 4 alafu mtu huyo huyo anakuja...
Ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni. Kada mmoja maarufu wa CCM ambaye pia ni Mjumbe mpya wa Kamati Kuu ya CCM ametoa mpya. Amesema kuwa matokeo ya Kidato cha Nne,kama yalivyo, ni hazina kubwa...
Habari watanzania wenzangu. Ni majuzi tu Wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi ilitoa matokeo ya kidato cha nne. Sipendi kurudia tkwim zake mana zinachefua. Tathmini yangu ni juu ya wapi tulitoka...
Hawa jamaa wameniambia niwalipe ili wanifanyie interview, mi nimewashangaa! Je hii practice ni common huko duniani au imeanzia Tanzania.
Soma hiyo email ifuatayo:
TANZANIA INTERNATIONAL...
siku zote tumezoea kumi bora lakin ajabu juz nimesikia 20 bora na ajabu zaid kule mwisho zilitangzwa shule kum mbov kwann zisingetangazwa 20 ili ionekane ni new style?
Baba wa taifa alisema maneno haya (wazungu watatuchunga kama wanyama wa serengeti) ni baada ya kutoa maelezo marefu kuhusu umuhimu wa mfanyakazi anayeitwa mwalimu akatoa maneno makali sana ili...
Wanajamvi kwakweli mimi nikiwa kama mtanzania sijaona kaz ya maprofesa katika mchango wowote zaidi ya kwenye siasa,kwa asilimia kubwa kwa tanzania maprofesa ndio wamechangia kuendelea kuanguka kwa...
''WAKATI mjadala wa matokeo mabaya ya kidato cha nne ukiendelea kulitikisa taifa, kashfa mpya ya matokeo hayo imeibuliwa.
Kashfa hiyo mpya imeibuliwa na Mkurugenzi wa Shule ya Green Acres, Julian...
Study MBBS, BDS (Dentistry), Engineering, Business Management, Nursing etc, in China. Admissions open for 2013 session. Scholarships available for limited seats only. Contact us for scholarship...
Wanajamvi naomba kuwasilisha maoni yangu kuhusu matokeo ya mtihani wa kidato cha nne mwaka 2012. Maoni yangu yatajikita zaidi upande wa waliotumia nafasi zao vibaya na kusababisha matokeo haya...
Wana JF
Ilikuwa mwaka 2010 wakati tunaelekea uchaguz mkuu na pia mitihani ya kidato cha nne. Waziri wa Elimu kipindi hicho Prof Maghembe akiwa ziarani Tarafa ya Ugweno katika shule ya Msingi...
Here is a new page that gives YOU a chance to share what is happening in your community.... No offensive, you are all welcome. :A S-heart-2: https://www.facebook.com/TheNativecorner
Kashfa nzito
"wanafunzi walichora vekaragosi, yakiwemo matusi, mashairi ya bongo fleva, na wengine kuandika kuhusu mapenzi"
WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi inaweza kukumbwa na kashfa kubwa...
Kwa haraka haraka baadhi ya wasomi,wanahabari,maafisa elimu na wananzengo wa Tanzania wamejadili kuhusu matokeo wengi wameelekeza lawama kwa wanafunzi lakini mimi kuna kitu nakifuatilia sana...
:nono: DISCOVERED DISCREPANCIES IN THE RECENT NEW TEACHERS EMPLOYMENT ANNOUNCEMENT
(2012/2013) PUBLISHED IN THE MINISTRY OF EDUCATION AND VOCATIONAL TRAINING WEBSITE :nono:
The following...
Habari za muda huu mwana jf,nimekuja hapa mbele yako kutaka kufahamishwa kitu kimoja,nataka kujua kama mtu ambaye anasoma diploma ya engineering hapa nchini anaweza kupata sponsor wa kudhamini...
Ephraim Kibonde, mtangazaji wa Clouds FM kipindi Jahazi.
Hivi, kuna mtu huwa anamuelewa anisaidie na mie kumuelewa!
Mie nadhani huwa anatumiwa na wanasiasa, si bure...
Nimefuatilia sana kipindi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.